“Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia”, Mt 3:2 SUV.
Toba maana yake ni “kugeuka”, kugeuka kutoka katika njia mbaya za uovu na kumgeukia Yesu Kristo, na kwa kupitia yeye, unamgeukia Mungu (Yn 14:1, 6; Mdo 8:22, 26:18).
Uamuzi wa kugeuka kutoka katika dhambi na kugeukia wokovu katika...