english

  1. McCollum

    English Language 101 CLUB

    Hello, ladies and gentlemen I'd like to welcome you all to this English language 101 Club. This club is for those who want to learn English language and excel. We are sometimes tirelessly struggling to learn this language (Eng-L) but our struggles yield to nothing, worry out you are not wholly...
  2. PinGonHi

    Looking for an employee in my online business with knowledge of English

    Requirements to the employee: Must know English, have an android phone and a desire to work and learn. The employee must be from the city of "dar es salaam" and must be able to move freely around the city About work: the first +-4 days of training are not paid, then pay $3 a day fixed rate +...
  3. P

    Wachambuzi wa soka na English

    1. Aisee wale ni: Left backs sio back left Right back sio back right. Mbona hamsemi kickfree ama kickgoal? 2. Moja ya vitu sio moja ya kitu. Moja katika ya vingi. Man up
  4. B

    BBC English

    As I promised last time, today we want to see the difference btn BRING/GIVE a) BRING: This is used when something is not in hand of a person talking to. Eg. When you need drinking water you should say "Bring me some water, NOT, Give me some water. b) GIVE: This is used when something is in the...
  5. Z

    Mwalimu wa English pre form one anatafutwa. Mwanza mkolani

    Mwalimu wa English pre form one anatafutwa. Piga namba 0683669735
  6. B

    Kama una jambo lolote linalokusumbua la KIINGEREZA uliza ujibiwe

    Kwa wiki hii km una jambo lolote linalokusumbua la KIINGEREZA uliza ujibiwe. Kuanzia wiki ijayo nitakuwa naweka mada za KIINGEREZA zinazotamumetiza watu. usikose uhondo Jifunze KIINGEREZA hapa. E.g. people fail to differentiate the usage of "give and bring". They treat these lexical verbs as...
  7. Mr_Plan

    Program gani ambayo naweza kutumia nikiandika swahili iniletee English kwa ufasaha zaidi ukiacha translator

    Wanajamvi Naomba Msaada wa Kujuzwa Program Gani ambayo Nitaandika kwa Kiswahili kisha intranslate kwa English. Naitaji Kuandika Makala za Mada Kazaa..Sasa Siitajia kufanya makosa katika Uandishi wangu
  8. Justdr

    Vijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi kozi, washaurini kabla hawajaenda kupoteza muda

    Vijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi course Bachelor of Arts in English, Bachelor of Arts History, Bachelor of Arts Kiswahili😭😭😭 Ni huzuni kwa kweli. Kuna hizi za sayansi pia Bachelor of science in chemistry Bachelor of science in physics Bachelor of science in biology Mm siyo muandishi...
  9. P

    English course Arusha

  10. nguvusimba

    Naomba kujuzwa shule nzuri ya english medium iliyopo karibu na Mbezi Makabe

    Habari wanajamvi, naomba kujuzwa shule nzuri yenye nafasi ya kuhamia ya english medium iliyopo karibu na mbezi makabe. Ninataka kuwahamishia watoto wangu wawili, darasa la nne mwakani na darasa la pili. pia mdogo wao anatarajia kuanza chekechea ya watoto. Iwe na matokeo mazuri na malezi...
  11. Tony254

    Baadhi ya majina kutoka Kenya yameongezwa kwenye Oxford English dictionary

    Baadhi ya majina kutoka Kenya ambayo yameongezwa kwenye Oxford English dictionary ni pamoja na "chapo", "githeri", "mpango wa kando", "chang'aa" na kadhalika. Chapo, Githeri, Mpango Wa Kando Among Kenyan Words Added To Oxford Dictionary By Joseph Muia For Citizen Digital Published on: July 15...
  12. luangalila

    Hili la Haji Manara kushangaa Meneja wa mchezaji kutojua English ni UTUMWA wa kifikra

    Wadau wa Sports mwanzoni mwa Juma hili tulishuhudia Yanga Sc kumuongezea mkataba mpya mchezaji wake Farid Mussa, Kuliitishwa Press conference na msemaji wao Bw.Haji Sunday Manara, na katika press hiyo pia ilitamkwa au alitangazwa manager mpya wa mchezaji Farid Mussa, ajabu sasa ikaja ambapo...
  13. adden

    Broken english "THREAD"

    huu ni uzi maalum wa kuongea broken english tuu. yesterday i will went to home. delete me people will download😎 jazieni zingine
  14. kyagata

    Sijawahi kuwasikia Millard Ayo au Maulid Kitenge wakiongea Kiingereza

    Hawa jamaa naona wana safari sana za kwenda nje, lakini sijawahi kuwasikia walau wakiongea hata sentence moja tu ya lugha ya kiingereza. Mahojiano wanayoyafanya huko nje huwa ni wanawahoji Watanzania wenzetu tu na lugha inayotumika ni kiswahili kama kawaida. Sasa nilitaka kujua huko nje...
  15. Clark boots

    Naomba kujua tofauti ya English Gold & pure gold

    Wadau, hasa wale wa mambo ya urembo hv vitu viwili nimekuwa nikivisikia sana na mpaka leo sijajua utofauti mkubwa ni upi maana Kuna mama mmoja aliwahi kunionesha Pete zake 2 akanambia moja ni English Gold na nyingine na gold Ila nilizicheck yaaan zinafanana sana ung'aaji wake na vitu kibao...
  16. Jamii Opportunities

    Kiswahili and English Teachers at Dar es Salaam Independent School (DIS)

    DAR ES SALAAM INDEPENDENT SCHOOL (DIS) Registration Numbers S. 2544 and DS/02/7/037 English and Kiswahili Teachers We need very experienced ENGLISH and KISWAHILI Teachers to join our well established Middle School Team Immediately. English and Kiswahili Teachers Requirements Experience of...
  17. MK254

    Wauguzi wa Kenya kupata darasa la "medical English" na kuajiriwa Uingereza

    Hawa ni waliofeli English Language Testing System (IELTS) ======= Kenyan nurses who failed English language tests required for immigration to the UK will be supported by the British government to learn ‘Medical English’, an envoy has said. “We are ready to assist Kenyan nurses learn medical...
  18. t138

    Why do you learn English? Kwanini unajifunza Kiingereza?

    Please reply with the reason why you are learning ( or want to learn) English language. Jibu kwa kutoa sababu ya wewe kujifunza Kiingereza.
  19. R

    Natoa huduma ya kutafsiri (English to German)

    Habari. Natoa huduma ya kutafsiri kutoka Kiingereza au Kiswahili kwenda Kijerumani.
Back
Top Bottom