diamond platnumz

  1. Kalpana

    Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

    Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa anatumia mihadarati. Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?
  2. Mayunga234

    Za Ndani Kabisa: Siku yoyote Ndege ya Diamond Platnumz inatua Bongo

    Week ijayo star wa Bongo Flavor Diamond Platnumz anatarajia kupokea ndege yake inayotokea nchini Canada [emoji1063] Diamond Platnumz ameamua kuonyesha umafya kwamba hakuna kama yeye East Africa Kwa hili lazima anaendelee kuchukiwa
  3. Dumuzii

    Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama

    Narudia Tena. Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama [emoji23][emoji23] halafu badae Diamond akisema anahela kumshinda Alikiba mna mind[emoji23][emoji23][emoji23]
  4. Frumence M Kyauke

    Utajiri wa Diamond Platnumz...

    Huu Ndio Utajiri wa Msanii Diamond Platnumz by Frumence M Kyauke. Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni msanii Afrika mwenye kipaji kikubwa cha uimbaji vilevile ni msanii tajiri zaidi. Umaarufu wake umeanza kuonekana mwaka 2010 baada ya kuachia albamu kwa jina Kamwambie...
  5. Jerlamarel

    Inasemekana MalkiaKaren ana mimba ya Diamond Platnumz

    Msanii MalkiaKaren ambaye ni mtoto wa mtangazaji nguli hapa Tanzania, Gadner G Habash ana ujauzito mkubwa tuu ambao hata ukisikia kajifungua kesho wala usishangae. Mwenye mzigo inasemekana ni mnyama bin laden simba. Wadau wa kufukunyua hebu mje hapa, tupeni undani wa hii tetesi.
  6. Drop shipping Tanzania

    SoC01 Uwe na kipaji kama Messi, Kiba ama uwe na bidii kama Ronaldo au Diamond Platnumz

    Karibuni Sana Marafiki zangu Damdam!! Kama hukubarikiwa kipaji huna option nyingine zaidi ya kuwa na bidii. Ukizaliwa na kipaji, its God given, huna option nyingine zaidi ya kutumikia hiko kipaji. Hutumii nguvu, yani effortlessly. Hutoki jasho kbs. Mwangalie Messi, mwangalie Kiba...
  7. Hance Mtanashati

    Diamond Platnumz atahamia Yanga?

    Msanii Diamond Platnumz aliweka wazi kuwa alianza kushabikia mpira na kuishabikia timu ya Simba mara baada ya kupata hamasa kutoka kwa swahiba wake Haji Manara. Kama hiyo haitoshi ,Diamond alilaani sana kipindi ambacho mabosi wa Simba walipoanza kumtolea maneno machafu Haji Manara na...
  8. Labani og

    Diamond Platnumz ni msanii anayetafutwa zaidi kupitia Google nchini Kenya

    Huyu giant anatisha sana sizan kama kuna msanii atatokea kumzid huyu mtoto wa Tandale. Imagine anakua mostly searched artist kwenye nchi za watu Najua Kiba hapendi show off[emoji23][emoji23][emoji23] ila kwa huyu dg mond kiba amepigwa no count coz kwa level aliyofika mond ni level ya U...
  9. C

    Hizi Ndizo Albums Pamoja Na EP's Zilizo Sikilizwa Zaidi Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Spotify hap hapa TZ

    Hizi Ndizo Albums Pamoja Na EP's Zilizo Sikilizwa Zaidi Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Spotify 1. Diamond Platnumz – A Boy From Tandale (2018) 30M 2. Rayvanny – The Sound From Africa (2021) 24M 3. Navy Kenzo – Story Of The African Mob (2020) 3M 4. Mbosso – Definition Of Love (2021)...
  10. Cannabis

    Billboard: Jinsi Diamond Platnumz alivyofanikiwa kuwa nyota mkubwa zaidi Tanzania

    Wakati Diamond Platnumz alikuwa na miaka 17, alifanya kazi ya kuuza nguo za mitumba na kuuza mafuta kujaribu kuweka akiba ya kumwezesha kurekodi studio, lakini haitoshi. Hatimaye mwimbaji huyo mwenye jina la kuzaliwa la Naseeb Abdul Juma Issack, aliuza pete ya dhahabu ya mama yake. "Nilimwambia...
  11. sinza pazuri

    Tuweke list ya mastaa waliotengenezwa na Diamond Platnumz mpaka sasa

    Katika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake either kumtukana au kumsifia. Awa ndio mastaa waliotengenezwa na Diamond Platnumz mfalme wa music...
  12. MWALLA

    Diamond Platnumz – the next Bill Gates?

    Diamond Platinumz had just taken delivery of a brand new Rolls Royce when I spoke to him – it’s a blue Cullinan, latest model. It’s the first of its kind in Tanzania and when Diamond took it on its maiden voyage you can imagine the reaction. “To me it’s not just my car, it’s our car. Whoever...
  13. Mlolongo

    Hii video ya IYO, inadhihirisha kiasi gani Diamond Platnumz yupo serious kwenye investment ya music videos!

    Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli? Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto... Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes karibu 30 mule, kuanzia wanafunzi darasani, magodoro, club, wadada wawili, masela wawili, mavazi...
  14. M

    Wazungu nao wana wivu mwenzao akiwa tajiri

    Likija suala la utajiri utachukiwa tu uwe mzungu ama mswahili kutakuwa na wivu na chuki. Tumeshuhudia Diamond alivyonunua Rolls-Royce. Malaki ya watu wamesaini petion dhidi ya Jeff Beezos tajiri namba moja duniani wakinuombea kesho tarehe 20 akipaa anga za juu asirudi duniani tena abaki na...
  15. Mancobra

    SoC01 Mambo ya kujifunza kwenye mafanikio ya Diamond Platnumz

    Naseeb Abdul Juma Issack (maarufu kama Diamond Platnumz; majina mengine ya kisanii ni Chibu, Simba au Dangote; alizaliwa dar es salaam, 2 october 1989 ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo flava kutoka Tanzania. Diamond ni msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko wasanii wengine Tanzania na Afrika...
  16. sky soldier

    Ni mwanzo tu, Diamond Platnumz aagiza tena Lamborghini na Bentley, magari ya mabilion

    Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini...
  17. officialBossmtoto

    Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

    Manunuzi makubwa anayofanya Diamond kwa sasa yamekua na Gumzo kubwa mtandaoni kukiwa na pande mbili zinavutana. Wako wanaosifu na wanapata kazi ya kukandia. Kwa namna yeyote ikitokea negative impact sio kwa Pande hizo mbili, bali ni direct kwa Diamond At this point kuna mawili 1) Kama...
  18. Franky Samuel

    Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hili ndilo gari jipya la diamondplatnumz. Ni Rolls Royce 2021. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika inatajwa kuwa gari hili limeingia Tanzania siku za hivi karibuni Inasemekana gari hili Rolls Royce 2021 imemgharimu #Diamond zaidi ya Shilingi Bilioni Moja za...
  19. Christopher Wallace

    Kwanini Diamond Platnumz anavaa msalaba?

    Masheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya? Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amekuwa na utaratibu wa kuvaa msalaba siku za karibuni ilhali yeye ni muislam.
  20. The Sheriff

    Gsan wa X-Plastaz: Msanii wa kwanza Tanzania kushiriki Tuzo za BET mwaka 2009

    Rapa Gsan wa kundi la X Plastaz kutoka Arusha Rapa Gsan wa kundi la X Plastaz kutoka Arusha, Tanzania, aliiwakilisha Afrika katika toleo la mwaka 2009 la BET Hip Hop Awards cypher, zilizorushwa Oktoba 27 kupitia chaneli ya BET huko Marekani. Huyu ndiye Mtanzania wa kwanza kushiriki katika tuzo...
Back
Top Bottom