Katika gazeti la The Citizen la leo Agosti 24,2020 habari iliyopo ukurasa wa mbele inasema "Nchi za Afrika Mashariki zinapoteza fursa ya biashara na Congo DRC inayofikia Dola za Marekani Bilioni 10.
Hii ni hasara kubwa kwa Tanzania (Sitaki nizisemee nchi nyingine za E.A).
Awali ifahamike...
Equity Group Holdings Ltd is set to become the Democratic Republic of Congo’s biggest foreign bank after completing its acquisition of BCDC — the country’s second-largest lender.
Equity Bank, which is listed on the Nairobi Securities Exchange (NSE) and cross-listed on the Uganda and Rwanda...
Huduma za ibada katika makanisa ya nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), zimerejea baada ya takribani miezi mitano iliyopita.
Makanisa hayo yalifungwa kutokana na mlipuko wa virusi vya corona.
Jumapili hii, mamia ya Wakristo nchini humo wamejumuika kwa pamoja katika sala wakiwa na...
Hizi ni jitihada za kuhakikisha reli bora inaunga kwenye bandari ya Kisumu iliyokamilishwa hivi majuzi, itasaidia pakubwa kuharakisha mizigo kuwafikia DRC, Rwanda na Burundi maana ikifika Kisumu inapokezwa kwenye meli.
Izingatiwe hayo mataifa yanatumia pia bandari yetu ya Mombasa, na...
Tanzania’s CRDB renews plan to get pan-African bank status
By JAMES ANYANZWA
Tanzania’s CRDB Bank Plc is planning an ambitious programme that could see it expand into seven countries in East and Central Africa.
The largest bank by assets and market share in Tanzania, CRDB had started its...
Mfalme Philippe wa Ubelgiji ameeleza majuto yake kutokana na unyanyasaji uliofanywa na nchi yake wakati wa ukoloni
Katika maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa DR Congo, Mfalme Philippe amesema hayo katika barua aliyoandika kwa Rais Felix Tshisekedi
Ubelgiji ilikuwa Mtawala wa DR Congo kutoka...
The Mombasa port has recorded increased cargo destined to Tanzania, South Sudan and the DRC Congo while Uganda’s consignments declined in the first four months of this year.
This is according to latest Kenya Ports Authority (KPA) performance report of 2020.
The introduction and gazettement of...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) amepinga kitendo cha kukamatwa kwa waziri wa sheria, akisema serikali ya mseto inaweza kuvunjika juu ya suala hilo na kumtaka rais kuwahakikishia mawaziri utetezi wa kisheria.
Waziri wa Sheria Celestin Tunda alikamatwa na polisi Jumamosi...
DRC ni kama wana gubu, yaani kisirani fulani hivi, corona inawatesa, hawajatulia Ebola imewakondolea macho tena halafu walivyo wa ajabu bado wanapigana licha ya mahangaiko hayo....
======
Five people, including a 15-year-old girl, have died of Ebola in a fresh outbreak of the virus in the...
Tangu Rwanda aingie East Africa, alianzisha mpango wa kuitenga Tanzania wa "Coallition of The Willing", ambao haujawasaidia chochote hadi sasa. Pia,wamekuwa wakipoteza uaminifu kwa Tanzania kwa kutuwekea vikwazo. Mfano: Walianzisha kutoza ushuru wa laki tangi kila lorry linalopita kwao kwenda...
DR Congo 'prepared' to take part in vaccine testing: official
The Democratic Republic of Congo is prepared to take part in testing of any future vaccine against the coronavirus, the head of the country's taskforce against the pandemic said on Friday.
"We've been chosen to conduct these tests,"...
The Democratic Republic of Congo has reported recording its index case of coronavirus. The patient is a Belgian national who was under quarantine in the capital Kinshasa upon entry through the airport.
Authorities say he has since been isolated. DRC is currently quarantining passengers entering...
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema endapo Zambia haitaondoa vikwazo visivyo vya kisheria vya kuzuia mahindi, yanayotoka nchini kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) kupita katika nchi yao, nao watawawekea vikwazo hivyo wasipitishe mizigo yao kuelekea Rwanda...
DRC (Danish Refugee Council), founded in Denmark in 1956, is Denmark’s largest and the world’s leading non-profit, independent, rights-based refugee organization.
Our vision is to assist refugees, internally displaced people and their host communities to a dignified life. We protect lives and...
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Tshisekedi ametishia kuwafuta kazi Mawaziri wake na hata kulivunja bunge, iwapo washirika wake wa kisiasa ambao wanaegemea katika mrengo wa rais wa zamani Joseph Kabila, wataendelea kumdharau.
Tshisekedi amesema kuna baadhi ya Mawaziri ambao...
Wafungwa 11 wamepoteza maisha katika gereza kubwa nchini DRC la Makala jijini Kinshasa, tangu kuanza kwa mwaka huu wa 2020. Ripoti zinasema kuwa, vifo hivyo vimesababishwa na uhaba wa chakula na dawa katika gereza hilo.
Wafungwa watatu walipoteza maisha siku ya Jumatatu, baada ya...
Kenyatta, Odinga helped DR Congo's Tshisekedi win presidential poll
Kenya's President Uhuru Kenyatta (left) welcomes the President of the Democratic Republic of the Congo Felix Tshisekedi at State House, Nairobi on February 6, 2019. PHOTO | PSCU
Kenyan President Uhuru Kenyatta and opposition...
Mila na desturi zinatajwa kuwa miongoni mwa changamoto katika shughuli za kupambana na ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Utamaduni ambao wananchi wameuzoea umekuwa ukirudisha nyuma jitihada mbalimbali za kujikinga na maambukizi.
Jinsi shughuli za...
Responsibilities:
Cash Management
• Ensure weekly cash forecast/requirements are compiled for all DRC field offices
• Ensure that Nyarugusu Program has sufficient cash flow for implementation by Requesting Funding from to HQ on time
• Check and record the bank balance on Weekly basis
• Follow...
IMF imeidhinisha mkopo wa Dola milioni 368.4 kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ili kuwezesha nchi hiyo kukidhi mahitaji ya haraka.
Shirika la fedha duniani IMF limeidhinisha mkopo wa Dola milioni 368.4 kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ili kuwezesha nchi hiyo kukidhi mahitaji ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.