Nafanya ufundi wa vitu vifuatavyo:-
1. Nafanya LAN ya uhakika na kufunga access point( wireless)
2. Nafanya installation ya cctv cameras kuanzia maofisini, dukani na hata majumbani nnazo cctv za bulb ambazo hazijulikani hvo husaidia kuonesha yanayoendelea nyumbani kipindi wazazi hawapo ili...