Kwa kuwa sasa CCM imeazimia kwa kauli moja kupitia mkutano wake Mkuu maalamu kuwa mgombea wake awe ni Dkt.Samia licha ya kwamba ilikuwa inajulikana muda mrefu atakuwa yeye lakini kwa azimio la Leo ni yeye rasmi na hakuna mjadala zaidi ya hapo.
Ni muda mrefu nimeomba awe ni yeye na kwa kuwa...
Jarida la Forbes
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jarida la Forbes.
Ushawishi wake katika masuala ya Diplomasia na kuwa kinara wa Nishati safi Duniani ni baadhi ya sababu, namna anavyoendesha nchi...
dkt.samiadkt.samia suluhu hassan
duniani
forbes
jamhuri
jamhuri ya muungano
jarida
moja
muungano
nguvu
rais
rais wa jamhuri
samiasamia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
wanawake
wanawake 100
wenye
zaidi duniani
Bendera yenye nembo ya TRA na picha ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa na ujumbe wa kodi wa “TUWAJIBIKE kulipa kodi kwa hiari kwa maendeleo ya Taifa letu” imefika katika kilele cha mlima Kilimanjaro tarehe 09 Desemba, 2024, mlima mrefu kuliko yote...
dkt.samiadkt.samia suluhu hassan
kilele
kilele cha mlima kilimanjaro
kilimanjaro
kodi
mlima
mlima kilimanjaro
picha
rais
rais dkt.samiasamiasamia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
ujumbe
wenye
(C&P) - "Mgeni Maalumu wa Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu katika Uongozi na Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...
https://www.youtube.com/live/4zaJF1ulpWo?si=IAPHRSt9HALIxBDp
Chuo Kikuu Mzumbe kinatarajia Kumtunuku Rais Samia Shahada ya Udakatri wa Heshima katika Uongozi wa Chuo kama ishara ya kutambua jitihada zake katika kuboresha Elimu ya Juu Nchini hasa miundombinu,Utafiti na kuongeza idadi ya udahili...
aliyekuwa
boss
chuo kikuu mzumbe
dkt.samia
falsafa
heshima
hizi
holela
katika
maana
phd
rais
rais samia
sababu
samia
shahada
udaktari
udaktari wa heshima
uongozi
wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza ofa ya kipekee kwa watanzania kuiona mechi ya timu ya taifa, Taifa Stars, bila malipo. Ofa hii inalenga kuongeza hamasa kwa wapenzi wa soka nchini katika kipindi hiki kigumu baada ya tukio la kusikitisha la kuporomoka...
Wakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.
Pia, Soma: Rais...
HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewapongeza Tabora United kwa ushindi wa goli 3-1 walioupata leo Novemba 7, 2024 dhidi ya Yanga SC.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rais Samia amendika hivi:
“Pongezi kwa Tabora United kwa ushindi wenu dhidi ya...
dkt.samia
goli
habari
jamhuri
jamhuri ya muungano
muungano
novemba
rais
rais wa jamhuri
samiasamia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tabora
tabora united
tanzania
united
ushindi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Mkutano wa 11 wa Merck Foundation Africa Asia Luminary, Ukumbi wa Johari Rotana Dar es Salaam, leo tarehe 29 Oktoba, 2024.
https://www.youtube.com/watch?v=pO386W-gVjw
https://www.youtube.com/watch?v=s1K5o6UUZqU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akizindua Kitabu cha Edward Moringe Sokoine (Maisha na Uongozi Wake) kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es Salaam, leo tarehe 30 Septemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi kabla ya kufunga Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa lililofanyika katika uwanja wa Majimaji Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.
dkt.samia
jamhuri
jamhuri ya muungano
kabla
kitaifa
kufunga
muungano
rais
rais wa jamhuri
samiasamia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tamasha
tanzania
utamaduni
wananchi
Hodi Hodi Ruvuma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya Ziara ya Kikazi Mkoani Ruvuma kuanzia Tarehe 23-28 Septemba, 2024.
dkt.samia
hodi
jamhuri
jamhuri ya muungano
kikazi
kuanzia
kufanya
mkoani
muungano
rais
rais wa jamhuri
ruvuma
samiasamia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
ziara
ziara ya kikazi
RAIS DKT. SAMIA AWASILI NA KUPOKELEWA MKOANI KILIMANJARO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 16 Septemba, 2024.
Rais Samia anatazamiwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu...
Wasalaam wanajf
Kama kichwa mada hapo, hili suala linasikitisha sana kwa kweli nimeona nitoe ya moyoni juu yanayoendelea, inasikitisha sana pale ambapo tunaona Rais anafumua mifumo ya mtangulizi wake bila ya kujua uhalisia wa mambo hayo.
Pia nikupongeze kwa kumteua Bw. Lyimo kuwa kamishina wa...
Ndugu zangu Watanzania,
Haya ndio maneno na ujumbe wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.mara baada ya kifo cha Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga kufariki hii leo.
Soma
- TANZIA - Askofu Chedieli Elinaza Sendoro, KKKT Dayosisi ya Mwanga...
Bila shaka nyote mnafahamu kuwa Dkt. Samia yupo ziarani mkoani Arusha kuanzia leo.
Swali muhimu la kujiuliza: Je, atafika Ngorongoro kuwatuliza Wamasai?
Pia soma Kuelekea 2025 - Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro
https://www.youtube.com/watch?v=Ibe4QGL-jQc
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi Suluhu Sports Academy Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar, leo tarehe 22 Agosti, 2024.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kushindwa kufanya vizuri katika michezo...
WADAU WAITIKIA WITO WA RAIS DKT. SAMIA WA KUONGEZA THAMANI MADINI NCHINI
-_Waziri Mavunde aweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda cha kuchakata madini Kinywe(Graphite)
-Zaidi ya Ajira 300 za moja kwa moja kupatikana
-Tanzania kuwa mmoja ya wazalishaji wakubwa wa madini kinywe Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.