"Família" is the seventh single by Brazilian rock band Titãs, released in 1987. The song is about the everyday issues of a family.It was once covered by Molejo on their 1998 album Família. The song was featured on the Rede Manchete telenovela Corpo Santo.
In 2013, bass player and vocalist Nando Reis (now an ex-member) recorded a new version of the song with his sons Théo and Sebastião. The new version is being used as the opening theme of the 2013 season of Rede Globo's Malhação. While Sebastião played acoustic guitar, Nando Reis and Théo sang, sharing the same microphone, like The Beatles used to do, "in order to create a more familiar atmosphere", according to Reis.
Kuna Familia za wafanya kazi( Waajiriwa.)
Kuna Familia za wafanya Biashara.
Kuna Familia za wafanya Biashara ndogo ndogo
Kuna Familia za Wabangaizaji.
Kuna Familia za Kifundi, Wao ni Mafundi tu.
Na Kuna Familia zisizoeleweka wao wanajiuhusisha na nini...
Sasa Tuna Kuja kwenye ushauri wa hizi...
Raia wawili wa Uganda wamewekwa kizuizini kwa madai ya kumtusi Rais Yoweri Museveni, mke wa rais Janet Museveni na mtoto wa rais Jenerali Muhoozi Kainerugaba kwenye jukwaa la la TikTok.
Hakimu Stella Maris Amabilis amewaweka rumande David Ssengozi, 21, almaarufu Lucky Choice, na Isaiah...
Unaweza kudhani ni kweli kabisa Mzee Baltazar alisafisha kweli wanawake 400; dunia ya sasa imekuwa ni mazombi, just play with social media.
they believe everything from the social media without critical analysis, cha ajabu hata vyombo vya habari now days vimekuwa useless, wapo busy na nani...
Wachezaji, makocha, mameneja, maafisa habari na waajiriwa wengine pamoja na maafisa ubashiri wao wana kila sababu ya kuwekeza huko maana wanaingiza moja kwa moja kipato chao kupitia soka. Mashabiki siku zote huwa ndio watoaji; wanatoa fedha kwa ajili ya kiingilio, wanatoa muda wao, wanatoa...
Umemkuta mke wako akiwa na zaidi ya miaka 25, kubali usikubali ninyi wote mna historia na siri zenu nyingi,
Ni mawazo ya kishamba sana kuhangaika utafute pesa ili mke wako aishi vizuri ukidhani ni kinga ya yeye asichepuke, Mwanamke ni kiumbe chenye hisia za mapenzi na mapenzi ni fumbo kubwa...
Hivi inakuwaje familia fulani unakuta mwanamke ndiyo msemaji wa mwisho? Ama mwanamke unakuta eti anamzidi kila kitu mwanamme wake?!
Binafsi kwa maoni yangu ni USHAMBA KUKUBALI KUONGOZWA NA MWANAMKE KWA NAMNA YEYOTE ILE.
Mwanamke lake jiko na kutangulia chini na si vinginevyo.
Wanaotaka labda tuwe na rais asiye na kwao wala ndugu wala baba na mama wala mme au mke au watoto wala familia, basi watwambie ttutampata wapi?
Ukweli haunin'ginii, ni lazima utaegemea tu, ni lazima kuwe na damu yako kwenye usalama zaidi
Lazima tuwe na royal family, ebho
Tar 03/11/2024 niliweka Tsh.20,000/= kwenye account yangu ya tigo pesa, tar 04/11/2024 asubuhi nikakutana na hii,
👇👇
Dear Customer, you have Successfully done Payment for Google play store.
Nilivyoona hiyo text nikaenda kwenye account yangu ya tigo nikakuta kweupe...
Hellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia.
-Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama unataka kuanza biashara karibu
Nauza magauni kwa reja reja pia kuanzia sh elfu 7000 hadi 15000...
casual
familia
hello
jumla
kali
karibu
karibuni
kuanzia
machimbo
mbili
mitumba
mtu
mtumba
nafuu
nauza
nguo
nguo za mtumba
nzuri
official
safi
unapata
warembo
Profesa Ndakidemi aipa Milioni 5 familia iliyopoteza watu wanne kwenye mafuriko Kata ya Kimochi
MOSHI
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini (ccm),Profesa Patrick Ndakidemi ametimiza ahadi yake baada ya kuipa shilingi Milioni tano familia iliyopoteza watu wanne ambao walifari Dunia baada ya...
Wahuniiiiiii
Nimewaita mje
Mwenzenu ameyainua matanga, akatafuta kimada nje ya ndoa
Kimada ni mtoto wa 2000, basi kila saa anataka attention, anamkausha baba wa watu huku
Baba anataka msaada afanyaje?
THE KINDIKI FAMILY
1. Prof. Jonah Nyaga Kindiki, International Education and Policy, Dean of Faculty of Education, Moi University;
2. Prof. Isaiah Iguna Kindiki, Soil Science, Vice Chancellor, KCA University;
3. Prof. Moses Mpuria Kindiki, a Political Economy and Development Researcher...
Wanaukumbi.
Netanyahu alipokuwa akizungumza, familia za wanajeshi wa Israeli walioanguka walilipuka kwa sauti za hasira na kufadhaika, zikilaani waziwazi uongozi na maamuzi yake. Watoto wao wanakufa vitani umeshindwa kurudisha mateka...
Nimekutana na huu mjadala mahala.
Watoa hoja wanatoa sababu za msingi. Dar ni jiji pana kulinganisha na majiji yote nchini.
Mtu kutoka Bunju kwenda chanika Ukiwa Mwanza unakuwa umeshafika karibu na Mwigumbi mpakani na Shinyanga.
Kama unakaa chanika, na unataka kuenjoy na familia weekend...
1. Akaunti ambayo itatumika kulipia bills. Hii akaunti mnakubaliana muwe mnaweka kiasi gani kwa mwezi kila mmoja.
2. Saving akaunti. Hii ni ya pesa zenu za saving ambapo itatakiwa kusainiwa na wote wawili ili pesa zitoke.
3. Akaunti ya mume. Hiyo yako, tumia pesa uwezavyo. Kula maisha.
4...
Kuna vitu hutakiwi kushawishiwa ili uamini.
Maskini mmoja jirani yetu kujenga nyumba lakini ana deni la bati pia fundi mjenzi hajammalizia fedha yake.
Basi terehe 15 October ya 2024, wiki iliyopita ni kama walipatikana waje kudai kwa pamoja.
Baba huyu maskini hakuwa na cha kuwapa zaidi ya...
Habarini,
Napendekeza wale wote tunaoidai serikali ya Tanzania tusijiandikishe na kupiga kura ili kufikisha hisia zetu kwa serikali kuwa hatukubaliani nayo kuwa hsina fedha za kulipa madeni yetu tunatoidai ila inapesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Ninaidai serikali zaidi ya Tshs. 500mln...
Katika hali isiyotarajiwa, Naibu wa Kenya Rais Rigathi Gachagua ameripotiwa kuzidiwa na kupelekwa hospitalini zikiwa zimebaki dakika chache kabla ya kutoa ushahidi wake.
Wakili wake, Paul Muite, aliwaambia Maseneta kuwa Gachagua alizidiwa baada ya chakula cha mchana wakati akisubiri kesi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.