fundi

  1. blakafro

    Fundi wa Refrigirated Truck

    Wakuu kwema? Anahitajika fundi wa refrigirated truck gari ipo Mabibo Dar es salaam. Kama kuna fundi humu anicheki PM au la kama kuna member anajuana na fundi yoyote mzuri kwa kazi hizo naomba anisaidie namba yake. Ahsanteni.
  2. D

    Fundi mzuri wa kupiga plasta nyumba ya gorofa

    Wadau, natafuta fundi mzuri sana wa kiwango kwa ajili ya kupiga plasta. Site iko Kigamboni, Dar es Salaam. Please, weka namba hapa Asanteni.
  3. Blessed Keinerugaba

    UHITAJI WA FUNDI WA COMPUTER DODOMA MJINI

    Ninawasalimka ndugu wajumbe. Ninatafuta mtaalamu wa Kompyuta kwa Dodoma. Komyuta yangu imekuwa na changamoto inapowashwa hai-display chochote. Kama yuko fundi humu kwa upande wa Dodoma tunaweza kuwasiliana PM, ikiwa kuna mtu anamfahamu fundi mikini nitashukuru kupata mwongozo tafadhali!
  4. GENTAMYCINE

    Huyu Mteja alipokuwa akimpa Maelekezo haya Fundi wake wa Mlango alikuwa akimaanisha nini labda?

    Naukuu..." Fundi tafadhali sana nataka Mlango wangu unaonitengenezea Urefu usiwe Steve Nyerere na Upana Zamaradi Mketema, "
  5. chris emex

    Fundi Computer za Windows na Mac

    Tunatengeneza Computer za aina zote na kurudishia katika ubora Wake,, Pia tunazo Software / Program Za Computer Tupo DAR ES SALAAM WASILIANA NASI 0628 880 380
  6. L

    Fundi wa I.T

    Nafanya ufundi wa vitu vifuatavyo:- 1. Nafanya LAN ya uhakika na kufunga access point( wireless) 2. Nafanya installation ya cctv cameras kuanzia maofisini, dukani na hata majumbani nnazo cctv za bulb ambazo hazijulikani hvo husaidia kuonesha yanayoendelea nyumbani kipindi wazazi hawapo ili...
  7. S

    Anatafutwa fundi wa Inverter

    Anatakiwa fundi wa Inverter anaye weza kurekebisha Inverter yenye ukubwa wa 5KVA/48VDC. Aliyepo hapa Dar es Salaam awasiliane nami inbox.
  8. Mzukulu

    Kwanini Chupi au Soksi zikitatuka ( zikiraruka ) watu hawapendi kuzipeleka kwa Fundi kushonwa kama zilivyo kwa Nguo nyingine?

    Hilli jambo huwa linanitatiza sana hivyo huenda leo nikapata majibu mujarab kabisa kutoka kwenu ndugu zangu.
  9. hp4510

    Wapi kuna fundi mzuri wa magari ya Nissan?

    Jamani leo asubuhi nimeona jambo la ajabu kwenye gari yangu Pale kwenye top cover Kuna vuja oil ambayo inaenda kuungua chini na kutoa Moshi mwingi Sana So please wandugu kama kuna mtu anajua fundi mzuri wa hizi Nissan teana au gereji mzuri naomba connection
  10. Ulopo

    Fundi Majiko ya Gasi Tanzania

    Ni fundi bingwa Majiko ya Gass Kwa tatizo lolote tupigie +255715673024 huduma ni popote ulipo Kwa Dar es salaam na Dodoma fundi atakufata hadi lilipo jiko lako whatsap online muda wote uliza swali utajibiwa. Pia natoa ushauri Kwa mtungi wako wa gass kuweka juu ya ubao na si chini kama...
  11. justuscastus

    Wanaohitaji huduma ya kurekebishiwa Majiko ya gesi zote tuwasiliane

    Kwa huduma ya kutengenezewa au kurekebishiwa Jiko la gesi fundi nipo tuwasiliane kwa wakazi wa dar na kigamboni nakuja ulipo nipigie 0715500730.
  12. S

    Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682. Similar threads Natafuta fundi wa kushona nguo Fundi nguo...
  13. Bonlove

    Naomba msaada au ushauri juu ya Fundi wa Nissan X-trail

    Habarini na poleni na majukumu, Ninaomba msaada/ Ushauri juu ya Tatizo la gari langu (Nissan X- trail) nimetumia hili gari zaidi ya miaka 6, shida ilijitokeza kwenye Engine nikafanya uamuzi wa kubadilisha Engine na gear box (niliweka nyingine). Baada ya kukamilisha hilo zoezi cha ajabu (shida)...
  14. P

    Fundi nyumba anahitajika

    fundi nyumba anahitajika kwa kazi.kazi iko maeneo ya Temeke mpigie boss 0717371685
  15. S

    Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682.
  16. Van classic

    Kwa anayehitaji fundi umeme

    Kwa mahitaji ya kufanyiwa installation kuanzia awamu ya kwanza hadi awamu ya finishing. Bei zangu huwa ni rafiki sana kwa mkoa wa Dodoma ndiyo rahisi zaidi kukutana. Namba zangu za kazi ni 0752768907
  17. mathsjery

    Jifunze kutumia troubleshooting tool iliyomo kwenye OS ya PC yako kutatua matatizo ya PC yako kabla ujamwona fundi maana akina fundi Michael ni wengi

    NOTE: Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC. sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji knowledge kubwa kutatua matatizo madogo madogo ndani ya PC yako. Kumbuka kila kifaa kimeundwa na mfumo...
  18. The Assassin

    Nahitaji fundi wa laptop

    Laptop yangu aina ya Dell Inspiration touch screen, intel core i7, 15.6', 8GB RAM imepasuka kioo. Ilianguka kisha nikawapa watu wa it office wakawapatia vijana wa field wameiharibu sasa nataka expert aniwekee screen mpya. Kama yumo humu aniambie bei ya hiyo touch screen ni kiasi gani au kama...
  19. mathsjery

    Uzi wa kutupia fonts unazopendelea ukiwa kazini

    Kama kawaida unapokuwa unaandika au unadesign kitu chochote kama vile website au graphics za aina nyingine kama wallpaper, brochure, poster, logo, vitabu au newsletter nk. basi utakuwa na fonts unazopenda kuzitumia na zinavutia kweli kulingana na kazi unayofanya. Sasa uzi huu ni wa kutupia...
Back
Top Bottom