ethiopia

  1. MK254

    Safaricom goes live in Ethiopia second largest city

    Safaricom Ethiopia has begun a large-scale customer pilot of its network in Dire Dawa, four months after it missed operational launch in the Horn of Africa nation. The pilot in Ethiopia’s second biggest city after the capital Addis Ababa, with an estimated population of half a million, is part...
  2. Lady Whistledown

    Ethiopia: Serikali na Waasi walaumiana juu ya kukwama kwa mazungumzo ya amani

    Msemaji wa Waasi wa Tigray, Getachew Reda ameishutumu Serikali kwa kudhoofisha juhudi za kutafuta suluhu ya amani kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo, baada ya Jeshi la kudaiwa kushambulia vikosi hivyo Wakati huo huo Msemaji wa Waziri Mkuu Nchini humo, Billene Seyoum, amekanusha...
  3. Lady Whistledown

    Ethiopia: Serikali na Waasi walaumiana juu ya kukwama kwa mazungumzo ya amani

    Msemaji wa Waasi wa Tigray, Getachew Reda ameishutumu Serikali kwa kudhoofisha juhudi za kutafuta suluhu ya amani kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo, baada ya Jeshi la kudaiwa kushambulia vikosi hivyo Wakati huo huo Msemaji wa Waziri Mkuu Nchini humo, Billene Seyoum, amekanusha...
  4. Tony254

    Kenya kuanza kununua umeme kutoka Ethiopia baada ya kusaini makubaliano

    Kenya itaanza kununua umeme kutoka Ethiopia. Hii inafuatia makubaliano ya power purchase agreement (PPA) kutiwa saini na nchi zote mbili. https://www.the-star.co.ke/news/2022-07-29-ethiopian-electric-power-to-become-second-largest-supplier-to-kenya-power/
  5. Lady Whistledown

    Sudan yafungua Mpaka wake na Ethiopia

    Sudan imefungua tena mpaka wake muhimu na Ethiopia wa Gallabat ambao ulifungwa Juni 27, baada ya kuishutumu Ethiopia kwa kuwanyonga wanajeshi wake saba. Taarifa ya kamati ya kiufundi ya Baraza la Ulinzi na Usalama la Sudan imesema uamuzi huo umechukuliwa baada ya viongozi wa Sudan na Ethiopia...
  6. MK254

    Safaricom to start commercial operations in Ethiopia next month

    Safaricom on Thursday announced that it will start commercial services in Ethiopia in August. The company, part of the Vodafone group, has been under mounting pressure over its failure to meet previous launch target in April 2022. At a press conference on Thursday in the Ethiopian capital...
  7. Lady Whistledown

    Watoto 13 wafariki kwa njaa Ethiopia

    Afisa wa Wilaya ya Konso, Kusini mwa Nchi hiyo amethibitisha vifo vya takriban Watoto 13 kutokana na njaa huku ukame na migogoro ikiendelea kuathiri eneo hilo Afisa huyo amesema kuwa idadi ya Watoto wenye utapiamlo katika Wilaya hiyo inaongezeka, ambapo zaidi ya 240 kati yao wamelazwa...
  8. Lady Whistledown

    Ethiopia na Sudan zafikia makubaliano ya amani

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed amesema amefikia makubaliano na kiongozi wa nchi jirani ya Sudan ili kusuluhisha kwa amani mzozo wa mpaka ambao umesababisha mapigano hivi karibuni Mazungumzo kati ya viongozi hao wawili yanafuatia mapigano katika eneo la mpakani mwezi Juni, ambapo Sudan...
  9. JanguKamaJangu

    Yadaiwa watu zaidi ya 100 wameuawa katika mapigano Ethiopia

    Inadaiwa kuwa zaidi ya watu 100 wengi wakiwa ni kutoka jamii ya watu wa Amhara wameuawa katika eneo la Oromia Nchini Ethiopia, Takwimu hizo ni kwa kujibu wa shuhuda wakati ambapo shuhuda mwingine amesema kuwa ameshuhudia zaidi ya miili 200 katika mauaji hayo. Serikali ya Oromia imekiri kutokea...
  10. mwanamwana

    Dodoma: Akamatwa kwa kufoji namba za gari (SU) na kusafirisha wahamiaji haramu

    Polisi Dodoma wanamshikilia Joachim Joseph wa Arusha kwa kusafirisha Wahamiaji 16 Waethiopia wasio na vibali kutoka Kilimanjaro akiwapeleka Mbeya kisha Afrika Kusini huku akitumia namba feki za SU kwenye Land Cruiser hii ili asisimamishwe, namba zake ni T752 BVL. ===== Polisi Dodoma...
  11. Lady Whistledown

    Ethiopia yamuachia Jenerali Mamo kwa dhamana

    Aliyekuwa Jenerali wa jeshi la Ethiopia ambaye alikamatwa katika oparesheni ya kutekeleza sheria, mnamo mwezi uliopita, kwa kuwa polisi walimshuku kwa kujaribu kutengua utaratibu wa kikatiba nchini humo, ameachiliwa kwa dhamana. Jenerali Teferra alikuwa kamanda wa kikosi maalum cha Amhara...
  12. Tz boy 4tino

    Ethiopia 2 Vs Egypt 0; Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka

    Kwa wasiofahamu mechi za kufuzu AFCON zinaendelea , na kwa leo mechi kubwa ni Ethiopia dhidi ya Egypt. Hii mechi ina uhusiano gani na Tanzania? Ethiopia kama ilivyo Tanzania siyo taifa kubwa kisoka. Lakini katika mechi hii ukiangalia unaona namna wachezaji wanavyojituma pamoja na kukutana na...
  13. Lady Whistledown

    Waandishi wa Habari 13 waswekwa rumande ndani ya wiki moja nchini Ethiopia

    Waandishi wa habari 13 wamedaiwa kuwekwa vizuizini nchini katika eneo la Amhara Ethiopia ndani ya wiki moja hatua iliyoonekana kama ukandamizaji wa sauti muhimu, za wanaoripoti kuhusu mgogoro uliopo katika eneo hilo Inaelezwa kuwa Mei 23, 2022 Siku ya Jumatatu, viongozi wa Amhara, eneo la pili...
  14. L

    Ofisa wa Ethiopia apongeza kampuni za China kwa kutekeleza majukumu ya kijamii

    Serikali ya Ethiopia imepongeza kampuni za China kwa juhudi zao za kutekeleza majukumu ya kijamii nchini humo. Taarifa hiyo imetolewa na naibu meya wa Addis Ababa Bw. Yasmin Wohabrebbi kwenye hafla ya kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Mekanisa Abo. Mradi huu umefadhiliwa na kujengwa na...
  15. L

    Jeshi la Ethiopia lasema washukiwa 233 wa uasi wajisalimisha

    Jeshi la Ulinzi wa Taifa la Ethiopia (ENDF) limesema kuwa washukiwa 233 wa uasi kutoka kikosi cha ukombozi wa Oromo (OLA) wamejisalimisha katika siku za karibuni. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari ENDF limesema, washukiwa wengine watano wa uasi wa OLA wamekamatwa na wengine 44...
  16. Lady Whistledown

    Ethiopia yazindua Huduma ya Mtandao ya 5G

    Kampuni ya huduma za mawasiliano ya Simu inayomilikiwa na serikali nchini Ethiopia, Mei 9 ilizindua huduma ya simu za mkononi ya 5G na kuifanya nchi hiyobkuwa miongoni mwa nchi chache zenye huduma hiyo barani Afrika, ikiwa ni pamoja na Kenya katika Afrika Mashariki, Mkurugenzi Mtendaji wa Ethio...
  17. Tony254

    Kengen completes drilling seven geothermal wells in Ethiopia

    Electricity producer KenGen has completed the drilling of seven geothermal wells in Ethiopia, four at the Aluto-Langano site and three at Tule Moye. In February 2019, KenGen in a consortium with Shandong Kerui Petroleum Equipment Company and Shandong Kerui Oilfield Service Group won a joint...
  18. MK254

    Ethiopia moves to allow entry of Kenyan banks

    Ethiopia has constituted a committee to liberalise the banking sector, taking a major step in opening the door for Kenyan lenders such as KCB Group to set up operations in the populous nation. The committee has already started work to amend Ethiopia’s half-a-century old financial code, local...
  19. MK254

    Safaricom inks first infrastructure deal with Ethiopia

    Safaricom, the newest telecom operator in Ethiopia, has signed a five-year lease agreement with state-owned power utility to share dark fiber-optic infrastructure in the Horn of African nation, the first infrastructure deal with Ethiopia. The agreement was signed between Mr Ashebir Balcha, CEO...
  20. Kibingu

    Waafrika yatupasa kuiangalia vita ya Ethiopia kuliko vita ya Ukraine

    Leo mkuu wa shirika la haki za binadamu ameripoti mauaji ya kutisha na ubakaji huko Ethiopia kqtika majimbo ya Tigray na Afar. Idadi ya mauaji ya raia na visa vya ubakaji vinatia shaka kama mwafrika alipaswa kuaminika kupewa mamlaka ya kujiongoza mwenyewe. Ajabu zaidi ni kuwa sisi waafrika...
Back
Top Bottom