harakati

The National Revival Movement Party (Azerbaijani: Milli Dirçəliş Hərəkatı Partiyası) is a political party in Azerbaijan. The party's leader is Faraj Guliyev, who is well-known politician. At the 2010 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats. In the 2015 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats.

View More On Wikipedia.org
  1. Swahili AI

    Dome Okochi Budohi na harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika

    Kulikuwepo na wazalendo kutoka nchi jirani ya Kenya kama vile Dome Okochi Budohi na Patrick Aoko ambao walikuwa wanajua vyema siasa za walowezi za kupora ardhi za wananchi. Kutoka kwa wazalendo kama hawa, Abdulwahid alipata usikivu wa mawazo yake ya kuigeuza TAA kuwa chama cha siasa chenye...
  2. Mohamed Said

    Dome Okochi Budohi: Mkenya katika Harakati za TAA na TANU 1950s

    DOME OKOCHI BUDOHI MZALENDO KUTOKA KENYA ALIYEPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Naamini umeona hiyo video ya ufunguzi wa kumbi 12 zinazohifadhi historia ya Wakenya katika kupigania uhuru wa nchi yao. Video hii imenitia hamu ya kumweleza Dome Okochi Budohi. Sijui kama katika kumbi hizo kuna historia...
  3. sky soldier

    Mtoto mdogo aliepotea Mbeya tangu 2020 anaedhaniwa aliibwa imebainika yupo Songwe kupitia group la Facebook, wazazi wapo kwenye harakati kumrudisha

    Ilikuwa ni tarehe 21-11-2020 siku ya Jumamos ambapo mtoto Nassir Jumanne mande mwangopola alipotea Chunya mjini, moja ya wilaya ya Mbeya. Wazazi wa mtoto, baba yake Jumanne Mwangopola na mama yake Shamimu Shabani walifanya jitihada kubwa kumtafuta lakini jitihada hazikuzaa matunda. Leo hii...
  4. hearly

    Urusi imeanza harakati za kulinyanyua Bara la Afrika

    Katika harakati za kuhakikisha Russia inarejesha nguvu za ushawishi Africa na kujenga mahusiano imara baina ya Taifa Hilo na nchi zilizopo Africa, Russia imeanza taratibu za kujenga vinu vya nyukilia nchini Misri. Hii ni habari njema sana Kwa mataifa ya Africa na litazidi kupanua wigo Moana wa...
  5. N

    Harakati za kanjanja la clouds utopoloni

    Aiseee huyu kijana kama hawajampa kitengo wampe tu hapo utopoloni kwa kweli, kajivika mabomu haswa na kaingia vitani kwelikweli Hiyo harusi nitashangaa kama hawatachangia atleast millions 50 he deserves it...hapo ukimuuliza kwamba ilikuwaje senzo akaweka booking ya kambi uturuki last month...
  6. Kamanda Asiyechoka

    ACT Wazalendo hawana wanachama wengi Tanzania Bara, nani anawafadhili? Mbona harakati nyingi? Wanatoa wapi fund?

    Kiukweli huku Bara hawana vichwa kabisa na hata huko Tanzania Visiwani wanatembelea nyota ya maalim Seif (RIP). Nani anawapa nguvu ya kufurukuta hawa ACT Wazalendo?
  7. Idugunde

    Vijana wa CHADEMA mbona hamsomeki? Kulamba asali mnataka na harakati mnataka, mtapasuka msamba

    Naona mnapenda sana huku na huku. Boss wenu ameshalamba asali na ninyi mmeshalamba kwa ujumla maana yeye ndo Alfa na Omega. Sasa hizi harakati mnazotaka kufanya za nini? Au ndio mmezoea maharakati? 👇Chadema: Tutasimama na watu wa Ngorongoro Chadema: Tutasimama na watu wa Ngorongoro
  8. Mohamed Said

    Makachero wa Special Branch ndani ya harakati za uhuru wa Tanganyika

    Katika maziko ya Mzee Kitwana Kondo niliombwa nizungumze. Sikiliza video hii kuna historia muhimu sana kueleza kuundwa kwa TANU. Nilizungumza kuhusu kikao cha watu watatu nyumbani kwa Hamza Mwapachu, wengine wakiwa Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe agenda ikiwa namna ya kumuingiza Julius...
  9. Idugunde

    Mdude Chadema amtembelea Mbatia. Ampatia kitabu chake Miaka mitano ya mateso katika harakati. Ampomgeza kupangua mapinduzi

    Huyu Mdude yupo kiharakati kila mara. Mbatia nae anasema Aluta continua. Hapa ni harakati tupu
  10. Maria Nyedetse

    Tunaobeza harakati za Mbowe na wenzake

    Natumai hatujambo sote wanajamvi!! Kwa wale ambao Mola Mlezi amewakadiria mitihani ya maradhi, kuondokewa na vipenzi vyao au kupungukiwa na mali BASI tunamwomba Mola Mlezi awape faraja baada ya mitihani wanayopitia!! Aidha, tunamwomba Mola Mlezi awape subira na stahimili Kwani MITIHANI ina...
  11. let the caged bird sings

    Harakati za Ajira

    Ni kwa muda uliwai zunguka kutafuta b Ajira bila mafanikio?. Rafiki yangu alitembelea limu zaidi ya miaka 4 hadi akachoka. Taratibu akili imemkaa kakubali yaishe na kaoa hivi juzi. Nope:, picha si ya jamaa yangu.
  12. L

    Msemo wa jadi wa kichina: “Mtu hapaswi kubadili ahadi yake au kuacha harakati zake hata kama anakabiliwa na hatari”

    Mkutano wa mwaka wa Baraza la Asia la Boao ulifanyika kuanzia Jumatano hadi Ijumaa wiki hii huko Boao, mkoani Hainan, kusini mwa China. Kauli mbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “COVID-19 na dunia: kuhimiza kwa pamoja maendeleo ya dunia na kujenga mustakbali wa pamoja”. Kuna msemo mmoja wa Kichina...
  13. Bishop Hiluka

    Simulizi: Harakati za Jason Sizya

    (Kutoka kwa mwandishi wa stori za kusisimua zilizowahi kuchapishwa hapa JF za Taxi; Kizungumkuti!; Laiti Ningejua!; Hekaheka!; Hadi Lini! na nyinginezo) Na Bishop Hiluka 0685 666964 | bjhiluka@yahoo.com Kijasho Jepesi Saa 12:15 asubuhi… Wala sikujua kitu gani kilikuwa kimeukatisha ghafla...
  14. Idugunde

    Harakati na kelele za mitandaoni haziwasaidii CHADEMA, zinawaingiza mkenge kila siku ila hawajifunzi

    Naona mnajidanganya kuwa kelele zenu mitandaoni zinawasidia kusikika na kuonekana mnazo hoja kiasi cha kuanza kujipiga kifua. Ninyi bado hamjapata sapoti kupitia mitandao mnajidanganya kama watoto wadogo. Uhalisia wa mnachodhania kuwa mnasapoti kubwa kutoka kwa wananchi kupitia mitandao ni...
  15. Idugunde

    CHADEMA wamezoea harakati zisizo na mashiko ndio aina ya siasa walizozoea

    Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma. Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta...
  16. kavulata

    Vitendo hivi vya Viongozi wetu wakuu vinaibua harakati za kikabila Tanzania

    Kama kuna barabara, daraja, kiwanja cha mpira, benki, uwanja wa ndege, kiwanda, shule, chuo, umeme, maji, au kikosi cha jeshi havikujengwa kwenye kijiji, kata, wilaya, mkoa au kanda kabla ya mtu wa kutoka kabila lao, kijiji chao, kata yao, wilaya yao, mkoa wao au kanda yao hajakuwa kiongozi...
  17. Mohamed Said

    Soko la Kariakoo na harakati za TANU

    SOKO LA KARIAKOO NA HARAKATI ZA TANU Hii makala nimemwandikia ndugu yangu Kheri Chomba mwenyeji wa Kariakoo kumfariji kuwa asihuzunike pale inapotokea watu wakatucheza shere kwa kujifanya kuwa wao wanaujua mji kutushinda sisi wenyewe. "Kheri siku moja katika miaka ya 1970s soko jipya...
  18. Suley2019

    Picha za Satelite zaonesha harakati za kijeshi nchini Urusi

    Picha za hivi karibuni zilizotolewa na kampuni ya ujasusi ya teknolojia ya anga ya Marekani Maxar zinaonyesha kwamba shuguli za kijeshi za jeshi la urusi zimeendelea kuwepo karibu na mipaka yake na Ukraine, licha ya madai ya hivi karibuni ya Urusi ya kuondoa vikosi vyake kwenye mipaka hiyo...
  19. Babe la mji

    Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

    Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua. Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi...
  20. sajo

    Uspika wa Bunge 2022: Sababu za Kisheria na Kikatiba Dkt. Tulia kukosa sifa za kugombea

    Mjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo Dk. Tulia ana sifa au la za kugombea nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka...
Back
Top Bottom