game

  1. D

    Hongera Profesa Ted Mlyamkono na Profesa Hugh Mason kwa kitabu cha Game Changer -" Magufulis first term in office"

    Nimefurahishwa na wazo la Profesa Ted Malyamkono na mwenzake kwa kuandika kitabu kinachoelezea mchango wa Rais JP Magufuli na mabadiliko aliyoyaleta ya kijamii,kisiasa na kiuchumi nchini. Mwelekeo Mpya Kitabu hiki angalau kimejaribu kuonyesha sera na maono ya Rais Magufuli kimaandishi na...
  2. Chizi Maarifa

    Kwa hii Simba ya hawa wachezaji, Yanga tusiposhinda Natembea Bila Nguo Kabisa. Babu amehakikisha

    Yanga tuna bao 2 Simba 0. Ushihidi ni huu uzi. Yanga tumeadhamilia kushinda hii match. Wakati Simba tayari wanaonekana kushindwa hii match mapema sana. Hivyo nawashauri wana Yanga tuanze sherehekea Mapinduzi Cup. Na hili kombe kwa kweli halina sababu ya kutotua Jangwani. Iwe mvua iwe jua...
  3. kcamp

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2. Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama umechoka zile barabara zake, magari yake, limitations pia katika kununua trucks hadi kufikia level...
  4. F

    Kweli " sometimes politics is unpredictable game " , January, Nape, Ridhiwani na Kigwangala hawako kwenye Baraza la Mawaziri towards 2025!!?

    January Makamba, Mwigulu Nchemba,Nape Nnauye, Ridhiwani Kikwete na Hamis Kigwangala ukitazama vizuri ni baadhi ya vijana wa CCM ambao ama walikuwa "wanaandaliwa" au "kujiandaa" kutoa uongozi mkubwa kwa Taifa letu katika siku zijazo . Nasema hivi nikizingatia " generational succession plan" ya...
  5. IslamTZ

    Taifa Stars vs Tunisia: Haikuwa game ya Boko wala Farid

    Makocha wanajua zaidi lakini sikuona kabisa mantiki ya kumchezesha Boko wala Farid mechi ya ugenini ya Taifa Stars dhidi ya Tunisia. Boko alikuwa cut-off kutoka kwa wenzake, akipewa mipira ananyang'anywa kirahisi na mabeki wa Tunisia waliomzunguka. Katika mechi hii Samatta angeweza kuonesha...
  6. H

    Game ya Tunisia vs Stars inaoneshwa wapi?

    Kwa sisi tunaotumia simu kuwatch mpira hii game tunaipataje?
  7. Trubarg

    Drones ni game changer kwenye vita

    Vita vya kisasa vinahusisha zaidi ya technologia ya Hali ya juu, yenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi. Kwenye uwanja wa Vita drones zimekua zikifanya Mambo ambayo pengine kwa Vita ya zamani kwa Sasa kutokuwa nafasi. Vita ya zamani watu walikua wanajificha kwenye mifereji na...
  8. GENTAMYCINE

    Kama alichosema leo Kocha wa Simba SC ni 'Mind Game' tu namuunga mkono, ila kama ni kweli 'lawama' zangu ziende kwa Uongozi

    Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC. GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya...
  9. P

    Alhaji Sheikh Ponda: Game Changer kwa kura za Waislamu

    Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami...
  10. The Humble Dreamer

    Unalikumbuka hili Game?

    Wakuu Salaam: Unakumbuka hili Game? Uliwahi licheza? Tupe mbili tatu.
  11. T

    In order to avoid chaos piracy, free and fair elections is inevitable

    Eye-gase , gunpowder, Bullets , Military, Police , cannot deal with peoples who were subjected in long periods of time. It better the government to enlightening how the multitudes decisions can be respected at the great extents. Without left any anxious . Peoples they will not agrees with any...
  12. T

    Tundu Lissu the game changer, you deserve the medal

    In five years a go, The current regime, banned all Rallies, till 2020, this situations aroused the questions about, ending of the democracy. Also the Ward councilors and Member of the Parliament from various ares who resigned from oppositions were given power of returning to their former...
  13. BAK

    Milwaukee Bucks watelekeza mchezo wa 5 NBA playoffs dhidi ya Magic kutokana na Jacob Blake kupigwa risasi na polisi

    The NBA and its players and coaches have taken myriad measures to make clear their support for the Black Lives Matter movement while standing against all racial injustice and police brutality, but in the wake of an unarmed Black man named Jacob Blake being shot seven times in the back in...
  14. Msukuma wa dar

    Utambulisho wa game ya Twaha Kiduku Vs Dulla Mbabe umekaa kibongo movie sana, Shafii Dauda umebugi

    Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu. Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwenye pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe. Baada ya hapo ni maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act mpaka radha...
  15. Kevin85ify

    Northlands City: Nairobi Gate promises to change the game in Kenya’s warehousing and logistics industry

    Nairobi Gate promises to change the game in Kenya’s warehousing and logistics industry WEDNESDAY, JULY 29, 2020 16:31The first phase of the landmark Nairobi Gate Industrial Park development located off the Eastern Bypass in Nairobi is almost complete. The first two warehouses of 5,000 square...
  16. Mkogoti

    Game of Death ya kwake Bluce Lee

    Wakuu habari zenu! Nimeona kuleta hili kwenu kwa maana nipo nacheck movie ya marehemu bluce lee inaitwa game of death Sasa katika hii movie bluce kuna sehemu alikuwa location anafanya scene ya movie harafu kuna jamaa kama wana bunduki flani ila wakawapa risasi za bandia ila kuna mmoja huyo...
  17. R

    Nahitaji partner ili tushirikiane kwenye Game Development

    Habari zenu wadau, Natafuta patners wenye interest ya game development kwa kutumia unreal engine au unity tushirikiane katika mambo mbali mbali. Pia, kama unajifunza game dev kwa kutumia libraries kama Libgdx, jmonkey, SDL, SFML Naomba tufahamiane nna mengi ya kuongea na wewe mdau wa Game...
  18. F

    Nimependa spirit ya Molinga game na simba, nashangaa kwanini uongozi wa yanga haumpendi

    Habari wadau Nina majonzi ya kufungwa na watani japo nilijua kwamba watani wana timu nzuri kuliko yetu. Wachezaji wa yanga wamezingua sana leo hasa safu ya ulinzi.. Tukiacha yote nimependa amsha amsha za papaa Molinga.. nashangaa why wanayanga hatumpendi Spirit yake kali sana na leo ni...
  19. J

    Politics is a game of dynamics, Urais, Ubunge, Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu, Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu

    Wanasiasa hasa Wa Upinzani naomba mpitie huu Uzi kwa makini sana, MADA :"Politics is a game of dynamics,Urais,Ubunge,Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu,Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu" Jana nimefuatalia kwa kina Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM uliofabyika Jijini...
  20. Pdidy

    Azam anashinda game mapema tu, kila la kheri

    Yah poleni mlioumia jana ndio hivyo maisha yanaendelea Nawatakia heri Azam FC kwenye ushindi wao wa leo Simba wataingiza baadhi ya wachezaji wa benchi na wale wasiocheza Wale ndugu zangu mnaobet muwe makini msijekosa mboga za wenenu
Back
Top Bottom