halima mdee

Halima James Mdee (born 18 March 1978) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Kawe constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Upendo Peneza: Usitegemee kamati ya LAAC kutenda Haki kwenye Ripoti ya CAG kwa sababu Halima Mdee yuko bungeni Kimchongo!

    Aliyekuwa mbunge wa viti Maalum Upendo Peneza amesema katika kushughulikia ripoti ya CAG hana Imani na Mwenyekiti wa LAAC na yule wa PAC kwa sababu wako bungeni kinyume cha Katiba. Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo. Source: Star tv The Big Agenda.
  2. Sir robby

    CHADEMA warudisheni kundini Halima Mdee na wenzake 18 ili maadui zenu waaibike

    Ni wakati sahihi sasa kwa viongozi wa CHADEMA kukaa pamoja na kina halima mdee na wenzake 18 kumaliza tofauti zenu na kuwarudisha kundini ili mjenge mshikamano tayari kwa mapambano ya kukiimarisha chama. Kama CCM iliweza kuwasamehe kina Lowassa, Sumaye, Makamba, Kinana, Membe, Sofia Simba -...
  3. J

    Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamechangia Tsh 9 million harambee ya ujenzi wa Kanisa

    Wabunge maarufu wa viti Maalum Halima Mdee na Esther Bulaya kwa pamoja wamechangia Tsh 9 million kwa ajili ya Ujenzi wa Kanisa Mungu wa mbinguni awabariki Chanzo: Clouds Media
  4. Q

    Halima Mdee badala ya kujibu hoja ya Mnyika kuhusu Wenyeviti wa PAC na LAAC, yeye amtusi Mnyika na CHADEMA

    “Ni MUHIMU sana KUJIANDAAA kabla ya kufanya CHAMBUZI za CAG. Ukiwa haujajipanga vyema, unaweza jikuta unaongea UPUUZI. Na Mwenye DHAMANA akiongea UJINGA , anaidhalilisha TAASISI aliyopewa DHAMANA kuiongoza. Ushauri wa BURE,CAG ameongea mambo makubwa na mazito. Do your HOMEWORK”. Halima Mdee.
  5. Erythrocyte

    Kesi ya Halima Mdee na Wenzake 18 leo Machi 9, Dkt. Azavel Lwaitama kuhojiwa Mahakamani

    Ile kesi iliyofunguliwa na Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA, wakiongozwa na Halima Mdee, inaendelea leo Mahakamani. Wajumbe wa bodi ya Wadhamini ya Chadema, Dkt. Azavel Lwaitama na Ruth Mollel watahojiwa. Tuendelee kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa zaidi.
  6. Petro E. Mselewa

    Kwa CHADEMA kuanza kupokea ruzuku, akina Halima Mdee wanasameheka

    Nawasalimu waungwana wote wa JF, Nimesoma mahali kuwa CHADEMA wameanza kupokea ruzuku za kila mwezi zinazotokana na uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Ulikuwa ni msimamo wa CHADEMA kuwa uchaguzi mkuu wa 2020 haukuwa halali na ulikuwa uchafuzi na si uchaguzi. Kutokana na kutokuwa halali, ulikuwa ni...
  7. Q

    Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

    Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi. Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’...
  8. J

    CHADEMA wakaombe msaada wa kisheria kwa Makamu wa Rais Masoud kuhusu suala la akina Halima Mdee, ana uzoefu mkubwa

    Hakuna ubishi tena kuwa Kikosi Kazi cha Profesa Mkandala na Zitto Kabwe ndio kimepelekea Mbowe kutolewa Jela na Mikutano ya hadhara kuruhusiwa Wote tulimsikia Zitto Kabwe akimuombea msamaha Mbowe kwa Rais Samia Kwenye kikao cha Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla mbele ya Viongozi wakuu wote wa...
  9. USSR

    Pongezi za Halima Mdee, Zitto na ACT Wazalendo, namuona Mdee aliibukia ACT 2025

    Bado wanauswahiba na zito na bado Halima Mdee ananguvu kisiasa hasa kwa upande wa kina mama hapa nchini hususani Kawe. Yeye na kundi lake wakiibukia wazalendo na wakamomaa wanaweza kuwa chama chenye nguvu zaidi hapa Tanzania maana huyu atahama na Bulaya,matiko na wengine wengi, CHADEMA wanalo...
  10. Nigrastratatract nerve

    Sabaya atatolewa gerezani, akina Halima Mdee wataondolewa ubunge na kuanzisha chama kipya ama kuelekea ACT Wazalendo

    CCM ni chama chenye mbinu 100 za kuendelea kubaki madarakani wapo wanachora Michoro na ramani ya uhakika ya kuhakikisha kuwa wanaendelea kubaki madarakani plan A wamekamilisha ni plan ya kuwarubuni Chadema. Chadema wanechanganyikiwa hawajui mwenyekiti wao ameuza chama kwa shilingi ngapi lkn...
  11. Erythrocyte

    Je, Wabunge Wasaliti 19 watang'olewa Bungeni?

    Kuna Dokezo kwamba Wabunge wale 19 Wasaliti, waliojiuza na kuapishwa na Job Ndugai kwenye eneo la Gereji ya Bunge, huenda Wakaondolewa Bungeni kwa vile waliingizwa kinyume cha Sheria, inadaiwa kwamba hawana tofauti na lile zuio la mikutano ya hadhara lililoondolewa hivi karibuni . Taarifa zaidi...
  12. BARD AI

    Kibatala amhoji Nusrat Shabani Hanje kesi ya Wabunge 19 wa CHADEMA

    Kesi Halima Mdee vs CHADEMA imeendelea leo November 4,2022 hapa mahakama kuu jijini Dar es Salaam Mbele ya Jaji Cyprian Mkeha. Jaji anaingia Mahakamani muda huu saa 10:10 Asubuhi hii! Watu wote hapa Mahakamani tunasimama....!! Karani wa mahakama: Kesi namba 36/2022 Halima James Mdee na...
  13. Erythrocyte

    Yaliyojiri kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, Peter Kibatala anamkaanga Hawa Subira Mwaifunga

    Katika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo. Miongoni mwa wanachama...
  14. The Sheriff

    Mdee na Wenzake wawasili mahakamani kwa ajili ya usikilizwaji wa shauri lao

    Wabunge wa viti maalum akiwemo Halima Mdee na wenzake leo Ijumaa wamefika katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuhudhuria kesi waliyoifungua mahakamani hapo ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Mdee na wenzake wamevuliwa uanachama wa...
  15. R

    Tundu Lissu atolea ufafanuzi wa kesi ya Halima Mdee na wenzake

    Take home msg ni hii: 1. Job Ndugai asilaumiwe 2. Tulia Ackson asilaumiwe 3. Alaumiwe anayewalipa mshahara, ambaye ni Rais. Msikilize, jibu hoja zake kwa hoja, achana na character assassination arguments or what is called Ad Hominem arguments
  16. The Palm Beach

    Shauri Na. 36/2022 la Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA, Spika wa Bunge la JMT & NEC. Ni nini madai yao?

    ✓ Dai lao kuu ni kuiomba mahakama ipitie mchakato wote wa CHADEMA kuanzia ndani ya KK na kisha BK wa kuwafuta/kuwafukuza uanachama ili mahakama ijiridhishe iwapo CHADEMA walifuata taratibu na sheria (katiba yao) ama laa... ✓ Wanasema, mahakama ikiona hawakutendewa haki (utaratibu haukufuatwa)...
  17. Lady Whistledown

    Hatimaye Halima Mdee na Wenzake wafungua kesi ya Kupinga kuvuliwa uanachama Mahakama Kuu

    Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho. Mdee na wenzake wamefungua shauri hilo siku 13 baada ya kupata kibali cha mahakama hiyo. Mahakama hiyo imewaruhusu...
  18. JanguKamaJangu

    Mahakama Kuu yaahirisha kutoa hukumu ya kina Halima Mdee leo Julai 6, 2022

    Mahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa uamuzi kuhusu maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 ya kufungua kesi dhidi ya CHADEMA, leo Julai 6, 2022. Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume ya Uchaguzi kupinga kufukuzwa uanachama, hadi Ijumaa Julai 8, 2022. Msajili amesema uamuzi...
  19. JanguKamaJangu

    Mahakama kutoa hatma ya maombi ya kina Halima Mdee Julai 6, 2022

    Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, Masijala Kuu inatarajia kutoa uamuzi wa maombi ya Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Halima Mdee na wenzake 18 mnamo Julai 6, 2022. Wabunge hao wameomba kibali cha Mahakama ili kuwasilisha mapitio ya kimahakama wakipinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho...
  20. Mystery

    Je, DPP atalazimika kuiondoa Kesi ya akina Halima Mdee kama alivyofanya kwenye Kesi ya ugaidi ya Mbowe?

    Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya...
Back
Top Bottom