game

  1. Course Coordinator

    Paul Pogba: Game changer

    Bila shaka wale wapenzi wa michezo wa mguu tuliobahatika kuangalia soka la jana ..mtakubaliana nami kuwa mchezo wa jana ulikuwa 50/50 Kwa maana ya point ila kutokana na viungo wabunifu wa Manchester United kupiga pasi na kumiliki mpira possession kubwa Man United walimiliki mpira shida ilikuwa...
  2. kali linux

    Nimewatengenezea hili game (Android game) wapenzi wa Karata(Arubastini)

    Hello bosses. Wale wapenzi wa mchezo wa karata aina ya Arubastini nmewatengenezea hili game. Kwa upande wa LASTCARD nalo nitaliweka playstore hivi karibuni. Download kutoka playstore (search Karata - Arubastini). Au tumia hii link KARATA - ARUBASTINI - Apps on Google Play Itakupeleka...
  3. ronnycharlz

    PC Game Trading?

    Kuna Gamer yoyote ambae ana collection ya PC games (2019 - 2020)? ninazo games kadhaa. kama tungeweza kubadilishana itakua poa. Don't tell me FIFA, GTA 5 and Call of Duty. XD
  4. Gentleman96

    Simba SC na Yanga SC kwenye game PES2020

    Itakua jambo la furaha kuona club zetu pendwa za mpira wa miguu zikipatikana kwenye games kama fifa, Pes na magame mengine! Hizo picha nimezitoa kwenye ukurasa wa habari tu za kimichezo africa zone !
  5. blogger

    Wale mliowahi chomoa "ndom" katikati ya game

    Mliambiwa nini na na hao wapenzi wenu hadi mkakubali na kwenda nyama kwa nyama.. Ulishawishi vipi hadi akakubali? Na wewe uliyekubali hadi ukaamua ku take risk..ulipigwa sound gani!?. Hii ni kwa wote Men and Women. Tupeane mauzoefu.
  6. Rockcity native

    Hii ndiyo game pekee ya Taifa Stars iliyokula kiingilio changu kihalali

    Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba. Magoli ya Stars yalifungwa...
  7. Stephen Ngalya Chelu

    Kumbe hili ni game? Sikuwahi kujua kabla

    Kwa kwatumiaji wa Google Chrome nadhani mtakuwa mnakafahamu vizuri haka kajamaa kanakotokea wakati kukiwa na shida ya mtandao wa Internet. Sasa leo bwana nikasema ngoja nikaguse haka kajamaa, weee si kakaruka na kuanza kukimbia. Nikajiuliza ni nini hiki mara naona vitu kama miti ya jangwani...
  8. Da'Vinci

    My review of a song of Ice and Fire: Game of Thrones series

    Kuna wakati unaweza kusoma kitu ukabaki unajiuliza mambo mengi sana juu ya mwandishi wa kitu hicho. Aliwaza nini,alipata wapi hii stori,ana akili yenye uwezo gani hadi kuandika kitu hiki. Basi ndio maswali mengi ambayo hua najiuliza juu ya huyu George Raymond Martin kutokana na uandishi wake wa...
  9. H

    Game ya Yanga vs Simba itakuwa ngumu Sana

    Mashabiki wengi wa Simba wameshatengeneza mentality ya wao kushinda dhidi ya Yanga Tena kwa magoal mengi kwa kuamini Yanga ni mbovu.Me ni mshabiki wa Simba lakini kwenye derby chochote kinaweza kutokea kwa team zote mbili kitendo Cha Yanga kuaidiwa mil 200 na uongozi wao Kama wakishinda...
  10. Wacha1

    End Game for The US Dollar as the Central Banks Losing Confidence in The Dollar

    The Atlantis Report End Game for The US Dollar as the Central Banks Losing Confidence in The Dollar . THE EMPIRE OF THE DOLLAR IS DRAWING IN ITS PAINFUL AGONY OF DEATH, AND ITS PATRIARCHS ARE IN THE STATE OF NEGATION OF REALITY OTHERWISE KNOWN AS THE TRUMP PRESIDENCY. Whether or not you...
  11. Cytochrome p450

    Tukutane Hapa Machizi Game Wenzangu

    Wakuu nimeona niusogeze huu uzi karibu tuweze kupeana A-Z kwa wale wapenzi wa kucheza magemu. Kwa upande wangu, nilitegemea nitaacha nikifikia ukubwani lakini mpaka sasa najikuta bado nipo. Nafikiri ni starehe yangu nyingine hapa duniani. Njooni tujuane na tupeane hint mbalimbali na pia...
  12. H

    Game ya Barcelona vs atlectico Madrid wanaonesha wapi?

    Mbona nimejaribu kuangalia ratiba ya supersports 207 ya mechi hii sijaona hii game please mwenye kujua atuambie
  13. Lizzy116

    Full video ya yule mama mchungaji wa sex game ya God, kwenye gari, jikoni twa twa!

    Kuna clip fupi imesambaa mtandaoni ya Pastor Susan Munene akiongea kuhusu umuhimu wa sex katika ndoa. Hii hapa clip ndefu zaidi ikiwa na maelekezo mengi hasa kuhusiana mambo ya ndao. hapa chini ni baadhi tu maneno ya Pastor Susan Munene. Mimeweka full video pia hapo chini. “Kama kuna kitu ya...
  14. Mshuza2

    Kuna dalili za game ya Yanga kutooneshwa kukwepa aibu

    Sioni dalili za game ya Yanga kuoneshwa..yawezekana ikawa ni ombi lao ili kukwepa aibu ya kuona jinsi watakavyokua wakiadabishwa na pyramids.. Hata hivyo dunia kijiji link zipo na wale wa dstv kama kama kawa kama dawa.. Updates: Azam wameshindwa kwenda mbashara. Nilichokua nahisi...
  15. lucky lefty

    Lenovo laptop for sale (gaming laptop)

    Model: LENOVO IDEA PAD Z585 Processor: AMD RADEON A10-4600M (pic attached) Harddisk: 500Gb Ram: 4Gb Screen size: 15.6inch Dvd slot: Available Battery: 5hrs Display 15'' Runs on Windows 7 Professional ACTIVATED PRICE : Tsh 550,000 Negotiable Call or Text 0713 985936
Back
Top Bottom