english

  1. LIKUD

    Kilaza ni wimbo utakaowafungua wazazi wenye vipato vya kawaida, wanaohangaika kulipa mamilioni ili kusomesha watoto Shule ya Kiingereza

    Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu? Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania? Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa. Back to the topic 👇👇...
  2. M

    Utapeli kwenye dini ni sawa na utapeli kwenye shule hizi za english medium, wazazi stukeni dunia imebadilika,

    Jinsi watu wanavopigwa kwenye hayo makanisa, ndio hizo shule nazo wanavotupiga pesa ndefu, Shule hizo nyingi tofauti na majengo na kumiliki magari ya njano hawana ule ubora ambao dunia ya sasa inahitaji, Dunia iko kasi inahitaji sio kiingereza tu, inataka fani, ubunifu na vipaji ili maisha...
  3. M

    Satini maua na English satin zinapatikana wapi?

    Habari waungwana ,natamani kujumuika katika biashara ya uuzaji wa vitambaa hivi vya wakina mama ambao umeshamiri na mita moja inauzwa sh 5000 Niko Dodoma, mwenye uzoefu na biashara hii na mahali wanapochukulia naomba muongozo
  4. Damaso

    English Medium mnawachosha watoto wetu.

    Ni saa 10 na nusu alfajiri ninaamka kujiandaa kwa ajili ya kwenda harakati, nafuata taratibu zangu za kila siku, napiga goti namshukuru Mungu kwa uzima naingia bafuni kujishikashika na sabuni pamoja na maji ya baridi ili kuzimua akili ikae mguu sawa. Huwa nachukua nusu saa tu kujiandaa na kwenye...
  5. Mmea Jr

    Yes!! English never loved us, not to this extent

    Habari zenu waku, natumaini Jumapili ya leo ipo salama kabisa huko mlipo.. Nikiwa miongoni mwa watz, wengi ambao tukiamka tu jambo la kwanza tunashika simu zetu na kuangalia kama kuna jumbe au missed call yoyote ile katika simu zetu, sasa baada ya kupekua huku na kule nikasema ngoja niingie...
  6. D

    I hope using english will make intellectuals understand not these youths of nowadays from SAUT. MUMU, SJUT, kampala etc.

    Yester Night i wrote on the nincompoops of our youths from the above mentioned universities. The big problem is lacking technical know hows about some critical issues and analysis. The fact that every matter that has risen is taken as it is through praises and/or support without any scrutiny is...
  7. Jamii Opportunities

    Translators (Chinese- English) at S.E.C

    Due to business expansion, we are looking for full time employees for the below-mentioned positions with atleast two (2) years of experience. Post Title: Translators (Chinese- English) Technicians and Engineers who have experience in working with Construction companies is an added advantage...
  8. G

    Interview kwa walimu walio wahi kuomba kazi ajira PORTAL sector ya curriculm na assistasistant lecturer

    Habri Aliye wahi kuomba Tutor grade ii of english for NTA level 6 pale ajira PORTAL au curriculum developer ii pale TIE kupitia ajira PORTAL Naomba anisaidie nondo na jinsi maswali yanavyo toka au kama ana maswali na notes zilizopita naomba ani save 🙏
  9. Jamii Opportunities

    English Language Teacher at Six Rivers Africa

    Position: English Language Teacher. Reports to: Academy Manager. Location: Mbarali-Mbeya, Mulungu Village. Start date: Immediately. OVERVIEW Six Rivers Africa (SRA) is a non-profit organization with a mission to protect, restore, and preserve wilderness areas, and increase the wildlife...
  10. GoldDhahabu

    Nimekataa kuwa miongoni mwa wasiojua kuongea Kiingereza kwa unyoofu

    Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5. Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado wanajifunza, pamoja na kuwa ni watu wazima na wasomi. Kwenye mtandao wa kijamii wa Kimataifa wa Quora, kuna...
  11. BUSH BIN LADEN

    Kulwa na Dotto in English Language is?

    Wajuvi nielewesheni.
  12. Jamii Opportunities

    African Union Vacancy - English Interpreter/Translator

    African Union Vacancy – English Interpreter/Translator African Union Vacancy – English Interpreter/Translator African Union (AU) Arusha Location: Tanzania Organization: African Union AU Values Respect for Diversity and Team Work Think Africa Above all Transparency and Accountability...
  13. Dom2

    Importance of Improving Education in Tanzania through good English Teachers

    Abstract and Figures In 2012, the British Council and the Government of Tanzania through the then Ministry of Education and Vocational Training, now Ministry of Education, Science and Technology, implemented a four-year project, known as Education Development and Quality Improvement Project for...
  14. Mjanja M1

    Wataalamu wa English kuna shida yoyote hapa?

    "I was today years old when I found out Babu wa Kitaa na Country Boy ni mtu na kaka yake". Kumekuwa na mabishano kuwa hiyo sentence hapo juu ni sio sawa na wengine wanasema ipo sawa. Wajuzi miongozo yenu inahitajika.
  15. Idimi

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
  16. Influenza

    Special Thread: Advanced vs Basic English | Expand your vocabulary

    Habari Wakuu, Katika Jukwaa letu la Lugha nimeweka huu uzi tusaidiane kwenye kujulishana maneno ya Kiingera ya kutumia ili walau mtu unapoandika Kiingereza usionekana kama upo kawaida sawa. Naanza na haya maneno machache; Advanced English = Basic English Alleviate = Ease Ameliorate = Improve...
  17. Jane Lowassa

    Watangazaji Azam hawajui kiingereza?

    Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi. Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani" Ni aibu kwa kweli. Jipigeni...
  18. F

    Shule ya English Medium imegoma kumuhamisha mwanangu. Hatiani kukosa mtihani wa darasa la nne

    Mimi ni single mother umri wangu ni miaka 34. Kwa ufupi Nina watoto wawili wa kiume wa kwanza ana miaka tisa wa pili ana miaka saba. Huyu kwanza yupo darasa la 4 na wa pili yupo darasa la 3. Kilicho nifanya nilete ujumbe huu hapa Jamii Forums ni kitendo cha dhulma kinacho taka kufanywa na shule...
  19. James M Kiingereza HkH

    English Verbs (1 - Irregular Verbs), with translations and accurate guide to pronunciation

    Dear all I hope this list will be of use to teachers and students of English. Further details of the script used to illustrate pronunciation will be provided in a future post. Have a nice weekend. JM
  20. MKATA KIU

    Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

    Habari wadau. Ukweli nampongeza sana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni kwa kuamua kubadili shule za msingi zilizokuwa swahili medium na kwenda english medium. Hii inawaokoa wazazi kwa kuwapunguzia gharama za ada kubwa kulipa private schools wakati elimu ni hiyo hiyo. Na pia shule za olimpio...
Back
Top Bottom