Naona kuna wanakifanya kisomi sana, wanatupia nukuu za mh Magufuli za Kampeni ambazo zina ukakasi. Mfano mkichagua mpinzani mtajuta sileti maendeleo hapa. Nimefuatilia watu wanao komenti wapo very aggressive kwa Magufuli na 90% ya comments ni total Negative.
Hii ina maana gani, kiuandishi ITV...