Shule zote za serikali za msingi zibadilishwe kuwa English Medium ili kuondoa ubaguzi kwenye shule za msingi za serikali sababu serikali yenyewe inazo shule za English Medium kibao kwa nini wengine wasome English Medium na wengine Swahili medium wakati zote za serikali?
Pili sasa hivi tuko...
Ombi kwako Rais wangu.
Shule za Serikali za english medium ni chache sana.
Najua unajua ukweli kwamba hata viongozi kama mawaziri na wakurugenzi hawapeleki watoto wao kwenye shule za msingi za Kiswahili medium
Na sisi raia wa kawaida tunapenda watoto wetu wafundishwe kwa lugha ya dunia...
Habari wakuu,
natafuta Car Diagnostic Machine English version.
Au kama unawajua wauzaji toka nchi za nje nisaidie contacts zao.
Nataka inayo toa taarifa za mfumo wa gari kwa Kiingereza
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza!
Nimefanya utafiti usio rasmi, kwa sasa asilimia kubwa ya wazazi (karibu wote) wanatamani, au wanataka watoto wao wakasome shule za English Medium.
Asilimia kubwa (karibu wote) wazazi wenye kipato wamepeleka watoto wao English Medium. Sijajua kama kuna...
Title ya thread inajieleza.
Nahitaji shule ya English medium kwa mwanangu inayopayikana mitaa ya Goba na viunga vyake. Tafadhari sana share nami shule ambayo nikimpeleka mwanangu sitojuta
Wakuu ni kwanini hizi shule wanazojifunza kwa kutumia kiingereza huwa hamna viboko? Inamaana ukiwa unajifunza kwa kiingereza unaweza kwenda bila viboko? Nidhamu ya wanafunzi wanaosoma hizi shule ikoje?
Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?
To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
Habari wadau..!!
Mambo yamekuwa magumu maana wife anatafuta nafasi ya internship au kazi ya kufundisha masomo ya lugha kwa DsM.
Mwenye connection ya kibabe tuyajenge ,maana mjini hapa kama hauna connection hata kwenye msiba unaweza usile.
Nawaombeni wadau tusaidiane kwenye hili jamani,maana...
Kwanzia Leo taarifa rasmi za simba sc za lugha ya kingereza zitatoka kupitia official page yao ya lugha hiyo itakayo julikana kama "Simba sc English"
Utopolo mpooooo?
Mambo ya Barbara Gonzalez hayo endeleeni kumsubiri senzo aige
Hii ni next level iga ufe
Overview
Savannas Forever Tanzania (SFTZ) based in Arusha, is a registered Tanzanian research and communication NGO launched in 2006.
SFTZ uses research to measure the impacts of development projects and leverages that information to build learning networks that connect rural communities and...
ENGLISH TUTORIAL
Mate, tatizo la kuelewa kuandika na kuongea na lugha ya kingereza ni suala mtumbuka. Wengi wetu hasa tuliopita shule za uswahilini bado lugha yetu haipo sawa. Hivyo basi ningependa kushea nanyi module hii japo kwa uchache. Nitazungumzia zaidi upande wa sentesi.
NB. Ili...
Leo, Septemba 9, 2020 - mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Ndg. Tundu A. Lissu anaongea na Wahariri wa Vyombo vya Habari.
Haya ni baadhi ya aliyoyasema:
======
Waandishi mmekuwa mnogopa kuni-cover, nikizungumza mna switch off. Hofu!
> Nazungumza na Vyombo vya Habari vya nje ya nchi kila...
Naitwa Sabrina
Nina miaka 22,
Naishi Dar, Ukonga.
Elimu yangu kidato cha 4
Naongea English na Kiswahili,
Natafuta kazi ya duka la nguo, vipodozi, supermarket au usafi wa maofisini.
Habari wadau
Naona kuna soko kubwa sana la wazazi wanaopenda watoto wao wasome English Medium. Nawashauri Serikali, kila wilaya nchii hii wawe na shule za msingi za Serikali za English Medium kama Olimpio na Diamond. Wazazi watashukuru sana na sana.
Hizo pesa ambazo shule binafsi wanazivuna ni...
Ask me anything about English or Swahili. I am a holder of a Bachelor Degree of Education i Languages & Management fro Mzumbe.
Karibuni tujifunze Kiswahili Au English
Naliona anguko la shule za English Medium Tanzania.
Naona wazazi wengi wakiwatoa watoto wao kwenye shule za English Medium na kuwapeleka kwenye shule za kayumba.
Sababu? Sababu ni zile zile
1. Uhaba wa fedha: Wazazi wengi wataishiwa fedha na hivyo kushindwa kumudu gharama za kuwasomesha...
Huwa na shangaa sana napokutana na watu wakimsifia mtu anayeongea kiingereza na kumheshimu kisha kumdharau asiyejua kuongea hiyo lugha.
Wanashindwa kuelewa kwamba kiingereza ni lugha tu kama lugha nyingine japo ni international language kama kiswahili tu africa mashariki. Kwa utafiti wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.