Soka inaunganisha, na kwa kulifahamu hilo ndio maana FIFA kwa muda mrefu ilikuwa haitaki kuingiliana na Siasa, kama una mambo yako au mambo yenu malizaneni huko nje mkiingia uwanjani kuna lugha moja tu, nayo ni kandanda.
Kwanini nimesema haya na kwanini nimesema sasa, baada ya Mchezaji wa...
O Yeong-su mwenye miaa 78 ambaye pia ni mshindi wa Tuzo ya Golden Globe ameshtakiwa kwa kumshika maungoni bila ridhaa mwanamke ambaye jina lake haljatajwa.
Yeong-su amekanusha kumshika kinyume cha maadili mwanamke huyo mwaka 2017 na kudai alimshika mkono mara moja alipokuwa akimwongoza njia...
The power Game, Anaeweza kushika madaraka ndie yupo juu zaidi, Mfano kwa Nigeria kanda ya kaskazini wapo nyuma kielimu na kibiashara lakini linapokuja suala la Power wao ndio wameikamta na kuweza kuitumia kuwa juu ya kanda ya kusini mashariki walioshika biashara za nchi na kanda ya kusini...
Imeisha hiyo
Jangwani tutembee kifua mbele. Sisi tunapambana sana nje ya uwanja nanyi mkapambane.
Tunashukuru Nabi baada ya kuona amekalia kuti kavu ameacha ubishi kwenye kupanga kikosi. Leo tunampiga mwarabu 3 hapa. Arude kwao akale tende na halua.
Hii ndiyo yangaaaaaaaaa. Unbeaten and will...
Picha hii inamuonesha Nash MC, mmoja kati ya wasanii wa Hip Hop Nchini
Ni wazi muziki wa hip-hop wa bongo umepotea kabisa. Wasanii wa hip-hop hawafanyi vizuri sokoni yani kwa sasa bongo ukiimba hip-hop unaonekana kama umechanganyikiwa. Tofauti na zamani kidogo hiphop ulikuwa inafanya vizuri...
Kampuni ya Massmart kutoka Afrika Kusini inayomiliki maduka ya Game imesema Desemba 25, 2022 ni mwisho wa maduka yake kutoa huduma Tanzania.
Massmart imefikia hatua hiyo ikiwa ni miezi 12 ya kujaribu kuuza maduka hayo nchini Nigeria, Ghana, Tanzania, Kenya na Uganda kwa wawekezaji wapya wa...
Friday, October 14, 2022
Natural News
A former candidate for president in France says he had to undergo four heart operations to fix the damage caused by Wuhan coronavirus (COVID-19) “vaccines.”
Jean Lassalle, who is still in the world of politics, told the media outlet NTD that his health has...
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya...
Kila mtu katabiri anavyoweza, nilichoamua kufanya mimi ni kutumia hesabu za darasa la saba tuu kutafuta matokeo ya jumla. Kupitia humu humu Jamii Forums watu 12 walijaribu kutoa nyuzi au maoni kwenye nyuzi za wengine jinsi matokea yatavyokuwa.
Nikaamua kuchukua idadi ya magoli yote ya Yanga...
Kuna marekebisho mengi katika hii app (BaoTz v2.0.0) katika toleo hili.
Sasa lina level 4 ambapo unacheza mchezo wa bao la kete kwenye simu yako offline, mwanzo lilikuwa na level 3.
Hata hivyo linahitaji zaidi maboresho hasa kwa upande wa AI (Artificial Intelligence) kama mnavyojua positions...
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia
Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.
Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana...
Wapendwa, najua mchezo huu vijana wengi sasa hawaufahamu, hivyo katika private project yangu ya AI (Artificial Intelligence) nimeamua kuchagua mchezo wa bao kutengeneza simple game ambalo mchezaji atacheza vs AI. Kwa sasa linapatikana kwenye Android pekee.
Nimechagua mchezo huu ili kuufanya uwe...
POST GAME WARDEN II – 53 POST
EMPLOYER: Tanzania Wildlife Management Authority (TAWA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-08-12 2022-08-25
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.To supervise field operations
ii.To prepare and executing patrol plans
iii.To allocate field gears to Conservation...
Lyrics Master ameshindwa kuthibitisha umasta wake kwenye lyrics. Juzi kati nilimpa mtihani kama usahili akasema atarudi na mistari. Leo wiki ya pili amekimbia Jukwaani.
Nilijua nitamnasa tu. Mistari ya Hili Game anaijua Juma Kassimu peke yake nina hakika hata P Funk aliyerekodi haijui. Sasa...
Kuna watu tumejaliwa vipaji fulani vya kusoma alama za nyakati na kutabiri mambo yajayo. Zaidi ya miaka miwili nimekuwa nikimfuatilia huyu mwanamziki Harmonise tangu ajitoe kwenye label ya WCB. Na kiukweli kabisa matendo yake na attitude yake ilinifanya nione uwezekano mkubwa wa huyu mtu...
Habari ndiyo hiyo, watu wetu wanafukuzwa kwenye Ardhi yao kumpisha Mwarabu awinde, Habari kamili chini hapo.
---
Ten Maasai leaders were detained and more than 30 people wounded during violent clashes with police in northern Tanzania on Friday, as they protested against eviction from their land...
Weka screenshots za scores waje watu wakuchallenge.
Namaanisha games za aina yoyote za kielekronic na zingine zikijumuisha PlayStaions.
Mi jana nimekutana na haka kadude kaninusumbua mwenye aidia anipe.
Kama umekacheza na unako tupigie picha kakiwa kamevurugika na baada ya kukapanga
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
TYCOON BUSINESS 2022
Wale wapenzi wa games basi hii ni fursa kwenu game hili linahusika na masuala ya kiuchumi, teknolojia, utachagua nchi yako ambayo utaunda kampuni yako kisha utaanza kujenga uchumi wako kama tunavojua ili uwe na uchumi bora ni lazima uwe na jeshi bora teknolojia bora kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.