eac

The Eurasian Conformity mark (EAC, Russian: Евразийское соответствие (ЕАС)) is a certification mark to indicate products that conform to all technical regulations of the Eurasian Customs Union. It means that the EAC-marked products meet all requirements of the corresponding technical regulations and have passed all conformity assessment procedures. The mark was introduced in August 2013.

Before this marking came into use, the prevalent product marking was GOST R 50460-92: Mark of conformity for mandatory certification.

View More On Wikipedia.org
  1. eliakeem

    Tanzania Yaibuka Kinara wa Uwekezaji EAC Yote. Yasweka Kibindoni Dola Bilioni 1

    Tanzania kinara uwekezaji EAC kwa dola bil. 1 TANZANIA imezipiku nchi zote za Afrika Mashariki kwa kupata uwekezaji mkubwa wa Dola bilioni 1.0, kwa mujibu wa taarifa ya uwekezaji ya kidunia iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuendeleza Biashara Sawia Kimataifa (UNCTAD). Kwa mujibu...
  2. GENTAMYCINE

    Je, kitendo cha nchi ya Burundi kupenda kushirikiana zaidi na nchi moja ya 'EAC' ni Afya kwa 'Usalama' wake wa Taifa?

    Ni kawaida kabisa kuisikia nchi ya Burundi au kupitia Rais wake wakipenda sana 'Kujianika' juu ya Mipango yao ya 'Kiustawi' na 'Rasilimali' zake kwa nchi moja Rafiki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Je, Wabobezi wa Mambo ya Kiitifaki na Kiusalama kitendo hiki cha Taifa la Burundi kupenda...
  3. Liverpool VPN

    Mtumishi wa Umma anawezaje kupata ajira kwenye International organisations kama UN, SADC, AU, EAC

    Bandugu salama? Nadhani humu nitapata jibu la jambo langu ambalo limekuwa likinisumbua kwa miaka. Mimi ni mtumishi wa Umma wa Halmashauri mwenye miaka 31. Niliajiriwa 2012 (nikiwa na Diploma, nikawa Afisa mdogo sana (uongozi wangu ulikuwa ndani ya kata). 2013 nikaenda Shule na kupata...
  4. Miss Zomboko

    Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti mfumuko wa bei wa Taifa ikilinganishwa na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti mfumuko wa bei wa Taifa ikilinganishwa na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi cha mwezi June, 2021. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii, Ruth Minja, Jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mfumuko huo kwa...
  5. Red Giant

    Kwanini kupiga simu ndani ya EAC kusiwe kama kupiga ndani ya nchi moja?

    Ingekuwa sawa sana kama kupiga simu ndani ya EA kungekuwa kama unapiga ndani ya nchi. Hakuna haja ya mtu anayepiga simu Kenya au Uganda kuonekana anapiga simu nje ya nchi au na kutozwa kwa mtindo huo. Hii itaturahisisia sana mambo.
  6. Mutaitina

    Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

  7. K

    Rais Samia, tupitie upya tena mradi mkakati wa ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Omukajunguti ambacho kitaunganisha EAC

    Rais wetu kipenzi, Kabla ya mambo kubadilika, kulikuwa na mpango mkakati wa ujenzi wa kiwanja cha ndege eneo la Omukajunguti mkoani Kagera. Huu mradi ulilenga kuziunganisha nchi za Afrika Mashariki, lakini si hivyo tu mama, kama umeenda Bukoba umeona ni jinsi gani ndege zinastrugle kutua katika...
  8. D

    Kuna mtu ana mrejesho kuhusu kazi za EAC

    Wakuu naomba kama kuna mtu ana mrejesho wowote kwa zile kazi za EAC zilitangazwa juzi. Nakumbuka mwaka jana walitangaza, nikaomba nikaona kimya Mwaka huu wametangaza tena nafasi zilezile ila bado kuna kaukimya. Kuna yoyote ameitwa hata interview wakuu? Nataka ili nisiendelee kuwa na matumaini...
  9. N'yadikwa

    FAIDA ZA EAC: Tanzania tunapokea wafanyakazi & wanafunzi wengi zaidi kutoka nchi wanachama kuliko nchi nyingine

    Niko napitia gazeti la The East African hapa ukurasa wa tatu wanasema Tanzania tunaomgoza kwa kuwakaribisha watu wa nchi wanachama kuja nchini mwetu KUISHI na KUFANYA KAZI. Kwa ufupi ni kwamba Tanzania tunaongoza kutoa vibali vya kazi na makazi katika EAC. Kenya wanafuatia wa tatu ni Burundi...
  10. jiwekuu770

    EAC inatatuaje mgogoro wa viongozi kung’ang'ania madarakani?

    Jumuiya ya Afrika Mashariki hauhusiki kutatua mgogoro wa nchi viongoz wanao ng’ang’ania madaraka? Hapa tunazo kama Uganda, Rwanda na Burundi.
  11. Replica

    TANZIA Rubani aliyetorosha ndege baada ya kuvunjika EAC, Captain Narzis Mapunda afariki dunia

    Director of Ops mstaafu wa Air Tanzania Captain, Narzis Mapunda jana asubuhi tarehe 23/05/2021. RIP Capt. Mapunda. ===== Mwaka 2019 Kapteni Mapunda ambae ni rubani mstaafu alitunukiwa tuzo na Rais Magufuli kwa uzalendo wa kutorosha ndege ya Tanzania baada ya kuvunjika iliyokuwa Jumuiya ya...
  12. Geza Ulole

    Kenya clears air on toxic maize ‘ban’ after EAC partners condemn action

    Trucks with imported maize from Tanzania waiting to offload outside Mombasa Maize Millers in Mombasa in this picture take in August 2019. PHOTO | FILE | NMG Summary The Agriculture and Food Authority in a letter dated March 5 said maize from the two countries have revealed high levels of...
  13. MK254

    Rais Uhuru aukwaa uenyekiti wa Kamati ya Usalama Afrika, hii ni mara tu baada ya kuchukua usukani EAC

    Ikumbukwe pia Kenya imepata uanachama kwenye kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa, ndio maana imebidi kupigiwa simu na rais wa Marekani bwana Biden ili wajadili udhabiti wa Afrika. President Uhuru Kenyatta signs the Finance Bill 2018 at State House, Nairobi. PSCU President Uhuru Kenyatta has...
  14. MK254

    Mkenya ateuliwa kuwa Katibu Mkuu EAC, huku naye Rais Uhuru akichukua uenyekiti

    Binafsi huwa sina imani kwenye huu usanii wa hiki kitu tunaita EAC, lakini wacha tuone mwisho wake.... pia naona sarafu ya pamoja ipo kwenye hatua za mwsho kutekelezeka The chairman of the EAC Heads of State, Rwandan President Paul Kagame has announced Dr Peter Mathuki from Kenya as the new...
  15. Red Giant

    Wakati EAC inavunjika, nani alipata nini?

    Nasikia hii ilivunjika mwaka 1977. Nimekuwa nikisikia hadithi nyingi kuwa watu waligawana mali kama washenzi(barbarians). Hili limewapa baadhi ya watu vinyongo hadi leo kuwa walidhulumiwa, naomba kujua kwenye kugawana huko, Uganda alipata nini, Kenya alipata nini na Tanzania alipata nini...
  16. K

    Utaifa wa EAC unachelewesha maendeleo

    Kwa ufupi tu umoja ni nguvu. Ukiangalia vizuri kuna vitu ambavyo wana EAC tungeweza kufanya pamoja na kurahisisha maendeleo ya nchi zote 1. Madawa tungeweza kuagiza pamoja maana tunaumwa magojwa yale yale hii ingesaidia kupunguza bei ya uagizaji kwasababu tuna nunua kwa jumla. Lakini kwenye...
  17. Sherlock

    EAC countries except Tanzania posted increased FDI inflows during the year

    Foreign Direct Investments (FDIs) into East Africa surged in 2019 to hit $11.5 billion, up from $5.7 billion in 2018. This was mainly due to China’s increased interest in East Africa’s construction, manufacturing, and services sector. According to EAC’s Trade and Investment Report (2019), all...
  18. B

    Barabara ya Njia nne Namanga- Tengeru mkoani Arusha mbona inasomeka ni Mradi wa EAC?

    Nimemsikia Mhe. Rais akisema barabara ya Namanga hadi Tengeru ni barabara iliyojengwa kwa usumbufu wa RC Arusha, nikipitia kwenye website na maandiko mbalimbali yanaonyesha ile ni barabara ya Afrika Mashariki na mipango yake ya ujenzi imeanza miaka mingi nyuma, aidha inaelezwa hiyo barabara...
  19. GENTAMYCINE

    Je, ni kwanini nchi ya Rwanda si tu 'inasifika' bali kwa sasa 'inaogopeka' pia kwa kuwa na 'Majasusi' mahiri kabisa kuliko nchi nyingine za EAC?

    Inasemekana huwezi kupanga Jambo baya la 'Kuidhuru' Rwanda ukiwa ndani au nje ya nchi hiyo na kama ukipanga kufanya hivyo usijulikane mapema kwani utadhibitiwa Kikamilifu kabisa. Pia wanasema huwezi 'Kuvamia' Mkoa wowote ule wa Rwanda hata kama Wewe ni Gaidi na ukauwa Wanyarwanda au...
  20. Q

    Uchaguzi 2020 Amnesty International yazitaka UN, AU, SADC and EAC kuibana Tanzania, Rais na Waziri Mambo ya Ndani kuhakikisha Uchaguzi huru na wa haki

    12 October 2020, Index number: AFR 56/3051/2020. 1. EXECUTIVE SUMMARY Tanzania has been independent since 1961 with President John Magufuli as the country’s fifth president, elected into office in October 2015. On 28 October 2020, Tanzanians go to the polls in general elections. Under...
Back
Top Bottom