hadithi

  1. Hadithi: Kesi ya Mzee Mnyoka

    KESI YA MZEE MNYOKA 01 Mzee Mnyoka alikua na kawaida ya kuchelewa kurudi nyumbani kwake, Mzee Mnyoka hakua mlevi au mchawi lakini tuseme tu hakua na mazoea ya kurudi nyumbani mapema. Siku ya Alhamis Kama ilivyo kawaida yake Mzee Mnyoka alikua akirudi nyumbani kwake majira ya saa 4:45 hivi...
  2. Kutunukiwa Cheti cha kujali Maslahi ya Wasomaji wa hadithi JamiiForums

    Nimeambiwa na watu kadhaa pamoja na watunzi suala hili wakipendekeza kuwa inafaa nipewe cheti maana nmekuwa nikiwapigania hasa. Na waandishi kadhaa wameonekana kunishukuru kwa jinsi ambavyo nawakumbusha kwa upendo na unyenyekevu uso kifani suala la kuzingatia maslahi ya walaji yaani wasomaji...
  3. Hekaya za Abuuwasi na hadithi zingine

    Wengi walisoma hizi hadithi zamani. Ngoja tujikumbushe humu. Pia unaweza kusioma ndani ya maktaba app na vingine zaidi ya 60. Tupm au namba 0715278384 ukitaka kuungwa. HEKAYA ZA ABUNUWASI NA HADITHI ZINGINE Bombay; London: Macmillan,1942. pictuspublishers@gmail.com Pictuss, 2021 YALIYOMO...
  4. Hadithi: Madam President

    Mtunzi ni CK Allan Madam President Juni 1998 Ilikua jioni nzuri kabisa ambapo sehemu mbali mbali za jiji la Tanga Kuna Hali ya baridi na mvua nyepesi zilikua zimeanza, nikiwa na Rafiki yangu Jacob tulikua mwisho kabisa ya mstari kuingia kwenye Basi la shule tayari kwenda Tanga mjini ambapo...
  5. Natamani wanawake wa kiislamu waige mazuri ya Bi Khadija wa kwenye Hadithi za Mtu S.A.W

    Wasalaam JF, 👇👇👇 Hakika ni vema mwezi huu wa mfungo wa ibada naomba ikawe neema na nuru ya ukombozi, wanawake wote wapendwa waislam maustafhati wote wafanye mazuri na wajaaliwe kama Bi Khadija. Na kheri ikawe nanyi wote, binti zetu, dada zetu, mama zetu, shangazi zetu, na Bibi xetu nyote...
  6. Mr handsome, hadithi ya kusisimua

    HANDSOME BOYS...[emoji7] SONGA NAYO........... "Maisha yangu yamekuwa ya mapito mateso na furaha pia, vyote vimekuwa vikichukua nafasi katika maisha yangu na kunifanya niwe imara na kuwa na furaha za kuwa mpambanaji Zaidi katika maisha yangu, ukiwageni umeishi maisha ya vipindi tofauti tofauti...
  7. Godbless Lema na kitabu Nchi ya wasioona(The country of the blind)

    Kulikuwa na hekaya kuwa huko juu milimani kuna bonde ambalo wakazi wake wote ni vipofu. Siku moja mpanda milima mmoja kwa bahati mbaya aliteleza na kuporomokea kwenye bonde refu sana. Bonde lililokuwa limezungukwa na milima iliyosimama wima pande zote. Bahati akakuta kuna watu wanaishi...
  8. Simulizi ya Vita: Mwanzo baada ya Mwisho by M.Kitua

    HABARI WANA JF. SEHEMU YA 1 MWANZO BAADA YA MWISHO .... Watu walikuwa wakifa, wengine wakikimbia, wengine wakijikuta kuna miguu mikubwa kama ile ya vunjachungu(parying mantis) ikitenganisha miili yao na wengine wakihangaika kupambana na wanyama ‘beasts’ wakubwa kuliko wao walio wazidi...
  9. Simulizi ya Vita: SHADOWS OF WATER (Maji Maji)

    CHAPTER 1 South Tanganyika, Early 1899 An early morning, I think it was probably way too early than usual for me since the sun was barely out and shining through the thick tree that surrounded our village made up of probably fewer than fifteen households living in straw houses with...
  10. S

    Hadithi ya mbwa wa ushuani na uswazi V/S Tafakuri ya siasa za Tanzania kwa sasa.

    Siku moja mbwa wa uswazi akiwa kakonda na manyoya yamenyonyoka kwa kukosa matunzo, alianza kukatiza mitaa akitafuta msosi. Mbwa huyo alizunguka sana ghafla akajikuta ushuani. Akamuona mbwa wa ushuani akiwa kanona kweli kweli. Shingo shongo na manyoya yake yana afya nzuri na masafi haswa lkn...
  11. Mtu aliyepanda miti. Umewahi kusoma hadithi hii?

    MTU ALIYEPANDA MITI Hii hadithi imehamasisha mamilioni ya watu duniani kupanda miti na kutunza mazingira. Unafaa sana wakati huu tunaokabili tatizo la uharibifu wa mazingira. Umewahi kuisoma? Ulijifunza nini? Muandishi: Jean Giono 1953. Mtafsiri: Pictus Publishers ltd Email...
  12. Funzo la Hadithi ya Paka na Panya

    Watawala na Watawaliwa:-"Inawezekana tatizo la panya kwa paka lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka watajifunga au watafungana kengele shingoni" - Mwl. J. K. Nyerere
  13. Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

    Jamii forums ina watunzi wengi wa visa vya kubuni na vingine vya kiuhalisia katika maisha yao, Ila huyu mwamba UMUGHAKA ametia fora, sidhan kama kuna member anamzidi Kwa simulizi zake zenye kutisha na kusisimua pia. Thread zake zimekuwa zikifatiliwa Kwa ukarbu Sana na member wengi kuliko...
  14. P

    Kujiegemeza kwa PM wa UK Rishi Sunat ni hadithi ile ile ya matusi tuliyomtukana Obama

    Waafrika tuna ufundi mwingi wa kujihusianisha na watu maarufu wenye madaraka makubwa huko Ulaya na US. Mtu hata anayeonekana kama ni mchovu tu akianza kuongea atataka awatishe wanaomsikiliza kwa kuchomekea mbwembwe za hapa na pale ili mradi tu aonekane ni wa maana kwa wanaomsikiliza. Ni suala...
  15. Father and Daughter( Hadithi ya Kiswahili)

    Mwandishi wa kitabu: Peter Charlz Mchoraji: Peter Charlz Instagram / Twitter / Facebook: petercharlz255 Email: petercharlz255@gmail.com Shukrani za dhati kwa kila alieshiriki kuandaa kitabu hiki. Mhakiki : Augustino Peter Instagram : babadenze BOBOtheBEST Studios Instagram: bobothebeststudios &...
  16. Hadithi Ya Jinsi Mungu Anavyosaidia

    Hiki ni kisa cha mchungaji ambaye yeye alikuwa akimwamini Mungu kiasi kwamba alishindwa kutambua njia anazotumia Mungu kusaidia mtu anapokuwa kwenye tatizo. Mchungaji huyu alikuwa anaamini kwamba Mungu atakuja kumwokoa kimiujiza, mbali na kwamba Mungu alitumia watu mbalimbali kama daraja la...
  17. Hadithi ya kaundime?

    Yaani kuna mambo kwenye hii nchi yanasikitisha sana. Baada ya kuzungumza na mhudumu wa huduma kwa wateja wa halotel, anadai nilijiunga na huduma inayoitwa hadithi ya kaundime. Hadithi ambayo sikuwahi kuisikiliza hata siku moja achilia mbali huko kujiunga bila kujua. Kusema ukweli haya mambo...
  18. SoC02 Hadithi ya mvuvi na samaki asiyevulika

    Katika pitapita zangu na harakati za kutafuta maisha nilijikuta katika Kijiji cha Tupo nyuma, Mji wa Tumechoka, Nchi ya Ahadi nyingi yenye ziwa kubwa sana liitwalo 'Ziwa jeupe'. Ziwa hili ni ziwa lenye samaki wengi sana wadogo kwa wakubwa, Lakini kuna samaki mmoja mkubwa sana ambaye...
  19. Pascal Mayala from Cape to Mumbai, hadithi iliyojificha yasimuliwa

    Pascal Mayala(CCM) alipopata uwakili nilimuuliza kama atakuwa wakili wa wanaccm tu na mwanachadema ambaye siku zote ana hasira naye ataweza kumtetea? Swali langu lilitokana na dunia kuwa duara, tenda ulitendalo lakini kuna siku utakwama na kuwarudia unaowachukia. Pasikali asiyewapenda...
  20. Siku ya Mtoto wa Afrika: Huwa unamsomea mwanao hadithi?

    Wazazi wa zamani walikuwa wanatuhadithia sana hadithi. Hasa walizosoma. Bahati mbaya mabadiliko ya maisha, wameachia kazi hiyo TV na Cartoon. Utamaduni wa kusomea watoto hadithi bado unafaa leo? Vipi, huwa unamsomea mwanao hadithi?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…