Habar..
Kila team pale epl Ina nickname yake
..orodha za team zote na nickname zake
1.Liverpool( The reds)(Majogoo)
2.Mancity(The citizens)
3.chelsea(The blues🌐)
4.Manchester United(The red devil's🛑) mashetani wekundu
5.Everton👤(The toffees)blues
6.Brighton and have Albion(The seaguls,the...
1. Nomadism in Afro is twofold bigger than local tourism. If nomadism in Afro is levied, the amount collected will be colossal than that of local tourism, Douglas Oriko Majwala, 2021.
Afro must reckon, initiate and implement policy change on husbandry so that nomadism be considered as “Nomadic...
Miaka ya 2000 mwanzoni jiji la Mbeya walijenga Shule ya Mkapa ambayo ni ya msingi lakini inafundisha kwa kiingereza, ada yake ni ndogo sana ukilinganisha na zile za private. Mpaka sasa wana shule 3 za aina hiyo na wana mpango wa kujenga zingine 3.
Kwa sababu kuanzia sekondari masomo ni kwa...
Habari wakuu!
Mimi ni MWALIMU wa shule za msingi na awali,
Natafuta kazi kwenye shule hizo:-
1.nina DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION
2.nina CERTIFICATE IN INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY.
3.NI MWALIMU WA MZURI :-
*GEOGRAPHY
*KISWAHILI
*ENGLISH
*SCIENCE...
Wadau wa lugha,
Na Mimi bwana nimebahatika kupata kashahada fulani kutoka moja ya vyuo vyetu vikongwe.
kwahiyo ka-english ka hapa na pale kakuombea maji huwa ninako. Masomo ya english secondary nilipa daraja B.
Tatizo kuu langu ni moja;
Ukiongea wewe kiingereza (mswahili mwenzangu) huniteti...
Chagua swali kisha jibu, nitapitia jibu lako kwa kuweka reaction ("thanks👍" ikiwa umepatia na " Wow😲" ikiwa umekosa).
1/ Which grows faster?
A. Hair
B. Finger
C. Nails
2/ I have a dream
A. Nelson Mandela
B. Barrack Obama
C. Martin Luther King Jr.
3/ In which...
Wale wazazi vijana wengine walipata watoto wakiwa vyuoni na kuingia katika soko la ajira wakiwa ni wazazi bila ndoa. Wenginge walitengana na wenza, wengine walifiwa hupelekwa.
Kama uwezo upo, hakuna asiyependa elimu nzuri kwa watoto wake. Wakina Junior wengi hupelekwa kusoma English Medium...
Swali la kizushi: Kwa hiyo english yako unayojivunia unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi?
Yaan mfano imetokea mmekwaluza kidogo labda kakuovertake kibabe,kakuchukulia dem wako baa,au labda kakupakazia mbovu kwa bosi wako, demu au mwana.
Sasa yeye ni mzungu na lugha ya english ndo...
About the job
We are Looking for TANZANIAN individuals with a diploma or bachelor’s degree in early childhood education and primary school education ONLY!!!! Teachers needed for Pre-School and primary class 1 ONLY!!!!
Uru Community is a private pre & primary school located in Uru— kimanganuni...
Juzi nimeona mtandaoni mama mmija akilalamika kuwa mwanae wa miaka 8 hajui vizuri kiswahili. Mwingine anasema mwanae anaongea kiswahili kama cha wahindi.
Hili ni jambo zuri au ni tatizo? Hii ipo kwa kiasi gani? Kiswahili kinaenda kufa?
Seekers
-Stoicism - Awakening
-Mindfulness - Meditation
-Inspiration - Manifestation
-Spirituality - Consciousness
-Mindset Mastery
-Success and Wealthy theories
-
“Since every man dies, it is better to die with distinction than to live long."
-
by Gaius Musonius Rufus
-
Never make...
Walimu na wafanyakazi wa shule za msingi na sekondari ya kolping inayomilikiwa na kanisa katoriki jimbo la Bukoba wamegoma tangu wiki iliyopita wakishinikiza uongozi kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi 8.
Hata hivyo kikao cha kuwaomba wafanyakazi hao kurudi kazini kimevunjika baada ya...
Habari zenu wadau,
Hapa mkoa wa Mwanza Shule ya Msingi Nyanza imeabadilishwa kuwa ya English medium. Ni moja ya shule za msingi kongwe hapa mjini alizoacha mkoloni mana nikipitaga hapo nje imeandikwa 1948. Mwenyewe kuna muda nikiwa primary nilikuwa naendapo kufanya mitihani ile std 7 ya...
I am well experienced in editing different English Manuscripts for all kind of genres. My price is relatively affordable. For any interested author please mail me in tatamkuria@gmail.com
Mkenya huyu anayeitwa Henry Ochieng amejiunga na timu ya watford. Kuna Mkenya mwingine anayeitwa Clarke Oduor ambaye naye anachezea Barnsley. Kwa hivyo sasa hivi kuna Wakenya wawili wanaochezea harambee stars na pia wanacheza kwenye English premier league.
=======
Henry Ochieng: Championship...
DC Jerry Muro ni DC kijana na mchapa kazi kwani katika wilaya yake anewezesha uanzishwaji wa Shule ya mchepuo wa kingereza yaani English Medium.
Katika mkoa wa Arusha kuliwahi kuwa na Shule ya English Medium ijulikanayo kama Arusha School ambayo mfadhili wa Simba Mo Dweji alipata kusoma hapo...
Habari wana Jukwaa!
Anahitajika Mwalimu wa English katika Shule ya DECENT SCHOOL . Shule ipo Mwenge karibu na ITV. Mwenye uhitaji fika DECENT SCHOOL -Mwenge ukiwa na CV+Cover letter.
Mwalimu ni lazima awe na uwezo wa kufundisha O-LEVEL & A-LEVEL (A bachelor degree of education is mandatory...
Kuna uzi nimekutana nawo humu unaongelea kuhusu shule za serikali ambazo ni English medium, nikawa nachanganyikiwa, maana Watz haswa walalahoi wote huwa wameaminishwa Kingereza ni cha mkoloni mara sijui ni cha malkia, hivyo watoto wao wapelekwe kusomea kwenye shule za st Kayumba, ilhali wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.