Atateuliwa na Chama chake,na atachaguliwa na wananchi. Kwa hiyo,kama political analysis,we can safely say Samia Suluhu atakuwa rais mpaka 2030.
Kwa sababu huyu ni rais amefanya vizuri,better than expected.
Hana upinzani katika Chama. Na katika kipindi hiki kifupi kilichobaki kabla ya...