Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona.
Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo
Rais Trump alipima baada ya msaidizi wake, Hope Hicks KUkutwa na maambukizi na kufanya maambukizi ya #COVID19 kuingia...
Rais wa Marekani na mgombea wa chama cha Republic, Donald Trump anatarajiwa kukutana uso kwa uso na mpinzani wake, Joe Biden katika mdahalo wa kwanza wa urais unaotarajiwa kufanyika baadaye hii leo katika ukumbi wa Chuo cha Case Western Reserc, Cleveland, Ohio.
Mdahalo huo unatarajiwa kufanyika...
The New York Times says Donald Trump paid just $750 (£587) in federal income tax both in 2016, the year he ran for the US presidency, and in his first year in the White House.
The newspaper - which says it obtained tax records for Mr Trump and his companies over two decades - also alleges that...
Wapinzani (Democrats) Hatimae wameuona Mwanga baada ya safari ndefu kwenye handaki, sasa ni dhahiri hata kwao kwamba Kumsdinda Trump kwa kumtumia mgombea wao Joe Biden ni kama kumchuna ngozi kupe, Haiwezekani,
Ni wazi katika hio video Nancy Pelosi amekiri kwamba Mgombea uraisi kwa tiketi ya...
Huyu hajaikosa katika maishani mwake, matarajio yake yanatendeka vile anakuwa ameyatarajia. Sasa amesema Trump hatafaulu katika uchaguzi wa mwaka huu 2020.
The number of coronavirus cases in the US has surpassed 4 million, with nearly 144,000 Americans now killed by the global pandemic, according to Johns Hopkins University.
The grim toll makes the country by far the hardest hit by the deadly bug, topping Brazil’s 2.2 million cases and India’s 1.2...
Don't get me wrong. Trump is not my cup of tea.....my opinion is that he could probably be the worst president the US has hitherto ever had (but that's the funeral for Americans, not me).
It's a well documented fact that on a world scale, the US appears to be the most hit by the corona-virus...
Habari!
Hali si hali kwa rais Donald Trump, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Republican kwa ujumla wakati ambapo tukielekea katika Uchaguzi wa Rais panapo mwezi Novemba mwaka huu.
Hii ni kulingana na matokeo ya hivi karibuni ya kura mpya za maoni za kitaifa za jarida la New York Times pamoja na...
Rais wa Marekani, Donald Trump amefanya kampeni yake ya kwanza tangu kuanza kwa mlipuko wa CoronaVirus ambapo watu wachache wamejitokeza
Mapema wiki hii, Rais Trump alisema watu takriban Milioni 1 wamenunua tiketi za kampeni hiyo iliyofanyika Tulsa, Oklahoma lakini uwanja unaomudu watu...
Habari!
Awali ya yote, natumai mu wazima wa afya.
Nimemsikia Joe Biden akisema kuwa ana wasiwasi kwamba rais Donald Trump "atajaribu kufanya wizi" katika uchaguzi ujao wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu.
Joe Biden hakuishia hapo tu bali amedai kuwa anaamini Jeshi litalazimika kumuondoa kwa...
Duru zinaarifu kuwa Rais Donald Trump anapanga kurejesha kampeni zake za uchaguzi kwa kufanya mkutano wake wa kwanza panapo Juni 19 mjini Tulsa, Oklahoma.
Juni 19 ni siku inayofahamika kitaifa kama Juneteenth ambayo ni kumbukizi ya siku ya kukomeshwa kwa utumwa nchini Marekani.
Trump alitoa...
Colin Powell ni mwana-Republican aliyekuwa katibu mkuu, enzi za utawala wa George W. Bush. Amesema Donald Trump ni muongo hivyo atampigia kura mgombea wa Democrat, Joe Biden
Amefikia uamuzi huo baada ya Donald Trump kutishia kutumia jeshi kuwasambaratisha waandamanaji wanaopinga ubaguzi wa...
Habari!
Katika kipindi kifupi kijacho, rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kulihutubia taifa la Marekani kulingana na vyanzo kutoka Ikulu ya White House huku ajenda kuu ikiwa ni masuala ya ubaguzi wa rangi pamoja na umoja wa kitaifa.
Jambo jingine linalotarajiwa kuzungumziwa zaidi na...
Joe Biden ameshinda rasmi uteuzi wa Chama cha Democratic kumkabili rais Donald Trump katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais utakaofanyika panapo mwezi Novemba mwaka huu.
Biden amesema katika ukurasa wake wa Twitter kwamba amefanikisha kujikusanyia wajumbe 1,991 wanaohitajika ili kupitishwa...
The East Africa region, Africa, and the world at large very much criticized President John Pombe Magufuli when he decided to go his way when the COVID-19 pandemic broke up in the region.
During this COVID-19 pandemic that has plunged the whole world into fear, panic, and confusion, Magufuli's...
Rais wa Marekani Donald Trump ambaye anakabiliwa na uchaguzi mkuu mwaka huu ambaye amekosolewa jinsi anavyotatua ugonjwa huo nchini Marekani , amelaumu China kwa kujaribu kuziba mlipuko huo na kuilaumu WHO kwa kushindwa kuiwajibisha China.
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kwamba...
Few hours after President Donald Trump of the United States of America confirmed that Americans have started to move around amid COVID-19 pandemic, President John Pombe Magufuli has been branded a genius.
A video making rounds on social media that showed Trump predicting victory and...
We are all aware of the situation in the globe as coronavirus has shaken countries and economies.Many countries have embarked on strict measures to curb the disease inform of total lockdowns and curfews..With some countries seeing the effectiveness by a drop of cases ,others are still...
United States President Donald Trump today termed coronavirus an “attack” on the country saying nobody has ever seen anything like this.
Washington: President Donald Trump believes that coronavirus is an attack on the United States. Talking to reporters the US President said the US was...
Trump spoke of the leadership style in Africa and in Nigeria particularly. In his address, the president told Nigerians and entire Africa the bitter truth about Africa style of leadership.
According to Trump, Africans are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.