english

  1. James M Kiingereza HkH

    New app for learning English: Kiingereza - Hatua kwa Hatua

    I would like to announce the launch of a new course for Swahili speakers to learn basic English. Its name is Kiingereza - Hatua kwa Hatua. I'm the author of this course and I feel that it has the potential to have a very positive impact on education in Tanzania, in particular by providing a...
  2. LIKUD

    Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

    The true education has three qualities 👇 1. It helps you to acquire power. 2. It helps you to maintain power. 3. It helps you to protect the acquired power. Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine. Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa...
  3. The Burning Spear

    Makapuku wengi wanajifariji kwa kuziponda English Medium

    Ujinga ni mzigo Ignorance is so expensive. Kuna watu wamekaririshwa tunasoma tuajiriwe. Maarifa siyo kitu muhimu kwao.. Hakuna mzazi anayepanda kumwona mtoto wake akiteseka, uchumi ndo utalazimu tu kufanya vinginevyo.. Na walioshindwa kuwasomesha watoto wao shule Nzuri huja na vijisababu...
  4. LIKUD

    Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

    Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope" Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza. Watoto...
  5. LIKUD

    Farhan Jr kauliza kwanini elimu ya sasa imepungua mvuto? Majibu aliyo pewa, wanaosomesha English Mediums hawatayafurahia👇

    Bwana mdogo Farhan Jr kupitia ukurasa wake wa instagram alianza kwa kuuliza swali kama ifuatavyo 👇
  6. M

    Shule za English medium zisizo na remedial za lazima

    Wadau, Moja kati ya kero yangu kubwa kwenye hizi english medium ni huu mfumo wa kulazimisha watoto wa Standard 4 na 7 kufanya remedial kwa lazima , hata pale ambapo hakuna ulazima huo. Najua shule zinafanya biashara lakini si kwa kuwapa watoto stress zisizo na lazima . Watoto mwaka mzima...
  7. LIKUD

    Alicho kipost Julius Mtatiro kuhusu wazazi wenye watoto wanaosoma shule za English Mediums

    Hili ni dongo la kiutu uzima mjue? Linasadifu uhalisia kwenye jamii yetu.. Halafu ndugu zangu wabongo mbona mnapenda kujistress sana aisee??? Wabongo tunakuwaga na ujinga mwingi sana. Kuna wabongo huwaga wana amini mtu mzima lazima uwe na mawazo mawazo hivi na stress ndio maana wanapenda...
  8. GENTAMYCINE

    Kwanini Wachangiaji wa Jukwaa la JF English ONLY FORUM ni Wakenya, Waganda,. Wanyarwanda na Watanzania ni wa Kuhesabika?

    Kudadadeki sijui ni nani alitulaani Watanzania katika Suala zima la Kuelewa na Kuzungumza Lugha ya Kiingereza ambayo GENTAMYCINE ndiyo siijui na wala Siishobokei kabisa.
  9. Mto Songwe

    Utofauti ni mazingira tu; English Medium/Private na St. Kayumba wote wanatoa elimu mbovu

    Ukiondoa hizi international Schools ISM, Braeburn, IST, St. Constantine. Shule zilizo baki Tanzania zinatoa elimu mbovu utofauti ni mazingira ya upokeaji wa vilivyo vibovu. St. Kayumba na hizi English medium/private wote wale wale wanaendelea kutoa yale yaliyo mabovu yaliyo andaliwa na wizara...
  10. Jamii Opportunities

    Professional English Teacher at Sokabet December, 2023

    Position: Professional English Teacher Qualifications: Education Level: Bachelors Degree in Education (English Language) Experience Minimum of 2 years of teaching experience in English Language Job Details: Class Type: Home Individual Class Trainee Nationality: Turkish Adult Training...
  11. blogger

    Wazazi kuna hizi shule za English Medium ni majina tu ila ni takataka. Lakini bado zipo!

    Embu fikiria mtoto wako wa std six hajui Mkoa gani huanza kabla ya kufika Dar...!?? Geography. Au hajui Verb forms za Verb 'be'.. English. Wazee..! Kuna ujinga na tunapigwa. Nilitaka wasafirisha wanangu waende holidays ila nimekuta weupe. Naingia nao Class. I'm a teacher... Walimu Wao...
  12. Jamii Opportunities

    English Teachers (O-Level) at The School of St Jude November, 2023

    Position: English Teachers (O-Level) Subject and work station: English Literature & Kiswahili (O – Level) - Smith Campus, Usa River, Arusha English Literature (O – Level) - Sisia Campus, Moshono, Arusha (Short Term Contract) Who are you? A highly-motivated teacher with excellent attention to...
  13. B

    Je, prem number ya wanafunzi darasa la pili kwenye shule ya English Medium ambayo bado haijakamilisha usajili zina kubalika kisheria?

    Watoto walikuwa wanasoma kwenye shule ya English Medium nikawapeleka kwenye shule ya kiswahili. Shule ya English Medium hawakunipa uhamisho kwa sababu walikuwa bado wananidao so nikawa nalipa deni lao taratibu ili nikikamilisha wajue prem number za watoto. Now Mungu ameniinua tena kiuchumi...
  14. B

    Umasikini mbaya nyie bora kusikia tu. Watoto wangu nimewarejesha tena English Medium

    Miezi kadhaa iliyo pita nilianzisha Uzi hapa jukwaani nikielezea "FAIDA"nilizo zipata baada ya kuwahamisha watoto wangu kutoka English Mediums na kuwapeleka kayumba. U know what? Ilikuwa ni umasikini mkuu. Umasikini mbaya sana. The evil spirit of poverty is very evil. Ndio maana huko...
  15. Doto12

    A country where English language is compulsory but agriculture is optional

    A country where English language is compulsory but agriculture is optional. They will endup speaking good English with empty stomach.
  16. LIKUD

    English Medium iliyo karibu na Chanika

    Mpangaji wangu amepanga kwangu Chanika anatafuta shule nzuri ya English Medium iliyopo karibu na Chanika. Au inayo weza kufikika kwa urahisi kutoka Chanika. Inaweza kuwa Mvuti, Chamazi, Segerea, Ukonga, Gomz etc. Ada kuanzia laki tisa hadi milioni moja na laki 2 kwa mwaka. iwe na watoto wengi...
  17. LIKUD

    Faida za mtoto wa shule za msingi kusoma kwenye shule yenye wanafunzi wengi sana

    " siwezi kumpeleka mtoto wangu kwenye shule ya Kayumba kwa sababu shule za Kayumba zina wanafunzi wengi mno!!!" The most ignorant statement I have ever read. Hakuna zawadi nzuri kwa mtoto wako mdogo kama kumpeleka kwenye shule yenye watoto wengi. Zipo FAIDA nyingi sana kumpeleka mtoto wako...
  18. mdukuzi

    Kama hujui English usiende kutibiwa The Aga Khan Hospital DSM bila mkalimani,utaumbuka!

    Nilikuwa nasumbuliwa na tatizo fulani la kiafya. Baada ya kuzunguka hospitali nyingi bila nafuu,mwananzengo akaniambia niende Aga Khan. Kufika pale nskutana na specialist mwenye asili ya kiasia hajui kiswahili,nilijiuliza sana ingekueaje kama ningekuwa sijui kujieleza kiufasaha kwa lugha ya...
  19. Mto Songwe

    Hakuna faida ya kumpeleka mtoto English Medium (mabasi ya njano)

    Kuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana. Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora. Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo...
  20. Jamii Opportunities

    English to Swahili translation of the Tanzania Gender Bench Book on Women’s Rights

    Position Location: Home-based, TANZANIA Type of Contract: Individual Contract Post Level: National Consultant Languages Required: English Duration of Initial Contract: 25 Working Days Duties and Responsibilities With the overall guidance of UN Women and TAWJA, the primary duties are to...
Back
Top Bottom