Ukweli ni kwamba 'hawajafukuzwa' Kambini tena wapo na ndiyo wanapewa Mazoezi ya maana na 'Maalum' ya Kucheza na Simba SC hiyo Jumamosi tarehe 28 May, 2022 pale CCM Kirumba.
Yanga SC hivi sasa wameamua Kujikita zaidi na kufanya Propaganda na kutumia 'Mind Game' kuelekea mechi yao na Simba SC ili...
Nimeona uchezaji wa mawinga wa simba leo sio stubborn hata kidogo kwa game tough. Morrison katusaidia sana kuleta mivurugano kwa mabeki kwenye game za namna hii.
Nawaombeni viongozi wetu tumrudishe dhidi ya Yanga ili mabeki wake wasikae na utulivu na ukizingatia Kirumba pitch yake sio smooth...
Nikiwa maeneo fulani hapa mjn songea, nimekutana na wachezaji wa mbeya kwanza na wamepanga kudefense mwanzo mwsho game zd ya Yanga kama walivyofanya tz prison, naamn sare inawahusu.
Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekewa na wasimamizi wa mirathi katika rufaa ya mirathi ambao ni Abdiel Mengi (mtoto wa marehemu Mengi wa mke wa kwanza) na Benjamin Abrahamu Mengi (ndugu wa...
Sikujua ni leo baada ya kupitia kwenye steampowered ndio nimezikuta.
days gone ambayo niliitamani sana kuicheza inapatikana kwa bei punguzo kutoka usd 49 hadi kwa usd 24 tu kwasasa.
Zingine ni god of war 4 na Horizon zero dawn.
Mara kadhaa humu humu JF wamekuja watu wanatuambia HIV ni kama mchezo fulani tu wa wazungu kutaka kuitia hofu dunia. Ni kama ilivyokuwa Corona Covid 19 walivyotuchezea akili.
Maoni haya yanakuwa magumu kuyaamini kwa sababu tumeshaelimishwa vinginevyo huko awali tena kwa miaka mingi. Bahati...
He'll bosses,
Wale tulio na games kwenye devices zetu, ni game gani unacheza sasa
Mm sio mpenzi sana wa games lkn sometimes na cheza mara nyingi napenda ku cheza game amambazo zina run online sio kudownload application.
Currently nacheza gama inatwa GO hii ni game origin yake ni huko china...
Hello bosses, nimetumia baadhi ya game engines lkn linapokuja swala la kubalance hivi vitu :- 1)Component Reusability, 2)Perfomance, 3)State management bado game engine nyingi sana zinafanya tradeoffs, yaan vinafavor baadhi ya hizo issue na kupuuzia nyngne. Hii inafanya ukute game linachukua...
Bado anaendelea kutoa video akiwa-tag wababe wa muziki wa bongo WCB ili iwe rahisi kuwafikia watu wengi.
Kiukweli kufanya muziki bongo bila support ya WCB hauwezi kutoboa.
Yanga ni zaidi ya mbumbu watu walishajua kuwa nyie mnapenda skendo za nje ya uwanja ndio maana Simba wameamua kuwachezea mind game ili Yanga mconcetrate na ya Simba kususia mechi msahau maandalizi
IS ANY ONE EALLY SURPRISED THAT BILL GATES HAD A VIDEO GAME CREATED FOR MICROSOFT WINDOWS CALLED ‘OMIKRON’ IN 1999 ABOUT DEMONS HARVESTING SOULS?
The 1999 Microsoft video game Omikron continues to go viral on social media amid the new Omicron strain and people have a lot to say about it on...
Kwanza nianze kwa kuwapongeza askari wa hifadhi za wanyamapoli walio waadilifu, kwa kuendelea kusimamia kulinda urithi wa maliasili tulizo nazo ikiwemo hifadhi ya Taifa ya rubondo.
Kwa wasio ifahamu rubondo ni kisiwa kinachopatikana ndani ya ziwa Victoria. wilayani chato, Mkoani Geita...
Nimelala nikaota ndoto game ya Simba na yanga imesogezwa mbele na haitachezwa tarehe 11 mwezi 12 Kama ilivyopangwa kwenye ratiba.
Hapo ndio uwa najiuliza tff wanafanyaje kazi zao kwanini hawapangi ratiba Bora isiyoyumba ?
Nani anasogezewa mbele kipigo?
Zote tatu ndani ya cd moja zikiwa zimeboreshwa graphics mpyaa kwa ulimwengu wa sasa.
system requirements
OS: Windows 10 (probably 64 Bit)
RAM: 8 GB.
Processor/CPU: Intel Core i5-2700K / AMD FX-6300.
Graphics Card/GPU: NVIDIA GeForce GTX 760 2GB / AMD Radeon R9 280 3GB.
Storage space: 45 GB...
"Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"
Binafsi siwezi, kwa umri niliofikia na kutembelea sehemu na maofisi mbalimbali, nikijumlisha na life la mtaani kwangu na kibaruani kwangu jinsi watu wanavyoishi hakika sina imani na mtu yeyoteee.
Rafu aliyochezewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.