The Eurasian Conformity mark (EAC, Russian: Евразийское соответствие (ЕАС)) is a certification mark to indicate products that conform to all technical regulations of the Eurasian Customs Union. It means that the EAC-marked products meet all requirements of the corresponding technical regulations and have passed all conformity assessment procedures. The mark was introduced in August 2013.
Before this marking came into use, the prevalent product marking was GOST R 50460-92: Mark of conformity for mandatory certification.
Waasi waamrishwa waamue moja, kati ya makubaliano ya amani au watembezwe kichapo kutoka kwa jeshi la pamoja la EAC.
========
East African leaders on Thursday issued a warning to armed groups in the Democratic Republic of Congo, urging them to choose dialogue or be considered enemies of all...
Long live the country that works energetically with ignorance daily in their mouth and brain, learn to speak sense, what should we expect and plan with DRC arrival as part of the EAC?
how did we perform before and what should be our target as of now and in the future? what have we been good at...
Kama hatua za mwisho za kurasimisha....
DR Congo President Félix Tshisekedi is scheduled to visit Kenya on Thursday where he is expected to sign the East African Community (EAC) treaty.
Kenya is the current chair of the EAC and Tshisekedi is expected to sign the treaty before President Uhuru...
DRC imeingia kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Imekuja na vitu vifuatavyo:-.
1. Imekuja na Population ya Watu Milioni 92. Idadi hii ya watu itaifanya Jumuiya yetu sasa kuwa na Population ya watu milioni 289. Congo pekee inachangia zaidi ya Robo ya Population yote ya EAC. Inaingiza Asilimia...
Nchi mpya inaweza kuundwa ndani ya shirikisho la nchi za Afrika mashariki.
Shirikisho la Afrika Mashariki, ni muungano unaopendekezwa wa nchi sita wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa nchi moja ya shirikisho ifikapo 2023.
Mataifa haya saba yatakuwa Burundi, Kenya, Rwanda, Sudan...
Jumuiya sasa imeunganisha bahari Hindi na Atlantic.
DRC yenyewe kwa ukubwa wa ardhi ilikua kubwa hata kuzidi jumuia ya EAC ya mwanzo, halafu ardhi yao ina rotuba nzuri kote na madini ya kumwaga, wao hukwamishwa na mavita vita tu japo hayapo nchi yote.
Wawekezaji hii ndio fursa sasa, kawaida...
Ni pongezi kubwa kwa EAC kukalibisha congo kuingia kwenye EAC ila bado kitendawili ambacho DRC kutaka kifumbuliwe ni kuhusu vikundi vilivyomo ndani ya nchi yake.
Je, EAC itakubali kuyajadili haya ukiachana na uchumi na mambo mengine.
• On the day that DRC formally joined the EAC, thousands...
Binafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.
Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa...
DRC: Jumuiya ya Afrika Mashariki yakaribisha mgeni mpya baada ya kuwasili kwa DRC, anakuja na mazuri gani?
Mataifa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yana kila sababu ya kusherehekea, yakiikaribisha Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) kuwa mwanachama mpya wakati viongozi wake...
Kenya will soon export cars to the rest of the continent after the East African Community met the minimum requirement to allow it to trade under the African Continental Free Trade (AfCTA). The move will see countries like Kenya start selling products out of the bloc.
The partner states have...
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan and Kenya President Uhuru Kenyatta during the Kenya-Tanzania Business forum at Serena Hotel, Nairobi, on May 5, 2021. FILE PHOTO | NMG
By LUKE ANAMI
Tanzania’s trade surplus across the East African Community region rose to $484.5 million in 2020, from...
Inaonekana safari ya DRC kuingia EAC imeiva. Bado hatua chache tu lakini technically ni imekubaliwa.
Inasemwa kuwa lengo la Kenya kwenye EAC ni kupata soko la bidhaa zake, kuwekeza mtaji wake unaozidi na kupata ardhi. Rwanda, na labda Burundi, malengo yao ni kupata sehemu ya kupeleka watu...
Wadau wapendao Utukufu kwa Mungu juu na AMAN dunian tuangalie mabadiliko ya kisiasa, kijamii na kiuchumi yatakayotokana na nchi kubwa yenye migogoro ya muda mrefu na siasa ngumu zenye mkono wa kuibiana, na dhulma za walioko nje ya nchi muhanga, itakapopata washirika wa africa masharik wenye...
DRC ni moja ya nchi zilizopo Ukanda wa maziwa makuu!!
Nchi hii imefanikiwa kujiunga na EAC hivi punde baada ya kupewa uanachama hapo 22Novermber 2021
Aidha uamuzi huo umekuja baada na timu ya EAC kwenda DRC kujiridhisha na utimilifu wa vigezo hapo 26june had 5 july
KIFUATACHO
-Itakua n...
Nawaza hapa kwa nia njema, wadau tunakesha tukiachia software za kishua tu huko nje zinatumika, ina maana hatujafikia kiwango cha kushawishi hizi serikali za ukanda huu, mpka ERP inafuatwa India kwa gharama ya milioni 30 dola za Kimarekani. Hela ndefu sana hiyooo.
=========
A statement...
Kama kawa akili kubwa....
Four East African climate innovators from Kenya, Uganda and the Democratic Republic of Congo have won the prestigious 2021 Ashden Awards at the UN climate summit COP26 in Glasgow, Scotland.
The Ashden Awards, organised by a London-based charity that works in...
Wakenya wamejiongeza kula bingo hapo Secretariat - Arusha, Wabongo wamebakia wafagizi na madereva (comfortably). Wabunge toka Uganda wamestukia michezo ya wakenya kupiga sarakasi na kuendelea kula mikataba ya maana.
Wawakilishi wa TZ kwenye EALA wapo Ila wametulia jii
Aisee EAC Secretariat japo Ipo Arusha (TZ) lakini Watanzania tumeishia kubakia nafasi za chini (udereva, wafagizi, receptionist). Sasa Wabunge toka Uganda nao wamestukia chezo la wakenya kujazana humo.
Wabunge toka TZ wametulia Kama hakuna kinachoendelea, huku wakilamba posho zao bila bugudha
Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,
" Hakuna kama Samaia "
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine...
Kenya’s exports to the East African Community increased from Ksh140.4 billion ($1.28 billion) in 2019 to Ksh158.3 billion ($1.44 billion) in 2020. This accounted for 64.3 percent of the country’s total exports to Africa, data from the Kenya National Bureau of Statistics’ Economic Survey 2021...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.