Licha ya Wadau wa Burudani kufurahia #Beyoncé kurejea jukwaani baada Miaka 5, baadhi wameoneshwa kutofurahishwa na Nyota huyo kutumbuiza katika Nchi yenye Sheria kali dhidi ya Wapenzi ya Jinsia Moja
Baadhi ya Mashabiki wake wamedai kuwa Beyonce ni Mshirika wa Jamii ya LGBTQI, na kitendo hicho...