Baada ya kuona watu wanazisifia sana hizi series mbili ikabidi nizitafute.
Itoshe kusema breaking bad ni bonge la series.
Game of thrones nayo iko vizuri japokuwa sio kama breaking bad.
Msimu huu wa sikukuu naombeni list ya series kali za hivi karibuni,
Natanguliza shukrani
In recent years, the Aviator game has gained immense popularity, particularly among young people seeking quick thrills and easy money. While it might seem like a harmless and entertaining pastime, the reality is far more dangerous. This game has led countless individuals into financial ruin...
Wazungu wanaita hii hali "post nut clarity" yaani fahamu kukurudia baada ya hamu yako ya kujamiiana kufunga
Kama ulikuwa huoni hilo komwe la huyo mwanamke hapa sasa ndio utaona, kama ulikuwa hujaona vizuri kwamba ni lishangazi basi hapa ndio utaona, kama mliokotana Tandale kwa mfuga mbwa na...
Ali kamwe alisema wameaminishwa kuwa Dube alikuwa hafungi kwa kuwa alikuwa amefungwa kwa nguvu za giza na timu fulani ila mganga mpya waliyempata amewahakikishia leo(jana) rasmi ataanza kufunga na wanamkabidhi mechi na ukisikia kukabidhiwa mechi ni zile takataka zote za kichawi hukabidhiwa...
Nimejiuliza sana sijapata jibu. Kama ni kwaajili ya mechi za Caf mbona wote wanacheza wiki hiyohiyo??
Anyway, inawezekana ni Yanga iliyoomba , na Simba ikaona yenyewe icheze tu.
Na katika hili hakika Simba inaonekana haina pressure na mashindano ya Caf tofauti na Yanga.
Pia Yanga...
Wakuu salam,
Wakati tunaongea mambo mengine tukumbushane mara moja upande wa malezi ya watoto hasa kipindi hiki ambako digitali inaenda kasi.
Watoto wengi wakati huu wapo exposed kwenye ulimwengu wa digitali kupitia TV, simu, laptops, magemu nk. Leo tuongelee upande huu wa games, ambayo yapo...
Habari za Sasa hivi wakuu?
Mimi nimiongoni mwa watu wanao penda Sana kutazama movies hasa pale ninapo kuwa nime maliza majukumu yangu.
ifikapo jioni wakati huwa naangalia picha hasa za kizungu Tena zile za kihistoria
Sasa katika tazama tazama zangu movies Kuna picha niliona inaitwa the game...
Wakuu msaada mwenye ngoma ya jay moe Hili.game remix tafadhali.naiomba hapa. Mara nyingi nayoipata haipo fresh ipo sauti ya chini sana alafu biti haikimbizi vzr.
Msaada jamani nayoipata ni hiyo chini hapo
Naona baada ya mafanikio makubwa ya Season 1, wanarudi tena.
Dec 26 ndio episode 1 itaanza na kutakua na jumla ya episode 10.
BTW ni miaka mitatu tokea Season 1 itoke. Tunazeeka aisee.
Wao husema wanakipenda kifo kama ilivyo kwa watu wa kawaoda wanavyothamini uhai, ajabu ni kwamba Israel ikitungua viongozi wakuu kuna vilio na misagano ya meno.
Israel inaendelea kula vichwa vya viongozi wakubwa kwa spid ya ajabu, Pamoja na kujificha kwenye mahandaki yenye zege zito, Israel...
I will be short.
tulisema tutaelewana tu with time,
juzi tu hapa alisema games za community shield VAR inaweza kutumika.
leo kuna game ya community shield VAR iko wapi?
incompetence tu. nothing to show for it.
karia should change or leave.
Hivi harmonize ni kama game limemshinda kabisa hakuna wimbo wake unao hit sana ni kama mziki umemshinda show now anapiga za humu humu ndani njee, sio kama zaman au jamaa. Ndio kafirisika.
Teknolojia imefika mbali sana, bro! Unakumbuka zile enzi ambazo simu za mkononi zilikuwa kubwa kiasi kwamba ilikuwa lazima ubebe kwenye begi? Sasa tumefikia wakati ambapo tunaweza kuvaa teknolojia. Ndio, unavaa kabisa kama vile umevaa nguo au saa, lakini teknolojia inafanya kazi zenyewe bila...
KING RASHID ( K R MULLA) MSWAHILI ALIYETUKUKA TOKA TEMEKE ASIYE NA MAJINGAMBO TOKA KITAMBO...🔥🔥🔥🔥🔥🔥
_________________
Jina langu halisi naitwa Rashid Ziada , lakini
Jina langu la kisanii Naitwa "K R"
jina hili la K R lilitokana kwa Sababu sisi ndio tulikuwa waanzirishi wa Movement Ama...
Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ndio nimeitazama series ya Game of thrones kabla ya hapo niliishia tu kuwa msomaji wa baadhi ya nyuzi zinazohusiana na uchambuzi wa movie ama kweli ni movie bora.
Mpaka sasa niko season 7 ila nimepata episode 7 tu tofauti na season zingine za nyuma ambazo...
Nimepata idea ya kutengeneza game la mpira ambalo litakuwa na leagues za tz tu na pia commentator atakuwa anaongea kiswahili na pia viwanja vitakuwa vya Tz.Je nauliza kama kuna sheria ambazo zitanibana kwa baadae maana ntatumia majina na sura za wachezaji halisi(original)
Ma dj waga waduazi sana wanajifanya mademu wazur wote wanaokuja clabu au bar ni spesho kwa ajili yao tu. Demu anakupanga fresh alafu badaye utamkuta yupo kwa dj pembeni kama kifaraga cha kuchi hapo kumtoa inakuwaga ngumu sana sana sana ukiforce utaishia kumaliza pesa zako tu tena mkimpa bia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.