diamond platnumz

  1. crankshaft

    Hatimaye amepanda, Magufuli amvulia kofia Diamond Platnumz

    Rais Magufuli aliamua kumvulia na kumvisha kofia yake Diamond Platnumz simbaaa baada ya performance yake katika uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza. Ila kijana wetu anaadabuu, mara baada ya kuitwa jukwaa kuu alienda anakimbia 🤣🤣🤣 Diamond platnumz simbaaa baba lao rais halali wa muziki Tanzania.
  2. crankshaft

    Ombi: Dewji ungana na Diamond Platnumz muanzishe Wasafi Football Club

    Namshauri Mo Dewji ashirikiane na Diamond Platnumz kuunda timu ya Wasafi Football Club. WASAFI ni blrnd yenye nguvu sana nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Wasafi media imepata mashabiki lukuki katika kipindi kifupi tangu kuanzishwa kwake ikizipita media kongwe katika mitandao ya...
  3. I am Groot

    Diamond Platnumz ni kweli ahadi kedekede unazotoaga kwa watu huwa unatimiza? Ni bora ukaacha mambo hayo ya ajabu kama ni ngumu kutenda

    Msanii wetu SIMBA namkubali sana sasa tatizo lake anapenda kukurupuka sana pale mafuraha ya kutoka pasipojulikana yanapo mvaa na kutangaza ma- ahadi tele kila mahali online, na hata live Wasafi TV/Radio kuwa atatoa mara hiki mara kile kwa jamii. Na mara chache sana huvitimiza anavyosema ni kama...
  4. MNYWABUJU

    Kutokuonekana kwa Diamond Platnumz katika Tamasha la CCM, nikuwaogopa magiant wenzake?

    Habari wana Jamvi, kwanza niwapongeze wasanii wote walioshiriki Tamasha la CCM- Uwanja wa Uhuru, walifanya vizuri, lakini kutoonekana kwa nyota wa muziki Tanzania Diamond Platinumz katika tamasha ilo nadhani ilikuwa pigo kwa mashabiki zake ambao walienda kutaka kumuona. Je, aliogopa wasanii...
  5. Mkogoti

    Diamond Platnumz amsifia Kusaga

    Kupitia wewe nimejifunza na naendelea kujifunza vingi. Asante kwa kuendelea kusupport Vijana. Asante kwa njia ya Sanaa uliyoichonga, Sasa inakomboa Vijana wengi mtaani.. @Josephkusaga
  6. Mkogoti

    New Video: Rayvanny ft Diamond Platnumz- Amaboko

    Nyimbo ya Amaboko imeshawekwa YouTube na Views Wanazidi kupanda tu, Nami najiandaa hapa nikanunue Shuka la kimasai nivae Kama Laizer vile,😂
  7. Mkogoti

    Jamaa yangu na life style kama Diamond Platnumz

    Wakuu Habari za saa hizi! Wakuu mimi nina Rafiki yangu mmoja hivi sio kivilee sana hapana ila ni kukutana kitaa tunapeana tano basi life linaendelea. Kitu kimoja kinachonishinda kwa huyu jamaa yangu ni kwamba anamkubali kinyama sana Diamond sio nyimbo, mavazi, mpaka kuwa na watoto, just...
  8. Mkogoti

    Homa ya TV E: Lini Diamond platnumz atatumbuiza Jukwaani

    Habari za Usiku huu Wakuu Poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima, Now nimeshaona show za Wasanii mbalimbali Kupitia Show ya Homa kupitia channel ya TV E!, Katika kuona kwangu sijamuona Diamond je? Zamu yake haijafika au ndo vile kuna kabifu hapo katikati ama vipi? Wakuu mkimwona siku mnitag...
  9. A

    Nahisi Diamond Platnumz sio Mtanzania, body language presence anayoonesha kwenye video zake, sio style za kitanzania ni style za ki-west Africa hivi

    Diamond anajua sana aisee, kwamfano kwenye ile official video ya nyimbo ya gere (tanasha x platnumz) kuanzia ile dakika ya 1:57 mpaka dakika ya 2:15 jamaa kaonesha body language presence ya hali ya juu sana, pale anapoanza kuimba "Eeh mama kasema mwali mwana, umepata ntuliee simba, ntuliee...
  10. Program Manager

    Diamond Platnumz ang'ara kwenye jarida la Billboard kwa kufanya vizuri Youtube

    Mtandao maarufu wa kupanga charts za muziki duniani wa Billboard umeachia makala wakielezea namna ya kupata mafanikio kimataifa kwa kutumia mtandao wa Youtube huku wakimtolea mfano star wa muziki wa Tanzania @Diamondplatnumz Makala hiyo imeandikwa "Wanamuziki wa Marekani wanatafuta njia za...
  11. MALCOM LUMUMBA

    Whozu ana kipaji kikubwa, akikazana na kujifunza atafika mbali sana

    Juzi nimeletewa wimbo na mdogo wangu unaitwa Mi Amor wa huyu Whozu. Huwa nasikiliza Bongo Fleva lakini ni wasanii wachache sana huwa nawafurahia kwa uwezo wa kufanya ubunifu wa kujitenganisha na wasanii wengine. Mara nyingi wasanii wengi huwa wanaigana sana kuimba na mwisho kabisa huwa unakuta...
  12. Robidinyo

    Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

    Kuhusu kulipia show =========== Jamaa kaona isiwe kesi, Kiki hakuna kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu ==================== Kuhusu performance ya kuwa nzuri ===================== ================== Kuhusu performance ya kuwa sio nzuri ================
  13. Slowly

    Video: Harmonize akicheza wimbo wa Jeje wa Diamond Platnumz

    Huenda kuna kitu Kati ya hawa watu, tuwe na akiba ya maneno
  14. Miss Zomboko

    Diamond Platnumz aanza kutoa msaada wa kodi ya miezi 3 kwa kaya 500

    Mkurugenzi wa kampuni ya Wasafi, msanii Diamond Platnumz ametoa msaada wa kodi ya pango kwa watu 57 ambao ni wajane, walemavu pamoja na wasiojiweza. Msaada huo ni awamu ya kwanza katika ile dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la mlipuko wa...
  15. Babu Kijiwe

    Hivi ni kidude gani alichokiimba Diamond Platnumz hapa?

    Katika kibao chake kiitwacho Baba Lao, nyota wa muziki anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania Diamond Platnumz ameimba maneno haya katika moja ya verses kwenye wimbo huo "Eeeh! Tumewachapa (Kidude) Hakichomoki (Kidude) Kimewanasa (Kidude) Wanatapatapa (Kidude)" Hicho kidude anacho kiimba...
  16. Dong Jin

    Diamond Platnumz ulichomfanyia Stonebwoy kwenye Black Madonna ni unyama. Sio kwa kumfunika huku

    Kama wewe ni msanii na una mpango wa kutoa wimbo ukamshirikisha huyu kijana wa Tandale inabidi ujiandae vya kutosha. Zaidi ya hapo mwachie tu wimbo uwe wake tu kama alivofanya Innos' B na Yope Remix Hii Black Madonna Stonebwoy ndo anaonekama kama kashirikishwa wakati ni wimbo wake Nimeshindwa...
  17. Y

    Huyu ndie Diamond Platnumz

    Jina halisi: Nasibu Abdul. Umri: 30 years. Mtanzania maarufu zaidi huko duniani. Kijana mpambanaji zaidi katika historia ya tanzania. Mtanzania anaefuatiliwa zaid dunian kupitia platform na social network. Anamiliki label kubwa zaid afrika. Anamiliki label maarufu zaid afrika. Youtube king...
  18. Influenza

    Diamond Platnumz afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kuharibu nyumba aliyokuwa amepanga

    Mwanamuziki Nassibu Abdul 'Diamond Plutnumz' amepelekwa mahakamani kwa tuhuma za uharibifu wa mali ndani ya nyumba aliyokuwa amepanga kwa ajili ya studio maeneo ya Sinza Kijitonyama kabla ya kuhamia Mbezi, jijini Dar es Salaam huku akidaiwa kodi ya mwezi mmoja. Mali hiyo yenye thamani ya zaidi...
  19. B

    Uwezekano wa Diamond Platnumz kuendelea kuishi na Tanasha ni Mkubwa sana

    Wengi huwa nawaambia ukiona mtu na demu wake au mke wanagombana usiingilie kwa kumchamba au kumsema vibaye mwingine au kumuelekeza chuki dhidi ya mmoja no uta ahibika, lazima tuishi kwa kuwaelewa na kuwaombea ipo siku watarudiana. Niliwahi kwenda kuamua ugomvi wa binam na mumewe nikamlazimisha...
  20. Burnaboy

    Mondi kusamehewa iwapo atamuacha Tanasha? Sidhani

    Mimi ni fan wa Mondi. Kama mtu mwenye uwezo wa kuchambua mambo, naweza kuamua kumu "un-fan" muda wowote. Anguko la Mondi linaweza kutokana na mambo ya mahusiano kwa sababu hizi (3): 1. "Ego" - kwa tabia anataka lazima awe mwenye "control" kwa mwenza wake. Uhalisia, Ili kufanikiwa kwenye...
Back
Top Bottom