Nimefurahishwa na wazo la Profesa Ted Malyamkono na mwenzake kwa kuandika kitabu kinachoelezea mchango wa Rais JP Magufuli na mabadiliko aliyoyaleta ya kijamii,kisiasa na kiuchumi nchini. Mwelekeo Mpya
Kitabu hiki angalau kimejaribu kuonyesha sera na maono ya Rais Magufuli kimaandishi na...
Yanga tuna bao 2 Simba 0. Ushihidi ni huu uzi. Yanga tumeadhamilia kushinda hii match. Wakati Simba tayari wanaonekana kushindwa hii match mapema sana. Hivyo nawashauri wana Yanga tuanze sherehekea Mapinduzi Cup.
Na hili kombe kwa kweli halina sababu ya kutotua Jangwani. Iwe mvua iwe jua...
Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2.
Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama umechoka zile barabara zake, magari yake, limitations pia katika kununua trucks hadi kufikia level...
January Makamba, Mwigulu Nchemba,Nape Nnauye, Ridhiwani Kikwete na Hamis Kigwangala ukitazama vizuri ni baadhi ya vijana wa CCM ambao ama walikuwa "wanaandaliwa" au "kujiandaa" kutoa uongozi mkubwa kwa Taifa letu katika siku zijazo .
Nasema hivi nikizingatia " generational succession plan" ya...
Makocha wanajua zaidi lakini sikuona kabisa mantiki ya kumchezesha Boko wala Farid mechi ya ugenini ya Taifa Stars dhidi ya Tunisia.
Boko alikuwa cut-off kutoka kwa wenzake, akipewa mipira ananyang'anywa kirahisi na mabeki wa Tunisia waliomzunguka. Katika mechi hii Samatta angeweza kuonesha...
Vita vya kisasa vinahusisha zaidi ya technologia ya Hali ya juu, yenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi.
Kwenye uwanja wa Vita drones zimekua zikifanya Mambo ambayo pengine kwa Vita ya zamani kwa Sasa kutokuwa nafasi.
Vita ya zamani watu walikua wanajificha kwenye mifereji na...
Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC.
GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya...
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami...
Eye-gase , gunpowder, Bullets , Military, Police , cannot deal with peoples who were subjected in long periods of time.
It better the government to enlightening how the multitudes decisions can be respected at the great extents. Without left any anxious .
Peoples they will not agrees with any...
In five years a go, The current regime, banned all Rallies, till 2020, this situations aroused the questions about, ending of the democracy.
Also the Ward councilors and Member of the Parliament from various ares who resigned from oppositions were given power of returning to their former...
The NBA and its players and coaches have taken myriad measures to make clear their support for the Black Lives Matter movement while standing against all racial injustice and police brutality, but in the wake of an unarmed Black man named Jacob Blake being shot seven times in the back in...
Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu.
Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwenye pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe.
Baada ya hapo ni maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act mpaka radha...
Nairobi Gate promises to change the game in Kenya’s warehousing and logistics industry
WEDNESDAY, JULY 29, 2020 16:31The first phase of the landmark Nairobi Gate Industrial Park development located off the Eastern Bypass in Nairobi is almost complete. The first two warehouses of 5,000 square...
Wakuu habari zenu!
Nimeona kuleta hili kwenu kwa maana nipo nacheck movie ya marehemu bluce lee inaitwa game of death
Sasa katika hii movie bluce kuna sehemu alikuwa location anafanya scene ya movie harafu kuna jamaa kama wana bunduki flani ila wakawapa risasi za bandia ila kuna mmoja huyo...
Habari zenu wadau,
Natafuta patners wenye interest ya game development kwa kutumia unreal engine au unity tushirikiane katika mambo mbali mbali. Pia, kama unajifunza game dev kwa kutumia libraries kama Libgdx, jmonkey, SDL, SFML
Naomba tufahamiane nna mengi ya kuongea na wewe mdau wa Game...
Habari wadau
Nina majonzi ya kufungwa na watani japo nilijua kwamba watani wana timu nzuri kuliko yetu.
Wachezaji wa yanga wamezingua sana leo hasa safu ya ulinzi..
Tukiacha yote nimependa amsha amsha za papaa Molinga.. nashangaa why wanayanga hatumpendi
Spirit yake kali sana na leo ni...
Wanasiasa hasa Wa Upinzani naomba mpitie huu Uzi kwa makini sana,
MADA :"Politics is a game of dynamics,Urais,Ubunge,Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu,Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu"
Jana nimefuatalia kwa kina Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM uliofabyika Jijini...
Yah poleni mlioumia jana ndio hivyo maisha yanaendelea
Nawatakia heri Azam FC kwenye ushindi wao wa leo
Simba wataingiza baadhi ya wachezaji wa benchi na wale wasiocheza
Wale ndugu zangu mnaobet muwe makini msijekosa mboga za wenenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.