happy birthday

  1. Erythrocyte

    Happy born day Mwamba Mbowe

    Leo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako. Mungu akupe maisha marefu
  2. Chakorii

    Happy birthday to me

    Ni jambo la kumshukuru Mungu sana kwa nafasi hii ya upendeleo..Sifa,Shukrani na Utukufu ninakupa wewe uketie mahali Patakatifu..Amen Happy birthday 🎈🎊🎉🎁🎂 to me kwa mara nyingine tena. Happy birthday y’all team Gemini 🥂🥂🧚‍♀️🧚‍♀️ Chakorii
  3. Mahondaw

    Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

    Hello guys Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya Mungu awabariki wapendwa. Pia, nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na...
  4. ladyfurahia

    Happy birthday Chachu Ombara

    Hello bestito Chachu Ombara hongera kwa kumbukizi ya kuzaliwa kwako leo. Nimekumiso sana nakutakia heri na fanaka kwenye kufurahia siku hii muhimu kwako kwani ni ya kipekee inakuongezea miaka kadhaaa. Hebu wadau mtakieni heri na fanaka ya kumbukizi ya kuzaliwa kwake. Enjoy your day best
  5. Erythrocyte

    Happy Birthday Joseph Mbilinyi Mbunge uliyeiletea heshima kubwa Mbeya , Mungu akupe Maisha Marefu

    Miaka ya zamani kidogo wanamuziki wa Hip Hop walionekana wahuni ambao zaidi ya kuimba na kuvuta bangi , hawakuonekana kama wanaweza kuongoza hata familia . Lakini wewe Sugu , Jongwe ambaye pia unaitwa RAIS WA MBEYA , ulifutilia mbali mawazo hayo ya kizamani na kuonyesha mfano uliotukuka kwa...
  6. britanicca

    Happy birthday World Football Entertainer of all The Time Ronaldinho Gaucho,

    Happy birthday World Football Entertainer of all The Time Ronaldinho Gaucho,
  7. OKW BOBAN SUNZU

    Happy Birthday CEO mzuri Barbara Gonzalenz

    Heri ya kuzaliwa mtalaam wetu Barbara
  8. Masiya

    Happy Birthday Commandant du Bord Josky Kiambukuta

    On this valentine day I wish a happy birthday to the voice of TP OK Jazz (1973-1993). Josky went through Dr Nico's African Fiesta Sukisa and Orchestre Continental from where he joined TP OK JAZZ . His voice is to be herd on most of the bands songs from Kebana to Bilonda. He then formed...
  9. J

    Happy Birthday CCM!

    Ni miaka 44 ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania. Hongereni kwa uvumilivu wa kuruhusu uwepo wa vyama vya upinzani japokuwa ni 20% tu ya wananchi ndio walivihitaji. Hongereni kwa kutuletea elimu bila malipo Hongereni kwa miundombinu iliyotukuka Maendeleo hayana vyama!
  10. Mkogoti

    Happy birthday Mwaka Mpya: Nimemwagiwa maji kitandani

    Sina zaidi ya salaam maana naona ata uvivu kuandika, nasema haiwezekani Leo nipo nimelala zangu kitandani mara naskia Mwaaaaa nakurupuka ni nini nakutana na kitu maji yamejaa kitandani sio godolo sio shuka vyote chapa chap, nauliza kulikoni eti siku yangu ya kuzaliwa, Tena angalau wangechukua...
  11. F

    Wimbo wa " Happy Birthday utafasiliwe"

    Wimbo wa kiingeleza wa kutakiana kheri ya siku ya kuzaliwa hivi umeshindikana kuutafasiri? Mbona tunazidi kuwatukuza hawa mabeberu....siamini kama lugha yetu pendwa bado I maskini wa maneno... Tutukuze utamaduni wetu watanganyika.!!
  12. Its Pancho

    Happy birthday to me panchito

    Namshukuru sana MUNGU aliye juu kwa kunipa uzima na mpaka sasa hivi ninaandika. Bila yeye hakika nisingeweza ,naomba anitimizie zaidi ya yale niliyomuomba japo apangalo huwezi pinga. Nami nakukaribisha 2021 kwa hasira zaidi kwani nina malengo na maisha yangu ..mke wangu na watoto wangu wawili...
  13. jingalao

    Happy birthday Dkt. Magufuli-Pongezi kwako!

    Leo ni siku ya kuzaliwa ya ndugu John Pombe Magufuli. #Ni tarehe 29 oktoba ya NEEMA Tele.
  14. Chakorii

    Happy birthday to Me. Happy birthday to all team June

    Habari ya asubuhi JF Family. Mnaendeleaje leo ninafuraha sana jmn kha!sio kwamba nimeongeza mwaka mpya tu..hapana ni kwa sababu nimeongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema na uzima pia.🙏Mungu kwa hii nafasi ya pekee sana kwangu. Ndani ya uzima na afya, utaweza kwenda popote,kufanya...
  15. ladyfurahia

    Happy birthday Chachu Ombara

    Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga so nilikumiss sana acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako wadau na wapenzi na marafiki za Chachu Ombara mtakieni heri Mr Wangu Chachu yaani atashangaa kuona mtoko wake kamkaukia hahahaaaaa...
  16. Display Name

    Happy Birthday to our Tanzanian hero Maxence Melo

    Leo tarehe 9 May ni siku kubwa ya kuzaliwa mtu anayewezesha uwepo wetu humu. Maxence Melo Tunapata nafasi ya kufanya yote kwa kuwa amesimama na kutupatia uhuru wa kutoa yetu ya moyoni. Tunakuombea Mwenyezi Mungu aendelee kukupigania na uzidi kutupigania sisi na Uhuru wetu wa kujieleza...
  17. Zitto

    Miaka 6 ya Utetezi wa Wananchi: Happy Birthday ACT Wazalendo 5-5-2020

    Miaka 6 ya majaribu mengi katika maisha yetu ya kila siku, Watanzania. ACT Wazalendo tumekuwa upande wa Wananchi muda wote, wakati wote bila kujali ‘Consequences’. Tumekuwa na Wazanzibari walipoporwa haki yao ya kuchagua Kiongozi wanayemtaka! Tumekuwa na Wakulima wa Mbaazi, Korosho, Pamba...
  18. F

    Happy Birthday Pascal Mayalla

    Tarehe kama hii yani 08/04/1968 alizaliwa mwanasheria, mwanahabari na mchamuzi nguli Pasco Mayala. Happy birthday to you Pasco Mayala. Mola akupe maisha marefu yene HERI na BARAKA.
  19. Erythrocyte

    I wish you Hon Halima Mdee A very Happy Birthday indeed

    Pamoja na ugeni wa Corona nchini Tanzania, lakini hatutaweza kuacha kuwakumbuka na kuwatakia heri ya maisha yao Mashujaa wachache wa Taifa hili, Akiwemo Mh Halima Mdee, ambaye uwepo wake nchini Tanzania ni Makusudi maalum ya Mwenyezi Mungu. Kwa sababu ya uthubutu wake wa kuwatetea wengine na...
  20. J

    Happy Birthday CCM, Tunawashukuru kwa mema yote mliyolitendea taifa ikiwemo kuukubali mfumo wa vyama vingi!

    Namtakia kila la kheri mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli Nawatakia kila la kheri makamu mwenyekiti mzee Mangula, Katibu mkuu Dr Bashiru na sekretarieti yote Namtakia kila la kheri kada mkongwe na asiyechoka Mzee Mgaya Nawatakia kila la kheri wanaccm wote Mwisho lakini siyo kwa umuhimu nawatakia...
Back
Top Bottom