diamond platnumz

  1. W

    Shutuma za Diamond Platnumz dhidi ya Forbes, sasa naanza kuamini maneno ya Vijiweni kuwa Bakheresa ni tajiri zaidi ya MO

    Habari, Jana msanii tajika sana nchini Tanzania, Afrika Mashariki na kati na pengine kuliko wote kusini mwa jangwa la Sahara Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, alisaini dili kubwa na moja kati ya recording label kubwa ya muziki dunia, Warner Music Group, kuhusu usambazaji wa kazi za...
  2. davejillaonecka

    Clouds FM, Millard Ayo na Diva wamemaliza ugomvi na Diamond Platnumz?

    Hawa ndugu zangu wameanza kuja kwa kasi sana kum - support Diamond Platnumz haswaaa. Deal aliyoi-sign na Warner inazidi kuwafumbua watu. Swali ni: Je, kuna nini kinaendelea au ndo mabifu yamesha sitishwa? Naomba mwenye uelewa na hili jambo anieleweshe.
  3. Slowly

    Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

    Mambo si mambo huko Instagram, Mega Star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake .... Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku...
  4. crankshaft

    Diamond na Wasafi Media mmeonesha "lack of professionalism" kwenye hili la Forbes

    Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond kawakashifu Forbes kutokana na list zinazosambaa mitandaoni zikionesha wasanii tajiri Afrika. Unawaponda forbes wakati hakuna mahali popote forbes wametoa list ya wasanii tajiri Afrika zaidi ya page zisizo rasmi!!! Naona pia wasafi tv na radio wanali...
  5. Suley2019

    Nasibu Abdul (Diamond Platnumz) asaini mkataba na kampuni ya muziki ya Afrika Kusini, Warner Music

    Msanii Diamond Platnumz, ameandika historia nyingine tena baada ya kutia saini mkataba na kampuni ya muziki ya Afrika Kusini, Warner Music. Mkataba huo mpya utahakikisha kuwa WCB Wasafi imejumuishwa katika Warner Music Afrika Kusini na Ziiki Media, wakati mtandao wa Warner Music ukisaidia...
  6. warumi

    Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

    Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume...
  7. sinza pazuri

    Diamond aendelea kuwafunga midomo wanaomsema kuhusu nyumba

    Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba. Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016. Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza. Na...
  8. H

    Mchambuzi George Ambangile azawadiwa gari na Diamond Platnumz

    Mchambuzi mahiri na ayetikisa kwa sasa kwa uchambuzi wa kina wa soka wa kipindi Cha sports Arena na sport court Cha Wasafi Media George Ambangile hapo Jana amepewa zawadi ya gari Aina ya CROWN na msanii wa kimataifa na CEO wa Wasafi Media Diamond Platnumz kwa kazi nzuri alionesha George...
  9. Planett

    Diamond Platnumz hiki nini sasa?

    Wakuu hata kama ndio fashuuun au sijui kwenda na wakati hii imepitiliza, unasuka MAPEMBE kweli bro! Au ndio externalization ya yale mambo yenu ya freemasonry? Anyways kila mtu na maisha yake. KWANI HII DUNIA NI YETU!?
  10. itel Mobile Tanzania

    Sababu za Diamond Platnumz kutumia itel A37 hizi hapa

    Takribani wiki mbili baada ya itel kumtangaza balozi wake ambaye ni Diamond platnumz, sasa imebainishwa sababu za Diamond platnumz kuipenda simu hiyo ambayo ni tolea jipya la itel A37 ambayo imezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa sababu zilizoelezwa na...
  11. H

    Mr flavour wa Nigeria aomba media za Nigeria zimpe heshima inayostahili Diamond Platnumz

    Msanii mkubwa kutoka Nigeria Mr Flavour amefunga mengi wakati anahojiwa na moja ya media kubwa ya Nigeria hapo Jana. Mr flavour amevilaumu vyombo vya vingi vya Nigeria kutosapoti vyakutosha sana miziki ya nje japo kuwa yeye pia ni mnigeria. Akatolea mfano Ngoma ya diamond "Waah" imeweka record...
  12. K

    Diamond Platnumz apata shavu kutoka kwenye movie ya Coming 2 America

    Wimbo Hallelujah wa Diamond Platnumz wapata shavu kwenye filamu ya Coming 2 America, itakayo achiwa tarehe 5 March 2021. Source:SnS.
  13. figganigga

    Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

    Salaam Wakuu, Vyombo vya Serikali viache double standard. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM...
  14. A

    Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

    Habar wanaJF, Aliyesema kuwa wanawake na mama zetu tusiwaamini hakukosea leo kwani huenda wazazi wetu wa kiume walio tulea sio baba zetu. Leo Rikardo Momo amesema kuwa mzee Abdul sio baba yake Diamond na kusema kuwa yeye na Diamond wanachangia baba na baba yao anaitwa Mzee Salim Nyange. Haya...
  15. FRANCIS DA DON

    Wimbo wa Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa!

    Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa. Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu...
  16. rr4

    Diamond Platnumz Talks Growing Up In Tanzania & Breaking Into American Popular Music

    Diamond Platnumz Talks Growing Up In Tanzania & Breaking Into American Popular Music Facebook Twitter Email The recording artist, entrepreneur and media mogul discusses Tanzania’s musical landscape, success, expanding his empire and more CHRISTOPHER A. DANIEL GRAMMYS OCT 6, 2020 - 1:36 PM When...
  17. crankshaft

    Kwanini kila siku ni Diamond Platnumz hawa wengine hamuwaoni?

    Baba lao (Diamond)-kushoto kulia (harmonize) Mdogo mdogo (Diamond)-mpaka kesho (harmonize) Wezele (rich mavoko)-on the low (burnaboy) full video Niwahi (rich mavoko)-je utanipenda (Diamond) kwenye onesho la fashion Na nusu (Nandy)-tip toe (jason darulo) Scene ya wacheza kareti. Alele...
  18. H

    Diamond Platnumz ameshirikishwa kwenye album mpya ya Alicia Keys

    Habari nzuri, Msanii wetu wa Tanzania Diamond Platnumz atakuwepo kwenye moja ya collabo ilipo kwenye album mpya ya Alicia Keys. Alicia Keys amethibitisha hivyo kwa kuonesha list ya nyimbo zitazokuwepo kwenye album yake hiyo mpya na moja Kati ya nyimbo ipo aliyomshirikisha Diamond. Tumekuwa...
  19. MALCOM LUMUMBA

    Wimbo mpya: Alicia Keys Ft Diamond Platnumz

    Huu wimbo ni mzuri na nimeusikiliza japo Diamond Platnumz kaimba sehemu ndogo sana peke yake, ila sehemu kubwa kafanya Back-Vocals. Mwanzo mzuri kwake na natumai atatumia nafasi hii kujinoa vizuri maana Alicia Keys na mume wake ni wataalamu na walimu wakubwa wa muziki. Ndugu Diamond Platnumz...
  20. crankshaft

    New music audio Zuchu ft Diamond Platnumz

    Available in all digital platforms isikilize halafu leta maoni yako hapa Personally nimependa sana ubunifu wa Diamond platnumz kutumia current situation pale anasema "Tena wasipoteze muda kwa kura zao za kata,mi ndo kamati kuu hapa jimbo umepata." All in all nyimbo ni nzuri
Back
Top Bottom