dubai

  1. Hance Mtanashati

    Burna Boy agomea zaidi ya bilioni 12 kufanya show Dubai kisa kunyimwa kibali Cha kuvuta bangi. Huyu jamaa bila shaka ndiye aliyemuharibu ndugu yetu wa

    Katika hali iliyowaacha wengi mdomo wazi ni suala la African giant Burna boy kugoma kufanya show Dubai yenye thamani ya zaidi ya dola za kimarekani milioni 5 kisa tu kanyimwa kibali cha kuvuta bangi . Ukisikia bangi nibangue ndio hii sasa 🤣🤣🤣🤣🤣 Nikiangali ushikaji wa kimtindo uliopo kati yake...
  2. Doctor Mama Amon

    Wito: Pamoja na kusainiwa kwa mikataba mitatu ya wawekezaji wa Dubai Serikali ibainishe maudhui yake na mabadiliko yaliyofanywa kwenye mkataba wa IGA

    https://youtu.be/mYG3nEK8BZE Sote tunafahamu kwamba, kwa nchi changa duniani, fursa za uwekezaji wa kigeni sio tu kwamba ni chache, lakini pia zinakuja na mashari ya kikatili, kinyonyaji na kikoloni. Na wakati mwingine zinakuja kwa ghrama kubwa sana. Kuna wakati mazingira asilia ndiyo...
  3. Jay_255

    Kopesha milioni 3.6 urejeshewe milioni 6 ndani ya miezi 10

    Habarj wakuu Naomba niende moja kwa moja kweny mada husika. Baada ya kufanya research yangu kwa kipindi cha miezi 2 na kugundua sasa kumbe kweli fursa ipo na inalipa. Nimeona ni muda sasa wa kufanya kweli katika hii business. Kwa kipindi cha miezi miwili nimekuwa humu jamiiforums kuagizishia...
  4. G

    SAFIRISHA NA MO CARGO KUTOKA CHINA,INDIA NA DUBAI KUJA TANZANIA KWA BEI NAFUU

    KARIBU Mo cargo Company Limited, has the right and affordable Logistic Solutions to your Cargo be, it small or big. With our in-depth domestic experience ( East and Central Africa ) in Clearing and Forwarding and considerable overseas experience on Imports/Exports , are able to tailor made our...
  5. BARD AI

    Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

    Serikali imeyaondoa mapendekezo yaliyopelekwa Bungeni ya kufanya marekebisho ya sheria ya Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili ya mwaka 2017 na Sheria ya Mapitio na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi Katika Maliasili ya nchi ya mwaka 2017 kuwa zisitumike katika miradi ya...
  6. peno hasegawa

    Waziri adaiwa kumwaga noti kununua Kawe beach, NHC yasema haijauzwa ni mali yake na kampuni ya Dubai

    WAZIRI ADAIWA KUMWAGA NOTI KUNUNUA KAWE BEACH, NHC YASEMA HAIJAUZWA NI MALI YAKE NA KAMPUNI YA DUBAI WAZIRI mmoja mwandamizi, anadaiwa kuibua hali ya sintofahamu kwa wapangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa eneo la Kawe Beach, kwa kuwalipa mamilioni ya fedha ili waondoke kupisha...
  7. LIKUD

    Huu hapa msikiti wa Bikira Maria uliopo Dubai

    Msikiti unaitwa " Maria Mama wa Yesu" na unapatikana Dubai. Wakristu na waislamu huwaga ni wale wale. Ndio maana akina Yericko Nyerere wameona warudi zao kwenye dini za asili za kumuomba Mungu kupitia mababu. As for me, I shall go with my traditional ancestral veneration. Sifuati dini ya...
  8. Msanii

    Yah: Mkataba wa IGA kati ya Dubai na Serikali ya Tanzania; serikali iitishe kura ya maoni

    Siyo siri, Rais wetu mpendwa ameshughilishwa mno na hoja zetu mbalimbali kama wananchi juu ya huu mkataba ambao serikali ilisha usaini mwezi february 2022 na kuja kuridhiwa na Bunge 30 Juni 2023. Siyo siri Kuna wakati hoja zetu wananchi zinavuka mipaka hata kuutweza utu na wafhifa wa Rais...
  9. BigTall

    Catholic Bishops in Tanzania oppose an agreement giving Ports to a Dubai based company

    Tanzania’s Catholic Bishops have strongly criticised and cautioned the Government of Tanzania against going ahead with the Intergovernmental Agreement (IGA) between Tanzania and Dubai, giving exclusive port rights to the Dubai-based DP World company. A heated and divisive debate Over the...
  10. Dr Akili

    Kumbe Tanzania ndiyo nchi pekee duniani yenye mkataba wa IGA na Dubai Emirate

    Kama una muda, usikilize uchambuzi yakinifu wa huyu msomi mbobezi. Kumbe ni Tanzania pekee duniani yenye mkataba wa Intergovernmental Agreement na Emirate ya Dubai. Kumbe mkataba huu hauwezi kuvunjwa, zile disputes zinazoweza kutokea wakati wa utekelezaji wa projects zitakazopelekwa South...
  11. 42774277

    Msaada wale mliowahi kuagiza/mnaoagiza spare parts Dubai na Kenya.

    Guys nahitaji kuagiza spare parts Dubai bila kwenda Dubai. Kama kuna mtu anaweza kunipa muongozo. Kwa Dubai., 1. Wapi mnanunua spareparts hasa kwa gari za Kijerumani? 2. Mnatumia kampuni zipi za usafiri kwa njia ya maji na anga? Pia kwa Upande wa Kenya, Mnanunua spare parts wapi, na...
  12. Loimata

    Naomba kujuzwa kama TSh milioni 10 inatosha kwenda kutembea Dubai

    Habari ya usiku wakuu, Natamani kupata ka vaccation kidogo nipunguze machungu ya hii dunia. Nimekua nikitamani kwenda Dubai na kwa mambo ninayopitia naona kama huu ndio wakati muafaka wa kwenda huko nikiamini nitafurahi kidogo na kusahau kidogo mateso ya dunia hii. So wakuu hiyo pesa itatosha...
  13. Doctor Mama Amon

    Majibu kwa Lord Denning kuhusu tamko la TEC juu ya mkataba wa Uwekezaji kati ya Tanzania na Dubai

    https://youtu.be/R1zyTINo6kQ Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point. 1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika...
  14. U

    Amnesty International: The Detained critics of Dubai Port deal in Tanzania must be immediately and unconditionally released

    Amnesty International August 14, 2023 The Tanzanian authorities must immediately and unconditionally release Willibrod Slaa, former parliamentarian and Tanzanian Ambassador to Sweden, Boniface Mwabukusi, a lawyer and activist, and Mdude Nyagali, a political activist, all of whom were arrested...
  15. Idugunde

    Hayati Lyatonga Mrema angetuambia ukweli juu ya waliohongwa huko Dubai. Alikuwa super spy Mzalendo wa kweli

    Ushahidi wa kimazingira. Circumstantial evidence ni kuwa huu mkataba mbovu kuna watu wamekula rushwa. Taifa letu linahitaji mashushushu kama hayati Lyatonda Mrema. Leo hii tungejua kila mtu namna alivyohongwa na kuisaliti Tanganyika.
  16. ChoiceVariable

    Dubai yasema iko tayari kutoa $6 Bilion (Tsh. 15T) kujenga Reli ya Kenya, Uganda na DRC kwa sharti la kuwa na mgao mkubwa Mombasa Port

    Baada ya China Kughairi kutoa pesa ya mkopo kujenga reli ya kulinganisha Nchi za Kenya,Uganda na DRC ,UAE Kupitia Dubai wamesema wako tayari kutoa Trilioni 15 kujenga reli hiyo Kwa Sharti kwamba wapewe share kubwa ya uendeshaji wa Bandari ya Mombasa. Haijajulikana kama Serikali ya Kenya...
  17. Dr Akili

    Tatizo la bandari ya Dar ni ufisadi uliokubuhu. Dubai hawana tatizo hili, sasa IGA inakujaje? Hata HGAs ni batili

    Hauhitaji kuwa mwanasheria kufahamu maana na dhana ya haya maneno ya IGA na HGA. Makubaliano ya taifa moja na taifa moja jingine au zaidi yenye nguvu za kisheria (legal binding), yanayohusu kushirikiana kutatua matatizo fulani yanayozikumba nchi zote husika yanaitwa Treaty. Maneno mengine...
  18. Mpinzire

    Ndege ya Rais yawasili tena Dubai ikitokea Dar es Salaam usiku huu! Kunani Dubai?

    Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai. Je...
  19. Mpinzire

    Hatuhitaji Mwanasheria au Waziri kutuambia kuwa Dubai sio State

    Ndiyo huitaji mwanasheria wala Waziri kukupa maelekezo kibao kukuaminisha kuwa eti Dubai ni state kama ilivyowekwa kwenye IGA kati ya Tanzania na Dubai. Nenda google tu andika "Dubai is a state?" Utajibiwa vizuri tu ila chakushangaza wanasheria wetu waliotumwa huko Dubai kwenda kutuwakilisha...
  20. Doctor Mama Amon

    Tutafakari pamoja: Kwa nini Dubai wanalazimisha mfumo wa mikataba unaojumuisha IGA na HGA wakati miradi yote itatekelezwa nchini Tanzania?

    Mchoro wenye kuonyesha: Mtindo wa Mikataba ya Kimataifa Unaotumiwa na Dubai (The Dubai BIT Model) wenye sura ya piramidi la mikataba ifuatayo: (1) Inter-Governmental Agreement (IGA), ambacho ni kitako cha piramidi; (2) Host Governmental Agreement(HGA) ; (3) Project-level Lease Agreement (PLA)...
Back
Top Bottom