game

  1. ndege JOHN

    Haipendezi Mwanaume mtu mzima kucheza games za kitoto kwenye simu yake

    Unakuta ni kwenye daladala au mpo sehemu mmekaa mnasubiria huduma unaona mbaba anacheza game kwenye simu yake game yenyewe bora hata ingekuwa hata dream league soccer au PES. Noma inaanza pale unakuta mtu anacheza sweet fruit candy, au Buble shooter, Temple run, subway runner vigame flan vya...
  2. M

    Supermarket maarufu "Game" iliyopo Mlimani City inatarajia kufunga biashara zake

    Supermarket maarufu iitwayo Game imefuata nyayo za makampuni mengine kwenye MALL za Dar hasa Mlimani city kufunga biashara zao na kuondoka nchini. Kuna tetesi DSTV ambayo zipo Channel maarufu za supersports nayo ipo njiani kufunga biashara zake nchini kutokana na kushuka kwa mauzo ya vingamuzi...
  3. Ginner

    SoC01 The game of Pray, Motivators: Jini mla watu katika ujasiriamali wa kiafrika

    Kwa kipindi cha hivi karibuni, tatizo la ajira limepelekea mlengo wa ujasiriamali kuwa ndio habari ya mjini. Tumesikia maneno ya hamasa kwa vijana kuingia kwenye shughuli za kijasiriamali toka kwa watu mbali mbali ikiwemo wanasiasa, watumishi wa serikalini pamoja na taasisi zisizo za kiserikali...
  4. Ghazwat

    FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

    Naaaam..! Hujambo na Karibu kwenye Matangazo ya Habari za Michezo, Burudani na Uchambuzi. Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Jumamosi ya July 3, 2021, ambapo mchezo unaobeba hisia za mashabiki wengi Tanzania na nje ya Tanzania kati ya Watani wa Jadi, Kariakoo Derby...
  5. C

    Hata Abass Tarimba na Sportspesa yake wanaamini Simba anashinda hii game

    Atapiga sana makelele kuongea propaganda za uongo lakini ikija kwenye reality anakuwa mpooooleeeee. Tarimba anakuambia kwamba u ki bet laki moja kwamba simba anashinda, akishinda utapata 167,000 u ki bet laki moja kwa yanga wakishinda utapata 485,000, UNAJUA NI KWA NINI?
  6. GENTAMYCINE

    Simba SC msipokuwa makini na hii 'Mind Game' ya Yanga SC kuwa hawatoleta Timu 03 Julai, 2021 tunaenda kuumbuka kwa kufungwa nao

    Nauonya Uongozi wa Simba SC na Wanachama mpaka Mashabiki wa Simba SC kuwa tuweni makini mno na hii Mbinu ya Nje ya Kisaikolojia ya Mchezo (Mind Game) inayofanywa na Yanga SC hasa kuelekea Mechi yetu nao tarehe 3 July, 2021 kwani tukienda nayo na tukaiamini na Kuwaamini Yanga SC naona Simba SC...
  7. Fohadi

    BARUA YA WAZI KWA Mr. Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer

    Ni muda mrefu sana huyu jamaa nimekuwa namfatilia huyu jamaa..Anaandika vitu vingi some are logical na mengine are not logical...Hapa simlaumu maana kila mtu ana uhuru wa kuandika anachojisikia as long as havunji sheria za JF. Tatizo kubwa la huyu ndugu yetu ni kuamini kila anachokifahamu yeye...
  8. J

    Kila nikiwakumbuka Stella Abidjan naona kama game ya mnyama vs Kaizer iliuzwa kulekule bondeni!

    Kwa wanaojua historia ya kandanda yetu hasa Simba na Yanga watakumbuka michezo ya akina Murtaza Dewji wa Pan African, Abbas Gulamali wa Yanga na Azim Dewji wa Simba. Hawa Simba waliocheza robo fainali ya CAF nini kiliwatokea? Mechi iliuzwa? Ngachoka kabisa!
  9. Website design

    INAUZWA Nauza Pad za kuchezea game

    PAD ZA KUCHEZEA GAME Zipo mbili zote nzima Nauza kwa zote = 20,000 Ukitaka moja ni 12,000 Zinapatikana ubungo - dsm 0677 818283
  10. Pastory Kimaryo

    Nahitaji gemu la karata la kucheza wawili mtandaoni

    Hello 👋🏼 tech geeks! Kwanza nahitaji kujua michezo ya karata kama last card na robo sitini (informally: alba stin) inapatikana kwenye app stores na inaitwaje. Nimeona michezo kama poker, blackjack na rummy sasa sijui ni ipi hii. Basi kwa anayeijua hiyo michezo miwili, last card hii ya kibongo...
  11. Darucha

    Chelsea fans game ya Madrid darajani Bado ngumu kwetu

    Bado jamani tusione kama tayari tushaingia fainali kikubwa ni kumuomba mungu pia tuingie fainali ya mashindano haya hii ya kusema Madrid nyumbani hatoki tusijipe asilimia zote kwani lolote linaweza kutokana maana Madrid ni yenye historia kubwa kuliko hata sisi kwenye haya mashindano. Hii ya...
  12. U

    Makonda: Sio lazima niteuliwe, ninaweza kuwa Kiongozi wa familia

    Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Paulo Makonda ameibuka upya kwa kusema kuwa sio lazima apate uteuzi bali anaweza hata kuwa Kiongozi wa Familia. “Mimi ni mkulima, ni mfanyabiashara pia kwa hiyo ninaweza kuwa na mchango mkubwa sana hata kwenye kampuni ninazoweza kufanya kazi...
  13. Hajto

    Game za magari

    Habari zenu wadau,nina simu aina ya smartphone hua kila nikitaka kudownload play store game za magari ikishamaliza mwisho inaniletea maneno haya,Open the app na sehemu nyingine ni Scan for virus naombeni ushauri wenu je hapo niminye wapi na je izo game zitakuwa salama kwa wadudu simu yangu,
  14. Abdallahking

    Simulizi ya Kijasusi: C.O.D.EX.

    Simulizi : C.O.D.EX. 1 Mwandishi : TARIQ HAJI Imeletwa kwenu na: BURE SERIES C.O.D.EX. 1 ................... SEHEMU YA 1 Allen James ni jina langu, ni dereva wa taxi katika jiji moja maarufu sana duniani Los Angels maarufu kama LA. Kama kawaida mapema vijana tunaingia kazini kutafuta mapeni...
  15. M

    Rais Samia Suluhu Hassan ameanza mchezo vizuri sana

    Baraza ni lile lile, CCM ni ile ile, na hata wengine wanasema Mama Samia, ni wale wale! Lakini still ni early days. Nafikiri Mama anahitaji muda wa ku-settle kwenye kile kiti, na taratiiibu atajenga system yake! Baada ya siku 100 ofisini, mama atakua mwenyekiti wa chama tayari, atakua amewapa...
  16. MSAGA SUMU

    Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

    Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane. Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa...
  17. M

    Jicho langu la Kiufundi na Tahadhari kwa Simba SC kuelekea katika ' Desicive Game ' yake na AS Vita Club tarehe 2 April, 2021

    ANGALIZO Nitakayoyaandika (Kuyaeleza) hapa ni Maoni na Mtizamo wangu Mimi All - Rounder na sikulazimishi uukubali bali uheshimu tu tafadhali. PONGEZI Nisiwe mchoyo wa Pongezi kwa Mafanikio haya makubwa ambayo kwa sasa Klabu ya Simba imeyafikia ikiwemo Ushindi wake wa jana wa Magoli 3 kwa 0 na...
  18. T

    Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

    Nataka nianzishe biashara ya kuchezeshaa game aina ya playstastion ila kabla sijaanza inanibd nifanye utafiti kuhusu biashara. naomba kwaa aliye na uzoefu na hilo aniambie faida na hasara zake. WADAU WANAOHITAJI MUONGOZO KUHUSU BIASHARA HII MAJIBU NA MICHANGO YA WADAU
  19. Gajungi

    Tunawezaje kuangalia mechi ya Simba kwa sisi tulio nje ya nchi?

    Heshima zenu bandugu, Sisi tuliopo nje ya Tanzania tunawezaje kuangalia match ya simba ya leo? Asanteni
  20. Mtyela Kasanda

    Game tano kali kama computer ina uwezo mdogo sanaaaaaaaaaaa

    Hizi game zinakubali hata kama computer yako ina RAM chini ya mb 200 1. Half life 2 2. NFS Underground 2 3. Far Cry 4. Doom 3 5. Zuma's Revenge
Back
Top Bottom