english

  1. Mr Q

    Squid Game English version?

    Vipi mnao fuatilia hii series je kuna vipande vya kingereza mnipi link nivipakue?
  2. Daktari wa Manchester

    Tambua Tim zote katika English premier league nicknames zake

    Habar.. Kila team pale epl Ina nickname yake ..orodha za team zote na nickname zake 1.Liverpool( The reds)(Majogoo) 2.Mancity(The citizens) 3.chelsea(The blues🌐) 4.Manchester United(The red devil's🛑) mashetani wekundu 5.Everton👤(The toffees)blues 6.Brighton and have Albion(The seaguls,the...
  3. F

    English - Swahili Idioms with their Meanings

    1. Nomadism in Afro is twofold bigger than local tourism. If nomadism in Afro is levied, the amount collected will be colossal than that of local tourism, Douglas Oriko Majwala, 2021. Afro must reckon, initiate and implement policy change on husbandry so that nomadism be considered as “Nomadic...
  4. Lycaon pictus

    Halmashauri nyingine ziige hili la jiji la Mbeya kujenga English medium za Serikali

    Miaka ya 2000 mwanzoni jiji la Mbeya walijenga Shule ya Mkapa ambayo ni ya msingi lakini inafundisha kwa kiingereza, ada yake ni ndogo sana ukilinganisha na zile za private. Mpaka sasa wana shule 3 za aina hiyo na wana mpango wa kujenga zingine 3. Kwa sababu kuanzia sekondari masomo ni kwa...
  5. Gentleman96

    Natafuta kazi english medium school

    Habari wakuu! Mimi ni MWALIMU wa shule za msingi na awali, Natafuta kazi kwenye shule hizo:- 1.nina DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION 2.nina CERTIFICATE IN INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY. 3.NI MWALIMU WA MZURI :- *GEOGRAPHY *KISWAHILI *ENGLISH *SCIENCE...
  6. A

    Msaada: Namna ya kumsikiliza English native speaker wa kizungu

    Wadau wa lugha, Na Mimi bwana nimebahatika kupata kashahada fulani kutoka moja ya vyuo vyetu vikongwe. kwahiyo ka-english ka hapa na pale kakuombea maji huwa ninako. Masomo ya english secondary nilipa daraja B. Tatizo kuu langu ni moja; Ukiongea wewe kiingereza (mswahili mwenzangu) huniteti...
  7. I am Groot

    Maswali PART 1: Jipime uelewa kwa kujibu maswali haya (In English) ; kuwa mkweli usigoogle

    Chagua swali kisha jibu, nitapitia jibu lako kwa kuweka reaction ("thanks👍" ikiwa umepatia na " Wow😲" ikiwa umekosa). 1/ Which grows faster? A. Hair B. Finger C. Nails 2/ I have a dream A. Nelson Mandela B. Barrack Obama C. Martin Luther King Jr. 3/ In which...
  8. Sky Eclat

    Walimu wa English medium wana nafasi kubwa ya kufunga ndoa na wazazi wakina Junior

    Wale wazazi vijana wengine walipata watoto wakiwa vyuoni na kuingia katika soko la ajira wakiwa ni wazazi bila ndoa. Wenginge walitengana na wenza, wengine walifiwa hupelekwa. Kama uwezo upo, hakuna asiyependa elimu nzuri kwa watoto wake. Wakina Junior wengi hupelekwa kusoma English Medium...
  9. Deejay nasmile

    Swali la kizushi: Unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Kwa english yako hiyo

    Swali la kizushi: Kwa hiyo english yako unayojivunia unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Yaan mfano imetokea mmekwaluza kidogo labda kakuovertake kibabe,kakuchukulia dem wako baa,au labda kakupakazia mbovu kwa bosi wako, demu au mwana. Sasa yeye ni mzungu na lugha ya english ndo...
  10. mtanzalendo

    English Medium Teacher—Pre-school & Primary Class 1

    About the job We are Looking for TANZANIAN individuals with a diploma or bachelor’s degree in early childhood education and primary school education ONLY!!!! Teachers needed for Pre-School and primary class 1 ONLY!!!! Uru Community is a private pre & primary school located in Uru— kimanganuni...
  11. Red Giant

    Lugha ya kiswahili itakufa? Nasikia watoto wa english medium hawakijui

    Juzi nimeona mtandaoni mama mmija akilalamika kuwa mwanae wa miaka 8 hajui vizuri kiswahili. Mwingine anasema mwanae anaongea kiswahili kama cha wahindi. Hili ni jambo zuri au ni tatizo? Hii ipo kwa kiasi gani? Kiswahili kinaenda kufa?
  12. mediaman

    The best English - Swahili Translation Software

    Wakuu, naomba kujuzwa the best Swahili to English(and vice versa) Translation software. Google Translator haifanyi vizuri sana.
  13. B R A C E L E T

    Unleash your Potential(Motivation), Mindset Mastery and Insights on Self-Improvement

    Seekers -Stoicism - Awakening -Mindfulness - Meditation -Inspiration - Manifestation -Spirituality - Consciousness -Mindset Mastery -Success and Wealthy theories - “Since every man dies, it is better to die with distinction than to live long." - by Gaius Musonius Rufus - Never make...
  14. Rutunga M

    Bukoba: Walimu wa Kolping English Medium wagoma kwa kutolipwa mishahara kwa miezi nane (8)

    Walimu na wafanyakazi wa shule za msingi na sekondari ya kolping inayomilikiwa na kanisa katoriki jimbo la Bukoba wamegoma tangu wiki iliyopita wakishinikiza uongozi kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi 8. Hata hivyo kikao cha kuwaomba wafanyakazi hao kurudi kazini kimevunjika baada ya...
  15. Ego is the Enemy

    English iwe lugha ya kufundishia tokea chekechea

    Habari zenu wadau, Hapa mkoa wa Mwanza Shule ya Msingi Nyanza imeabadilishwa kuwa ya English medium. Ni moja ya shule za msingi kongwe hapa mjini alizoacha mkoloni mana nikipitaga hapo nje imeandikwa 1948. Mwenyewe kuna muda nikiwa primary nilikuwa naendapo kufanya mitihani ile std 7 ya...
  16. TATA MKURIA

    For English Language Authors

    I am well experienced in editing different English Manuscripts for all kind of genres. My price is relatively affordable. For any interested author please mail me in tatamkuria@gmail.com
  17. Tony254

    Timu ya English Premier League ya Watford imemsajili Mkenya

    Mkenya huyu anayeitwa Henry Ochieng amejiunga na timu ya watford. Kuna Mkenya mwingine anayeitwa Clarke Oduor ambaye naye anachezea Barnsley. Kwa hivyo sasa hivi kuna Wakenya wawili wanaochezea harambee stars na pia wanacheza kwenye English premier league. ======= Henry Ochieng: Championship...
  18. jingalao

    DC Jerry Muro hongera kwa kuanzisha English Medium School Arumeru

    DC Jerry Muro ni DC kijana na mchapa kazi kwani katika wilaya yake anewezesha uanzishwaji wa Shule ya mchepuo wa kingereza yaani English Medium. Katika mkoa wa Arusha kuliwahi kuwa na Shule ya English Medium ijulikanayo kama Arusha School ambayo mfadhili wa Simba Mo Dweji alipata kusoma hapo...
  19. witacha matiku

    Immediate placememt of English teacher

    Habari wana Jukwaa! Anahitajika Mwalimu wa English katika Shule ya DECENT SCHOOL . Shule ipo Mwenge karibu na ITV. Mwenye uhitaji fika DECENT SCHOOL -Mwenge ukiwa na CV+Cover letter. Mwalimu ni lazima awe na uwezo wa kufundisha O-LEVEL & A-LEVEL (A bachelor degree of education is mandatory...
  20. MK254

    Nimeshangaa kule Tanzania kumbe kuna shule za serikali ambazo ni English medium,. Wenzetu mbona huwa wanajikanganya hivi?

    Kuna uzi nimekutana nawo humu unaongelea kuhusu shule za serikali ambazo ni English medium, nikawa nachanganyikiwa, maana Watz haswa walalahoi wote huwa wameaminishwa Kingereza ni cha mkoloni mara sijui ni cha malkia, hivyo watoto wao wapelekwe kusomea kwenye shule za st Kayumba, ilhali wenye...
Back
Top Bottom