eac

The Eurasian Conformity mark (EAC, Russian: Евразийское соответствие (ЕАС)) is a certification mark to indicate products that conform to all technical regulations of the Eurasian Customs Union. It means that the EAC-marked products meet all requirements of the corresponding technical regulations and have passed all conformity assessment procedures. The mark was introduced in August 2013.

Before this marking came into use, the prevalent product marking was GOST R 50460-92: Mark of conformity for mandatory certification.

View More On Wikipedia.org
  1. Z

    Hata kama mtu humpendi, hii hapana. Kutokukubali lockdown ni kuharibu mahusiano ya EAC?

    Nilichojifunza hapo ni kwamba Mh Tundu Lissu au chadema mna ungomvi binafsi na Mh JPM. Hivi kukataa lockdown na huku nchi jirani zikiendeleza lockdown ni kaharibu mahusiano? Come ooon! Eti rafiki yake ni Burundi tu kwa sababu nchi ya Burundi huko nako walikataa lockdown! Labda sijakuelewa...
  2. Jamii Opportunities

    Scholarship Opportunities fully funded by EAC

    CALL FOR SCHOLARSHIP APPLICATIONS FROM NATIONALS OF EAST AFRICAN COMMUNITY PARTNER STATES TO PURSUE KFW- FUNDED MASTER’S STUDIES (COHORT 2) IN AN EAC PARTNER STATE OTHER THAN THEIR OWN Opening date: 2nd October 2020 Closing date: 22nd October 2020, 17:00 hours, East African Time Thematic...
  3. IAfrika

    Inside Kenya's Tiff With Somalia and Tanzania

    Kenya’s persistent trade tiffs with neighbours may be a result of dynamics beyond the region, which could require political solutions. Two of Kenya’s neighbours, Somalia and Tanzania, have recently stalled business ventures for Kenyans over alleged bad policy by Nairobi. Tanzania cancelled...
  4. IAfrika

    Katiba ya shirikisho la Afrika Masharki

    Kama tunavyojua kwa sasa, marais wa Jumuiya waliamua kuwa kongamano la kisiasa (confederation) itakuwa muungano wa kisiasa wa mpito wa kukaribisha shirikisho la kisiasa (federation). Tofauti kubwa kati ya kongamano la kisiasa na shirikisho la kisiasa ni kuwa uanachama wa au kuondoka kongamano ni...
  5. MK254

    Akili kubwa - Mkenya ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Google Afrika Mashariki, amechukua kutoka kwa Mkenya

    Agnes Gathaiya Agnes Gathaiya has been appointed the new Country Director for East Africa at Google. Agnes, who boasts a 21-year experience in organizational transformation, focused on developing strategy, will manage the regional operations for East Africa. She will be responsible for...
  6. IAfrika

    Vita vya GDP Afrika Mashariki ni Kati ya Kenya, Ethiopia na Tanzania tangu 1980. Nafasi ya kwanza inaeza nyakuliwa na nchi hizi tatu

    Mabadiliko haya ya kiuchumi yakitazamwa na mabadiliko ya kihistoria na uongozi yanaweza kutuonyesha ni kitu gani kinaweza kusababisha uchumi kuimarika au kusambaratika.
  7. luangalila

    Wabunge wa Kenya EAC wamedai posho ya siku ilhali wanafanyia kazi kwao

    Wabunge wa bunge la EAC toka kenya wameonyesha ulafi wao wa fedhaa ktk bunge la EAC wakidai walipwe daily subsistance allowance ili hali wana fanyia kazi nchini kwao ..AIBU gani hii kwa wabunge walafi
  8. MK254

    Akili kubwa - Kama kawaida chuo cha Nairobi chaongoza EAC na Afrika ya Kati

    Siku zote tunawakumbushia humu, siri ya Wakenya ni kujituma, hatuna madini ila tunaongoza kwenye kila kitu kinachohitaji matumizi ya ubongo. Uganda wamejitutumua na Makerere yao, ila Tanzania bandugu wa kusini aka 'walalamikaji' sijui wako namba ngapi au hata kama wana habari za haya mambo, wao...
  9. Pascal Mayalla

    Uhuru Kenyatta jirani mwema, atupenda Watanzania, amkubali sana JPM. Asisitiza upendo, umoja na ushirikiano kati Wakenya na Watanzania tujenge EAC 1

    Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwa ninaandika kitu kupitia safu yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye kuhimiza patriotism kwa Watanzania kuwa wazalendo kwa taifa letu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Pia niliwahi kusisitiza humu kuwa unaweza kuchagua marafiki lakini huwezi kuchagua...
  10. LangatKipro

    Tanzania should be kicked out of EAC

    We have mutual understanding among the EAC nations such as Uganda, Rwanda, Burundi and Tanzania and we would have achieved a lot including even a political federation if it were not for Tanzania. Don't you think its the time to kick Tanzania out of EAC just like USA and other countries did for...
  11. MK254

    Jinsi makampuni ya Kenya yanavyozidi kuliteka soko la EAC lenye idadi ya watu milioni 150

    Soko la EAC linazid kufungua milango, makampuni ya Kenya kwa ujasiri yanazidi kutanua na yapo kwenye kila taifa mwanachama wa huu muungano, safi sana kwa kweli. Takwimu za hivi majuzi zimeonyesha jinsi mauzo yetu kwenda kwenye haya mataifa yameongezeka pakubwa, huu ndio muda wa kila mmoja wetu...
  12. IAfrika

    History not taught in schools: The fall of the EAC in 1977 and why Kenya & Tanzania have unending beef

    "The East African Community is as dead as a dodo", Kenya's Minister for Power and Communications, Isaac Omolo Okero, informed Parliament. This was in June of 1977. At the time, relations between Community member-states, viz. Tanzania, Uganda and Kenya were - thanks to mistrust and bitter...
Back
Top Bottom