elimu

  1. R

    SoC04 Shule za ufundi Tanzania ziongezwe na Elimu ya ufundi ipewe kipaumbele

    Shule za ufundi au technical schools ziongezwe ili kuweza kuwajengea wanafunzi ujuzi na uwezo katoka nyanja mbalimbali ikiwemo baadhi ya ujuzi wa veta kuingizwa katika mitaala ya elimu ya sekondari hii itasaidia kukua kukuza ujuzi wa vijana wamalizao kidato cha nne na kuleta chachu ya...
  2. B

    SoC04 Kuimarisha Elimu na Mafunzo ya Stadi Za Kazi Kwa Ajira Endelevu Tanzania

    Sekta ya ajira nchini Tanzania inalazimika kukabiliana na changamoto kadhaa, ikiwemo upungufu wa wafanyakazi wenye stadi na ujuzi unaotakiwa katika soko la ajira. Hili limekuwa ndio changamoto kubwa zaidi ambayo inahitqji kuangaliwa kwa umakini mkubwa katika miaka ijayo kuanzia miaka 5 hadi...
  3. Yesu Anakuja

    Fungu la elimu ya Juu Zanzibar

    MDAU MMOJA KAANDIKA TWITTER, WE NEED TO KNOW WHETHER ITS TRUE OR FALSE. LISEMWALO LIPO. 1. Wazanzibar kwenye masuala ya elimu, kule kwao wana fungu la Elimu ya Juu Kwa watu wa Zanzibar na sio mkopo , Lakini Hii mikopo yetu huku HESLB kuna kifungu tena cha Wazanzibar, yaani hiyo fedha ni kwa...
  4. I

    Mataifa 20 yenye elimu bora duniani

    Hivi majuzi tulikusanya orodha ya Nchi 20 Bora zenye Mfumo Bora wa Elimu Duniani na katika makala haya, tutaangalia nchi inayoongoza kwa mfumo bora wa elimu duniani. Mitindo ya Elimu Ulimwenguni Takwimu kutoka kwa ripoti ya Takwimu ya Elimu ya Juu ya Ulimwenguni ya UNESCO iliyotolewa mwaka 2022...
  5. L

    SoC04 Elimu ni tunu na zawadi kwa vizazi vyetu mitaala ya elimu ibadilishwe

    Kwa maono yangu Tanzania tuitakayo kuna baadhi ya vitu vinahitajika kuongezwa na vingine kuondolewa kwenye sekta ya Elimu. Mfano mitaala ya Elimu ya sasa haimuandai mwanafunzi muhitimu, kupata ujuzi ambao anaweza akauhamisha kutoka kwenye maandishi kwenda kwenye vitendo ili kutatua matatizo ya...
  6. Makirita Amani

    Habari Njema; Nimeidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Kutoa Elimu ya Fedha

    Rafiki yangu mpendwa, Nimekuwa napenda utajiri tangu nikiwa mtoto mdogo. Nakumbuka niliwahi kumwambia mama yangu kwamba kwenye maisha yangu lazima nitakuwa tajiri. Alicheka na kuniambia ni utoto tu unanisumbua. Nikiwa shuleni nilifuata vizuri ile kanuni maarufu ya NENDA SHULE, SOMA KWA BIDII...
  7. Tlaatlaah

    Kongole nyingi sana kwa walimu

    Watoto wanaonyesha umahiri mkubwa sana juu ya walichojifunza mashuleni Academic improvement kwa watoto wetu imeimarika sana na inatia moyo mno... Uelewa na ufahamu wa watoto wetu katika kusoma, kuhesabu, kuandika, sayansi na stadi za maisha umeongezeka sana Watoto wanapenda kusoma, wanabidii...
  8. Paspii0

    SoC04 Tanzania tuitakayo yenye huduma bora za mikopo ya Elimu ya juu, na kuweka utaratibu mzuri wa marejesho Kwa wote hata kwa ambao hawapo sekta rasmi

    UTANGULIZI. 👉Lengo kuu la HESLB ni kutoa msaada wa kifedha kwa wanafunzi wa elimu ya juu ili kuhakikisha kuwa wanaweza kukamilisha masomo yao bila kikwazo cha kifedha. Dhamira yake ni kuongeza upatikanaji wa elimu ya juu na kusaidia kuboresha ubora wa elimu nchini Tanzania. 👉Baada ya kumaliza...
  9. L

    Hivi elimu na shule za Tanzania zimekumbwa na nini?

    Kuna rafiki yangu ana mtoto anasoma shule moja ya private yuko kidato cha tatu. Shule yenyewe ni boarding hivyo mtoto ameanza kusoma pale toka kidato cha kwanza na sasa yuko kidato cha tatu. Sasa jambo la kushangaza ni kwamba walimwita mzazi katika likizo hii na kumwambia kuwa mtoto wake siku...
  10. K

    Naomba kujua vyuo vinavyotoa Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) pamoja na ada zao

    Naomba kujua vylyuo vinavyotoa Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) na ada zao.
  11. Allen Kilewella

    Elimu inarudi ilikotokea... Ni hatari Sana Kwa Afrika

    Ukiangalia kwa makini siasa za Afrika zinavyoendeshwa Kwa Sasa, unaweza kuona pasina shaka kuwa mserereko wa kurudi nyuma miaka 200 iliyopita ni mkubwa sana. Kabla ya Mkutano wa Berlin ulioigawanya Afrika vipande vipande. Afrika yenyewe tayari ilikuwa imegawanyika kikabila na kiukoo. Maarifa...
  12. LA7

    Naomba serikali itazame kwa jicho la tatu elimu kuhusu utengenezaji wa Simu

    Kuna vijana wengi wamejiajiri kwenye kazi ya ufundi simu Ila Kati ya 20 waweza pata mmoja tu ndo anaelewa kidogo kuhusu simu walio Baki ni kuchoma maiki tu na kubadili vioo kwani hata kubadili port ya kuchajishia wengi hawajui vizuri jinsi ya kuifanya iwe strong, sio mteja anatumia mwezi tu Ina...
  13. Heavy Metal

    SoC04 Elimu yetu na Tanzania ijayo ya viwanda: Nini kifanyike?

    Utangulizi Hakuna nchi yoyote duniani iliyoendelea bila na elimu bora ambayo ndiyo chimbuko la teknolojia mbalimbali zitumikazo viwandani. Teknolojia bora ndiyo msingi wa kuifanya nchi ipige hatua kiuchumi na kimaendeleo kwa ujumla. Kadri unavyokua na viwanda vingi ndivyo unavyoweza kutatua...
  14. Sam Darfur

    SoC04 Kosa Litakaloliangamiza Taifa Miaka Mitano ijayo

    Mashuhuda wa ajali wanasema kwamba, eneo ajali ilipotokea ni hatari na huenda kukawa na jini ambaye anasababisha ajali zitokee mara kwa mara. Wanadai kwamba, inawezekana jini huyo ndio sababu ya kutokea kwa ajali hii kubwa na hatari, ajari iliyoondoa roho za watu 65 huku watoto chini ya miaka 18...
  15. M

    SoC04 Tanzania Tunayoitaka: Kuleta Mapinduzi Elimu na Kukuza Ubunifu

    Dunia inapoendelea kukua kwa kasi, ikisukumwa na uvumbuzi wa hai ya juu na maendeleo ya kiteknolojia, ni lazima Tanzania ibadilike na kufanya mabadiliko ili kustawi katika siku zijazo. Mfumo wa elimu, msingi wa maendeleo ya taifa lolote, lazima upitie mabadiliko ya kukuza akili za vijana wetu na...
  16. K

    SoC04 Upatikanaji wa Elimu Bora

    Katika Maisha ukikosa mwanzo mzuri basi kila kitu kitayumbayumba mpaka kisimame inahitajika kazi ya ziada kwakuwa chochote kile kikianza na msingi mzuri uwezo wa kustawi ni mkubwa maana watu husema , Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mmea ili ustawi vizuri lazima uanze na mizizi. Ili nyumba iwe...
  17. S

    SoC04 Education in Tanzania: A Proposal for Enhanced Examination Preparation

    Current Examination System Currently, university exams in our country typically follow a traditional format where students are given a set of questions on the day of the exam and are required to answer them within a limited timeframe. While this method has its advantages, such as testing the...
  18. G

    SoC04 Elimu ni safari

    Nilipokuwa mdogo wazazi wangu hawakuacha kunisisitiza nizingatie masomo kwani elimu ni ufunguo wa maisha. Wazazi waliamini wakitupeleka shule nzuri na kutupatia elimu bora basi maisha yetu yatakuwa ya kujitosheleza kuliko yao. Kipindi cha likizo wakati wanafunzi wengine wakiwa nyumbani sisi...
  19. K

    Naomba kujua vyuo vinavyotoa Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) pamoja na ada zao

    Naomba kujua vylyuo vinavyotoa Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) na ada zao.
  20. Yohana Ezekiel Kanyamala

    SoC04 Serikali iboreshe haya katika mfumo wa elimu

    SEKTA YA ELIMU "ELIMU" ni msingi katika maisha ya sasa naya baadae. napenda kuzungumzia kuhusu utoaji wa na ufaulishaji wa shule za serikali haswa za kata na nyinginezo. ili tuweze kuifikia tanzania tuitakayo ni lazima kubadili mfumo wa elimu kwa kuzingatia vitu vifuatavyo; Mitihani ya kila...
Back
Top Bottom