Yaani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.
Mwishowe anafunguka kuwa alikuwa nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.
Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,
Pesa kidogo huku...
Ps 3 hiyo, wafurahishe watoto wako kipindi hiki cha likizo
300 k
Games za kutosha
Nipe 300k tu
Temeke.
MORTAL KOMBAT
GTA 5
NEED FOR SPEED
ARMY WAR
SPIDERMAN
Vipi Team turudiane tuanze kurudiana?
😂😂
Mnamfunga Azam mnaanza kusema mrudiane na Yanga.
Mliwaza kuomba kurudiana na Yanga kila kona mnapiga pambio leo kimewalamba😂
Nawaza sana nilisema kwa ule mpira wa siku ile wa Azam..wachezaji wachuñguzwe na viongozi pia wa Azam wachunguzwe na TAKUKURU...
In economics there is the so called game theory in which nush equilibrium is studied.
Lissu is surely playing the zero sum game such that at time of breaking up of union helped by our president, it will be beneficial for him and the president since their missions will have reached.
Through...
Kwa mara nyingine siasa zimeingilia hii game tutaona kama ni team zitafungiwa au ni nchi zitafungiwa jumla
Au wataogopwa vile ni waarabu maana ingekuwa nchi kama tz Motsepe na genge lake wangeandika barua ya adhabu usiku huu huu
Hii mechi haipo Dreams
Zamaleki atangazwe bingwa
Youths are the technology game changers. They're creative and skilled with digital tools, making big changes in industries and society. With technology and global connections, they're breaking old rules, creating new ideas, and changing how things work in many areas.
The power of young people...
Tokugawa Shogunate...
Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.
Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries...
Kwa wale ambao you've been watching this show I don't know why the end broke my heart so bad
inshort nimejisikia vibaya sana🥺😭
why the show had to end like that, why lakini🥺🥺🥺🥺🥺
Sentenced to 8 months of prison, 2 years of probation and 40 hours of sexual violence education.
actor Oh Young-soo has been found guilty of indecent assault in a South Korean court.
The 79-year-old Netflix star became internationally recognisable in 2021 when he played the “Old Man”, Oh...
1. Reacher (2022–Till date)
2. Percy Jackson and the Olympians (2023–Till date)
3. What If...? (2021–Till date)
4. Game of Thrones (2011–2019)
5. Monarch: Legacy of Monsters
(2023–Till date)
6. Berlin (2023–Till date)
7. Obliterated (2023)
8. Jujutsu Kaisen (2020–Till date)
9. The Boys...
Je ! Ni Management zao.. Ni Fedha..
Ni kutotoa hongo ktk Media Industry!? Mawazo yako mengi sana. Najua nawe una mawazo yako..
Kwa Mfano.
Benson ni nini kilimfanya asiendelee kuwa msaniii mkali kabisa!? .
Au huyu LodyMusic.. kwanini wanakuja na kuondoka.. pure talents.
Embu tuwasikilize hapa...
Huyu msanii anaitwa yammi mpelekeeni mauwa yake kutoka kwangu.
Nilikua kwa mchepuko, baada ya game nimeenda kuoga yeye anarekebisha mambo si akaweka huu wimbo, nikawasha shazam ikaudaka unaitwa kiuno
https://m.youtube.com/watch?v=TbSuWP0taQw&pp=ygUGWWFtbWkg
Mtoto alikua kavaa kanga tu...
Wakuu, Nina Smart tv hapa inch 32 ( Alitop ). Naomba kuelekezwa jinsi ya ku-connect simu na tv Ili nicheze game kwenye simu ila display ionyeshe kwenye tv.
NOTE: Tv ni Alitop , simu ni Infinix hot 20i
Messi kaingia dakika ya 83 wakati Ronaldo yupo jukwaani akiikosa mechi kwasababu ya majeraha.
Je hii inathibitisha kauli ya Ronaldo aliyoitoa siku za hivi karibuni kuhusu ubora wa ligi yao?
Na wale waliokuwa wanasema Saudia kuna hela hakuna mpira nadhani leo tumepata majibu
Yes, politics is a strategic minds set- game; playing around the mind set of the target audience. The strategy is to capitalize on the weakness (udhaifu na ujinga), njaa, shida na manyanyaso ya target audience; hata kama baadhi ya vitu hivyo ni wewe umevisababisha, once you win their mind set...
Hapa sizungumzi kazi za kijanja janja unaotea kwa muda mchache unapiga dola kadhaa alafu baada ya hapo mchongo unakuwa ushachuja unaanza upya kujitafuta kwengine, nazungumzia kazi iwe ya uhakika kiasi kwamba kuna watu wamezigeuza ziwe ajira rasmi wanazifanya hata kwa miaka mitatu +.
kazi ziwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.