Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Mada kuu ni hali ya baadhi ya vyombo vya usafirishaji vinavyohatarisha usalama wa abiria.
Picha chini ni sehemu ya seat ya abiria kwenye daladala ambapo mabati yamekatika na yameachwa kiasi kwamba ni hatari kwa abiria si tu endapo itatokea ajali bali hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.