Katika hali iliyowaacha wengi mdomo wazi ni suala la African giant Burna boy kugoma kufanya show Dubai yenye thamani ya zaidi ya dola za kimarekani milioni 5 kisa tu kanyimwa kibali cha kuvuta bangi .
Ukisikia bangi nibangue ndio hii sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nikiangali ushikaji wa kimtindo uliopo kati yake...
https://youtu.be/mYG3nEK8BZE
Sote tunafahamu kwamba, kwa nchi changa duniani, fursa za uwekezaji wa kigeni sio tu kwamba ni chache, lakini pia zinakuja na mashari ya kikatili, kinyonyaji na kikoloni. Na wakati mwingine zinakuja kwa ghrama kubwa sana.
Kuna wakati mazingira asilia ndiyo...
Habarj wakuu
Naomba niende moja kwa moja kweny mada husika.
Baada ya kufanya research yangu kwa kipindi cha miezi 2 na kugundua sasa kumbe kweli fursa ipo na inalipa.
Nimeona ni muda sasa wa kufanya kweli katika hii business.
Kwa kipindi cha miezi miwili nimekuwa humu jamiiforums kuagizishia...
KARIBU Mo cargo Company Limited, has the right and affordable Logistic Solutions to your Cargo be, it small or big. With our in-depth domestic experience ( East and Central Africa ) in Clearing and Forwarding and considerable overseas experience on Imports/Exports , are able to tailor made our...
Serikali imeyaondoa mapendekezo yaliyopelekwa Bungeni ya kufanya marekebisho ya sheria ya Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili ya mwaka 2017 na Sheria ya Mapitio na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi Katika Maliasili ya nchi ya mwaka 2017 kuwa zisitumike katika miradi ya...
WAZIRI ADAIWA KUMWAGA NOTI KUNUNUA KAWE BEACH, NHC YASEMA HAIJAUZWA NI MALI YAKE NA KAMPUNI YA DUBAI
WAZIRI mmoja mwandamizi, anadaiwa kuibua hali ya sintofahamu kwa wapangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa eneo la Kawe Beach, kwa kuwalipa mamilioni ya fedha ili waondoke kupisha...
Msikiti unaitwa " Maria Mama wa Yesu" na unapatikana Dubai.
Wakristu na waislamu huwaga ni wale wale.
Ndio maana akina Yericko Nyerere wameona warudi zao kwenye dini za asili za kumuomba Mungu kupitia mababu.
As for me, I shall go with my traditional ancestral veneration.
Sifuati dini ya...
Siyo siri,
Rais wetu mpendwa ameshughilishwa mno na hoja zetu mbalimbali kama wananchi juu ya huu mkataba ambao serikali ilisha usaini mwezi february 2022 na kuja kuridhiwa na Bunge 30 Juni 2023.
Siyo siri
Kuna wakati hoja zetu wananchi zinavuka mipaka hata kuutweza utu na wafhifa wa Rais...
Tanzania’s Catholic Bishops have strongly criticised and cautioned the Government of Tanzania against going ahead with the Intergovernmental Agreement (IGA) between Tanzania and Dubai, giving exclusive port rights to the Dubai-based DP World company.
A heated and divisive debate
Over the...
Kama una muda, usikilize uchambuzi yakinifu wa huyu msomi mbobezi. Kumbe ni Tanzania pekee duniani yenye mkataba wa Intergovernmental Agreement na Emirate ya Dubai.
Kumbe mkataba huu hauwezi kuvunjwa, zile disputes zinazoweza kutokea wakati wa utekelezaji wa projects zitakazopelekwa South...
Guys nahitaji kuagiza spare parts Dubai bila kwenda Dubai.
Kama kuna mtu anaweza kunipa muongozo.
Kwa Dubai.,
1. Wapi mnanunua spareparts hasa kwa gari za Kijerumani?
2. Mnatumia kampuni zipi za usafiri kwa njia ya maji na anga?
Pia kwa Upande wa Kenya, Mnanunua spare parts wapi, na...
Habari ya usiku wakuu,
Natamani kupata ka vaccation kidogo nipunguze machungu ya hii dunia.
Nimekua nikitamani kwenda Dubai na kwa mambo ninayopitia naona kama huu ndio wakati muafaka wa kwenda huko nikiamini nitafurahi kidogo na kusahau kidogo mateso ya dunia hii.
So wakuu hiyo pesa itatosha...
https://youtu.be/R1zyTINo6kQ
Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.
1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika...
Amnesty International
August 14, 2023
The Tanzanian authorities must immediately and unconditionally release Willibrod Slaa, former parliamentarian and Tanzanian Ambassador to Sweden, Boniface Mwabukusi, a lawyer and activist, and Mdude Nyagali, a political activist, all of whom were arrested...
Ushahidi wa kimazingira. Circumstantial evidence ni kuwa huu mkataba mbovu kuna watu wamekula rushwa.
Taifa letu linahitaji mashushushu kama hayati Lyatonda Mrema.
Leo hii tungejua kila mtu namna alivyohongwa na kuisaliti Tanganyika.
Baada ya China Kughairi kutoa pesa ya mkopo kujenga reli ya kulinganisha Nchi za Kenya,Uganda na DRC ,UAE Kupitia Dubai wamesema wako tayari kutoa Trilioni 15 kujenga reli hiyo Kwa Sharti kwamba wapewe share kubwa ya uendeshaji wa Bandari ya Mombasa.
Haijajulikana kama Serikali ya Kenya...
Hauhitaji kuwa mwanasheria kufahamu maana na dhana ya haya maneno ya IGA na HGA.
Makubaliano ya taifa moja na taifa moja jingine au zaidi yenye nguvu za kisheria (legal binding), yanayohusu kushirikiana kutatua matatizo fulani yanayozikumba nchi zote husika yanaitwa Treaty. Maneno mengine...
Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je...
Ndiyo huitaji mwanasheria wala Waziri kukupa maelekezo kibao kukuaminisha kuwa eti Dubai ni state kama ilivyowekwa kwenye IGA kati ya Tanzania na Dubai.
Nenda google tu andika "Dubai is a state?" Utajibiwa vizuri tu ila chakushangaza wanasheria wetu waliotumwa huko Dubai kwenda kutuwakilisha...
Mchoro wenye kuonyesha: Mtindo wa Mikataba ya Kimataifa Unaotumiwa na Dubai (The Dubai BIT Model) wenye sura ya piramidi la mikataba ifuatayo: (1) Inter-Governmental Agreement (IGA), ambacho ni kitako cha piramidi; (2) Host Governmental Agreement(HGA) ; (3) Project-level Lease Agreement (PLA)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.