gen z

  1. Cute Wife

    Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya

    1/7/2024 Vifo vinavyotokana na maandamano ya kushinikiza Rais Ruto aachie ngazi vyafikia 26, baada ya watu wawili zaidi kutokana na majeraha Kevin Madanga (22) ambaye alipigwa risasi 3 wiki iliyopita amefia Nakuru na Daniel Kakai (17) mwanafunzi kutoka Bungoma aliyepigwa risasi Alhamisi...
  2. T

    Jumba la kifahari la Mbunge Bilionea lateketezwa, magari, mifugo vyaharibiwa vibaya +254

    Kama kichwa cha habari kinavyosema jumba la kifahari la mbunge aliyekubali ule muswada wa kuwafanya wakenya kuwa watumwa katika ardhi yao, limeunguzwa, mifugo, magari ya gharama yote vimechomwa VIVA GEN-Z WACHA SISI TUENDELEE KUTYPE KUHUSU SATIVA HAPA JAMII FORUMS MLALE UNONO KWAKO johnthebaptist
  3. Mjukuu wa kigogo

    Wanazi wa Arsenal 'The Gunners' mmefikiwa na chama la wana "Gen Z"

    Mashabiki wa Arsenal Kuna salaam zenu toka Kwa wana.
  4. R

    Watanzania wenye akili wanauliza: Watawalawa Tanzania, wamejifunza lolote kutoka maandamano ya Gen Z Kenya. Jibu ni hili hapa chini

    1. Hawawezi kujifunza lolote. Kwa nini wakose la kujifunza? JIBU: Watawala, CCM for that matter, walihakikishiwa na Kenyatta enzi hizoza uhai wake kuwa .1. WATANZANIA NI MAITI, HAWAWEZI FUKUKUKA, you need not worry about them 2. WAGANDA WAJINGA, WAKIELIMISHWA WATAJITAMBUA NA KUTETEA HAKI...
  5. Etugrul Bey

    Je, Tanzania tunahitaji Gen Z?

    Kwa mtazamo wangu Tanzania hatuhitaji hicho kizazi hata kidogo,,kwa wengine wanaona hiyo generation ni babu kubwa na kutamani nasi tungekuwa nayo Jirani zetu wakenya huenda wanastahili kuwa nayo kutokana na back ground yao,,kwa sababu ukabila ni sehemu ya maisha yao ya kila siku,hata siasa zao...
  6. R

    Vijana wa Kenya (Gen Z) sasa mnataka nini?

    1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini? 2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand? 3. Who will be next? and come up fully with your demands? Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
  7. Huihui2

    Hasira za Gen Z ya Kenya; Chanzo Chake ni Umaskini Uliotopea

    Wengi wanaona Watanzania ni legelege au hawatambui haki zao ndiyo maana hawachukui hatua dhidi ya maamuzi ya wanasiasa. Wanatamani vijana wetu wangekuwa kama vijana wa Gen Z wa Kenya ambao kwa siku mbili wameteketeza mali zenye thamani ya mamilioni kwa hasira za financial bill 2024. Matajiri...
  8. A

    Gen Z hii Finance bill mmechelewa, subirini mwakani

    Hii Finance bill inaenda kuwekwa saini mapema asubuhi. Wakati KDF wakiimarisha ulinzi. Jaribuni mwakani. Asanteni kwa kushiriki
  9. Mjukuu wa kigogo

    Waandamanaji wadaiwa kuchoma ndege iliyokuwa imeegeshwa Uhuru Park

    Asee
  10. W

    Kwanini Mahusiano ya Gen Z hayadumu?

    Kulingana na tafiti mbalimbali duniani, imeonyeshwa kuwa mahusiano ya vijana chini ya umri wa miaka 25 huvunjika sana. Ni kawaida kwa vijana wa kizazi hiki kuanzisha mahusiano kirahisi na watu tofauti. Inadaiwa kuwa hali hii inasababishwa na vipindi vya ukuaji, mtindo wa maisha, na mabadiliko...
  11. i_denyc

    SoC04 Mwenzako akinyolewa, zako tia maji: Sauti ya Kizazi Z ni sauti ya mabadiliko

    Neno "Kizazi Z" hutumika kuelezea kizazi cha vijana waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2010. Sifa kuu ya rika hili la vijana ni matumizi ya teknolojia ya kisasa kwenye maisha yao ya kila siku kama vile simu za mkononi na mitandao ya kijamii. Hivi karibuni nchini...
  12. J

    Rais Ruto: Nitafanya kazi na Gen Z. Tayari nimeongeza Fedha za Mikopo ya Elimu ya Juu na Ajira Mpya, nitawakaribisha Ikulu tuyazungumze

    Rais Dkt. Ruto amesema amefuatilia malalamiko ya Vijana wadogo wa Gen Z na kuyaelewa Ruto amesema amefurahishwa sana na uwezo wa Watoto hao wa kung'amua mambo hivyo yuko tayari kufanya nao kazi Kwa kuanzia tumeongezeza Fedha za kuendesha Skuli Pamoja na Mikopo ya Elimu ya Juu Ili wanafunzi...
  13. Valencia_UPV

    Gen Z watapotezwa kama MRC na Mashehe wa pwani

    Gen Z watapotezwa na deep state kama walivyopotezwa Viongozi wa MRC (Mombasa) na Mashehe Pwani waolikua wanashabikia Ugaidi
  14. A

    Gen Z wanajitekenya wenyewe

    Hawa vijana wamejitekenya wenyewe na kujichekesha wenyewe. Kenya Ina wenyewe (Royal families, 1. Kenyatta, 2. Moi(Ruto) na, 3. Odinga) Wewe unatoka Kibera/Mathare unataka kuharibu system ya upigaji ya hizi familia, Ni mzaha
  15. N

    GEN Z kizazi kilichobarikiwa sana

    1996-2010. Hichi kizazi kimebarikiwa sana,hakisubiri sijui serikali itoe ajira wanazama front wenyewe ni wapambanahi sana Wengi wao wanajitegemea sio kama sisi kizazi cha millennium bado tupo kwa wazazi jitu lina miaka 36 bado lipo kwa mama. Wengi wao wanapiga pesa simple sana sio mpaka watoe...
  16. B

    Gen Z gather here: Tuko wapi mbona hatuonekani? Kenya wametuonesha njia tunaweza washughulikia kigeneration yetu!

    Gen Z tupo? Tumekuwa tukisemwa sana hadi na mabroo kuwa tumelala, tupo nyuma, ninwaoga kama kunguru kukimbiza mabawa, lakini je, hilo ni kweli? Najua tuko wengi humu kwanini sasa kwanini hatushiriki kudai haki zetu? Kizazi chetu ndio kinaongoza kutumia teknolojia vizuri hata millenials...
  17. Ejolisi

    Kitu kinachoshindikana kwenye kizazi cha "Gen Z" ni Ndoa tu

    Kwanza kikazi chetu ni kizuri kinaleta changamoto kwenye jamii na kuonyesha ma "gap" mengi ambayo hayajazibwa vizuri kwenye jamii. Kinapima uwezo na utoshelevu wa malezi yenu (Millennials) Je, yanaweza kutumika katika nyakati tofauti tofauti maisha yakiwa yaendelea kubadilika kila siku. Gen Z...
Back
Top Bottom