fundi

  1. B

    Fundi Mbobezi wa Mashine viwandani Anahitajika

    Habari za Jioni ndugu wadau. Nahitaji fundi mtaalamu wa mashine kubwa kubwa za viwandani. Naomba msaada wa kuonganishwa kama kuna mdau yoyote anayemfahamu. Ahsante
  2. Mwamba1961

    Fundi umeme anaitajika Moshi - Tanzania

    Cube Operator (Electrical) Job Description : Reports To: Production Manager Serengeti Breweries Limited (SBL) is a fully integrated beverage business in Diageo Africa (supply and demand for beer and spirits). It is a subsidiary of East Africa Breweries Limited (EABL), the largest business unit...
  3. C

    Fundi mzuri wa laptop (Hardware na software )

    Habarini wakuu Naomba kujua fundi mzuri na wa kuaminika wa PC Kwa Dsm upande wa hardware na software hasa maeneo Tandika au Temeke ikishindikana maeneo Hayo basi kokote ndani ya Dsm Nawasilisha
  4. Fundi mahiri wa ujenzi

    Fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba nipo hapa

    Mimi ni fundi mahiri wa ujenzi. Nifundi mzoefu na mbobezi kwenye kujenga:- Nyumba za makazi (single storey na double storey house) Nyumba za biashara Ujenzi wa mabwawa na Mfumo wa kisasa wa maji taka ambao haujazi shimo uchafu PIA Nafanya renovation ya kubadili nyumba...
  5. Chizi Maarifa

    Huyu fundi gari leo ilikuwa nifungwe kwa kuua kwa kukusudia

    Nipo mkoa fulani gari yangu ilipata ajali nmeleta kwa fundi. Hapa niliambiwa ndio mtaalamu wa hizi gari ni Toyota Hilux D4 zenye speed 200. Ilipata rabsha kidogo ikabidi nilete kwa fundi akague kila kitu. Gari imerekebishwa upande wa body mbele kidogo na chassis ilipinda hivyo ilibidi kushushwa...
  6. Ed Kawiche

    Mafundi nguo acheni ujinga huu...

    Hii ni mara ya pili sasa mafundi nguo wananiharibia nguo zangu! Namwambia vizuri tu kwa lugha inayoeleweka "...punguza urefu na upana." tunakubaliana... nampa pesa yake nasepa. Leo nimekuja kuchukua nguo zangu kubabake zimemodolewa zote! Hapa nilipo nimechukia kinoma! Nahisi sinaga bahati na...
  7. CONTROLA

    Duka la nguo za watoto au Fundi mzuri wa Nguo za watoto wa kiume (official wear)

    Naomba kwa wale wafanyabiashara wa nguo au watembeaji kama mimi mnaoweza nisaidia kujua ni wapi naweza pata duka la nguo za watoto wa kiume hasa hasa SUTI au pigo zozote za ki ofisi na ki utu uzima uzima naomba mnisaidie location. Au kama yupo anaemjua fundi mshonaji anaeshona suti kali kali za...
  8. S

    Fundi Kushona anahitajika

    Fundi Nguo anahitajika haraka, awe Ana uwezo wakushona mitindo ya kisasa hasa ya wanawake, mchapakazi mbunifu na mwenyekujituma. Awe na ujuzi wa miaka 3 na ziadi, Mkazi wa Dar..Piga namba hii 0737610682
  9. M

    Natafuta fundi wa madirisha ya grill

    Naitaji Fundi wakunitengenezea madirisha.
  10. FRANCIS DA DON

    Msaada: kuna fundi anadai nilipe 70k kwa ajili ya Oxygen sensor ya 1JZ engine, eti ndio bei yake hiyo?

    Nikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
  11. Mlolongo

    Bodaboda kapita na Side Mirror ya gari yangu. Nipo kwa fundi hapa narekebisha!

    Sijamaliza hata miezi mitatu tangu nimiliki funguo ile watu wanaichomekaga kwenye ruksi za suruali inaonekana kwa nje hivi, nishaanza kuona 'joto ya jiwe' ya kumiliki usafiri! Juzi Jumatano nilikua natoka kwa Aziz Ally kumpeleka 'rafiki yangu wa kike'. Wakati narudi ishakua usiku mishale ya...
  12. JituMirabaMinne

    Kwanini ni muhimu kwenda na fundi akague unaponunua gari? (mambo ya muhimu ambayo watu hawayafanyi wanaponunua magari yao)

    Ukiachana na mambo ambayo watu wengi wanaangalia wanaponunua magari used ambapo mengine ni madogo. Kuna mambo ambayo huwa ni ya kiufundi zaidi ambayo huwa ni vizuri pia yakaangaliwa. Kwa watu ambao wameshawahi kununua magari na yakawasumbua sana wanaweza kuelewa vizuri zaidi ni kitu gani ambacho...
  13. Madish Installers

    Kwanini dish (king'amuzi) chako kinasumbua signal mara kwa mara!?

    1.Ufungwaji wa Dish - Uimara wa sehemu ilipofungwa - Fundi amefungaje je kama huyu - Fundi alitumia signal finder? (kifaa cha kutafuta signal) - kwenye dish (lnb) tundu inayofungwa cable inayopeleka signal kwenye king'amuzi imefunikwa ili maji yasiingie n.k? 2.Cable kama imeungwa (ilikuwa...
  14. JOH CARLOS

    fundi wa kupauwa nyumba na kufunga gypusm

    mzoefu na anafanya kazi kwa ubora wa hali ya juu sana . yupo dar es salaam lakin anakufata popote naambatanisha na picha chache ya baadhi ya kazi zake
  15. Suley2019

    Nafasi ya kazi kwa (fundi) Welder

    Salaam Wakuu, Nahitaji Welder mwenye ujuzi wa kutumia Mig na Tig Welding Machines. Mig Welding Machine Tig Welding Machine - Malipo ya kazi hii yanategemea makubaliano kati yako (fundi) na Muajiri (Mmiliki wa mashine tajwa hapo juu). Kigezo cha msingi ni uzoefu na uwezo wa kufanya kazi...
  16. Ziggler

    Fundi/Maintenance Officer Anahitajika Haraka

    Fursa ya Kazi Jengo la makazi la urefu wa ghorofa zaidi ya 10 linatafuta fundi mwenye sifa zifuatazo 1. Awe fundi umeme mwenye ujuzi, ufundi na ujuzi kwenye maswala ya mifumo ya maji safi na maji taka pia inaweza kuwa added advantage muhimu sana 2. Umri 25 hadi 50 3. Awe na uzoefu na magorofa...
  17. Fundi mahiri wa ujenzi

    Je, unataka kujenga? Kwa ushauri na huduma ya ufundi kutana na fundi mahiri wa ujenzi

    Kwa wote wanaohitaji ushauri juu ya ujenzi wa nyumba za: Makazi Biashara Sherehe na Ibada karibuni sana. Najenga kwa Bei rafiki kulingana na mazingira ya mtanzania. Pia natengeneza mfumo mpya wa majitaka ambapo mashimo hayajai milele. Bei ya chini Ni TSH 2.5m. Bei inaongezeka kutokana na...
  18. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

    Salaam Mkuu, leo Ijumaa tarehe 28 Agosti 2020 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kinafanya uzinduzi wa kampeni za urais wa Tanzania zinazofanyika, Uwanja wa Zakhiem, Mbagala jijini Dar es Salaam. Tundu Lissu ndiye anayepeperusha bendera ya Chadema kwenye nafasi ya urais na Salumu...
  19. P

    Carlinhos, Kiungo fundi na bora kabisa kutoka Angola atua nchini kujiunga na Yanga

    Carlos Stenio Fernandes Guimares"Carlinhos", amewasili nchini Tanzania mchana wa Leo tayari kabisa kwa kuanza kuitumikia timu yake mpya ya Yanga Carlinhos ambaye anacheza nafasi ya Kiungo mshambuliaji, anasemekana atakuwa ni kiungo bora kabisa ambaye amewahi kucheza kwenye ardhi hii ya Tanzania...
  20. K

    Fundi wa kawaida VS Mkandarasi yupi ni bora?

    Jana nilimwona Mkuu wa mkoa wa Shinyanga akimfokea kiongozi mmoja wa wilaya mmojawapo wa Mkoa wa Shinyanga akimuuliza kuwa ni yupi aliyeamuru Mkandarasi kujenga jengo husika badala ya Local Fundi. Binafsi nilisikitika sana na kujiuliza kati ya Local Fundi na Mkandarasi yupi ni bora. Katika...
Back
Top Bottom