dp world

DP World is an Emirati multinational logistics company based in Dubai, United Arab Emirates. It specialises in cargo logistics, port terminal operations, maritime services and free trade zones. Formed in 2005 by the merger of Dubai Ports Authority and Dubai Ports International, DP World handles 70 million containers that are brought in by around 70,000 vessels annually. This equates to roughly 10% of global container traffic accounted for by their 82 marine and inland terminals present in over 40 countries. Until 2016, DP World was primarily a global port operator, and since then, it has acquired other companies up and down the value chain.

View More On Wikipedia.org
  1. Farolito

    Wakili Mwabukusi: IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda njoo jukwaani

    Wakuu, Akihojiwa na waandishi wa habari siku chache baada ya kuachiliwa na polisi kwa dhamana, wakili Mwabukusi amenukuliwa akisema." Nataka nimwambie wazi IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda,toka kwenye bunduki njoo jukwaani." Hoja zetu za kisiasa...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Mkataba wa BANDARI dhidi ya DP WORLD hautaongezwa wala kupunguzwa herufi moja

    Habari! Hili suala la BANDARI ambalo limeleta amsha amsha takribani miezi 3 sasa. Watu wanalichukulia jambo hili kawaida. Wengine wanaamini huenda Rais Samia kahongwa pesa ili aupitishe haraka ule mkataba. Hapana. Hajaongwa hata Senti. Hili suala ni spiritual manipulation (shinikizo la kiroho)...
  3. N

    TEC ni taasisi ya kidini ambayo watu wake ni Watanzania; msimamo wao ni msimamo wa wananchi wengi

    Habari za asubuhi wakuu, Juzi kati, Maaskofu wa Kikatoliki Tanzania wametoa msimamo wao kuhusiana na bandari, lakini jambo la ajabu kuna watu wameibuka kuwashambulia kwa kuwapinga na cha ajabu wengine ni viongozi wa dini ya Kikristo! Mimi ni Mkristo, tena Mpentekoste, mwalimu wa neno la Mungu...
  4. K

    Ina maana DP World imeizika kabisa Bandari ya Bagamoyo?

    Miezi mitatu tu baada ya kufariki kwa Rais wa Awamu ya tano Dk John Pombe Magufuli, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya mama Samia, ilianza mazungumzo na wawekezaji kufufua mradi wa Bandari ya Bagamoyo pamoja na ule wa Mchuchuma na Liganga. Juni 26, 2021 wakati akifungua mkutano wa 12 wa Baraza...
  5. Feld Marshal Tantawi

    DP World pekee ndio watakaomnasua Rais Samia ili 'watanganyika' wasimtose!

    “KUNA HATUA TATU WANAWEZA KUCHUKUA” Hatua ya kwanza ni kampuni hiyo kukiri kwamba mkataba wao uliandaliwa vibaya, wakubali kuwa umekosewa na kwahiyo kuna vifungu vinatakiwa kurekebishwa. Wasijaribu kumshinikiza Samia wala kumdanganya kwamba anaweza kubadilisha sheria za nchi yetu, ili ziweze...
  6. Determinantor

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa! Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW. Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na...
  7. B

    Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

    Kwa hakika haupo udini hapa! Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii." Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka...
  8. YEHODAYA

    Serikali baada ya kukutana na viongozi wa dini ilitakiwa irudi tena kuwapa mrejesho mapendekezo yao Serikali imefikia wapi

    Sintofahamu inayoendelea sasa hivi Issue ya Dp World ilitakuwa kuwa solved kidogo tu. Viongozi wa serikali walikutana na viongozi wa dini kuhusu hilo swala Wakaeleza kutoridhikia na wakatoa maoni yao na kusihi serikali na bunge waangalie ushauri wao wawape mrejesho. Matokeo serikali na bunge...
  9. GUSSIE

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Tamko hilo limetolewa leo na Padri Kitima. Kwa Mujibu wa Padri kitime ,TEC imeamua kusimama na wananchi kwenye suala la bandari Padri kitime amesisitiza kwa sasa serikali inataka kuligawa Taifa kwenye pande mbili wanaokubaliana na wasiokubaliana,lakini wengi wanaokubaliana wanahofi tu kwa...
  10. Bams

    Mkataba wa Bandari: Tatizo ni kubwa kwa sababu kuna watu wanaamini hawawezi kukosea

    Katika Ulimwengu huu, hakuna mwanadamu ambaye hawezi kufanya makosa, iwe ni kwa bahati mbaya au kwa kukusudia. Wanaofanya makosa, na wakagundua wamefanya makosa, iwe ni baada ya tafakari yao au kukumbushwa na wengine, nao wakakiri, ndio watu ambao wapo kwenye njia ya mafanikio. Lakini wapo...
  11. The Burning Spear

    Ukimya wa mstaafu Kikwete tulidhani ni busara kumbe hamna kitu

    Aisee mzee wetu katia aibu kubwa sana. Alichoongea hakina uhalisia wowote kwa sababu wanasiasa hawa hawa wanategemea sana kufanikisha mambo yao kupitia dini. Yaani Edo Kumwembe amechambua vizuri sana sijajua nani alimwandalia ile hotuba huyu mzee kule Mara. ====== Edo Kumwembe: Wakati...
  12. Marathon day

    Nichangie kuhusu DP World / sio mkataba

    Naomba nichangie machache kuhusu Bandar / DP would . hoja zimekua nyingi na serikali haijaelimisha wachangiaji wengi maana halisi ya ukodishwaji wa bandari. Naomba nieleweke Bandari haiwezi kuuzwa kwa maana yoyote ile, inakodiswa kwa msimamiaji. Bandari ni sehemu ya mipaka ya Inchi , huwezi...
  13. BigTall

    Catholic Bishops in Tanzania oppose an agreement giving Ports to a Dubai based company

    Tanzania’s Catholic Bishops have strongly criticised and cautioned the Government of Tanzania against going ahead with the Intergovernmental Agreement (IGA) between Tanzania and Dubai, giving exclusive port rights to the Dubai-based DP World company. A heated and divisive debate Over the...
  14. richaabra

    Mkataba wa Bandari: KKKT muelewe hili kwanza

    Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi...
  15. L

    Mbunge wa Bunda ameidhalilisha CCM na anapaswa kukatwa jina lake uchaguzi ujao

    Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa wabunge, kuelewa jukumu kubwa wanalolobeba katika jamii. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, sauti ya...
  16. Roving Journalist

    Arusha: Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT - Agosti 21, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika Chuo cha Tumaini Makumira – Arusha leo tarehe 21 Agosti, 2023. https://www.youtube.com/watch?v=0du5OfCnYHM Rais wa Jamhuri ya Muungano...
  17. MUSHEKY

    Sakata la Bandari: Muungwana akivuliwa nguo huchutama

    Bila salamu nijielekeze moja kwa moja kwenye mada Kama binadamu (sio robot) leo nimeona nitimize wajibu wangu kuongea machache yanayohusiana na sakata la hizi bandari zetu Kwanza kabisa niwakumbushe watawala wote (hasa wale wa ngazi zinazonyenyekewa) akiwemo Rais wa jamhuri ya muungano wa...
  18. GENTAMYCINE

    Kwa wanaopinga Mkataba wa DP World vijiweni ila kwenye media wanasifia na kumsifia kwa kufuru Rais

    Tunakoelekea sasa Mheshimiwa Rais Samia tutakutajia Watendaji wako (hasa Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na Wilaya) wenye Unafiki mkubwa ambao GENTAMYCINE huwa napata Taarifa zao kupitia kukutana nao baadhi, Wanafamilia Wao, Ndugu zao, Madereva, Wasaidizi Ofisini na Walinzi wao na hata...
  19. The Sheriff

    Sakata la Bandari: Baraza la Mitume na Manabii Tanzania lakanusha kutoa Tamko

    Baraza Kuu la Mitume na Manabii Tanzania limekanusha kuhusika na barua ambayo imesambaa mtandaoni ikieleza kinachodaiwa kuwa ni tamko la baraza hilo kuhusu sakata linaloendelea la Mkataba wa Bandari. Akieleza katika video aliyoiposti kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya...
  20. The Burning Spear

    Harakati za Ukombozi na utetezi wa mtu mweusi huko Marekani zilifanyika Kanisani. CCM acheni kupindisha Mjadala wa Bandari

    Kamwe huwezi kuwazuia Viongozi wa dini kukemea maovu hasa pale serikali inapokuwa na moyo mgumu na usio kuwa na huruma kwa wanchi wake. Kilichofanywa na kanisa Katoliki ni kutimiza wajibu wao wa kichungaji na hakuna tatizo lolote. Kanisa halijaanza leo kuwakalipia wanasiasa wa hovyo. Leo hii...
Back
Top Bottom