Hazina is an administrative ward in the Dodoma Urban district of the Dodoma Region of Tanzania. According to the 2002 and 2012 census., the ward has a total population of 7,25.
Baraza la sanaa Tanzania niwaombe mzitazame kwa jicho la.umakini ktk muktadha wa maadili ya taifa letu, izi tamthilia za bongo ambazo zina rushwa ktk Pay tv hasa hasa za Dstv,
Zile.tamthilia naona zipo nje ya maadili yetu,. Izi story message zao ni MAPENZI MAPENZ .
Mavazi yao hasa ya...
Je, chanjo zina viambato hatari na sumu?
Hapana. Ingawa viambata vilivyo kwenye lebo za chanjo vinaweza kutisha, (k.m. zebaki, alumini, na formaldehyde) kwa kawaida hupatikana katika mwili, chakula tunachokula na mazingira yanayotuzunguka - kwa mfano, katika tuna. Kiasi katika chanjo ni kidogo...
Ndugu Laurence Mafuru Ambae amewahi kua mkurugenzi Mkuu wa NBC Bank na Msajili wa Hazina ameteuliwa kua kamishna wa Sera wizara ya fedha.
Hakuna mahala uteuzi huo umetangazwa ila nimebahatika kuona tangazo kutoka kwenye taasisi yake ya Bankable Institute kwamba amejiuzuru majukumu ya mshirika...
Niende moja Kwa moja kwenye hoja.
Mh. Rais wa JMT Madame SSH amakuwa akitoa maelekezo Kwa wizara na idara za serikali ya jinsi ya kutatua kero zinazowakabili wafanyakazi wa Serikali.
Moja ambalo alishalielekeza na kuliidhinishia fedha za malipo ni like kundi la wafanyakazi waliopanda madaraja...
Ali Mayai na wenzanke wanavaa suti zimewabana na zinaonyesha kushonwa na mafundi ambao hawana viwango kabisa.
Azam Tv wanapata pesa nyingi kupitia matangazo ya soka. Kwa nini wasiwanunukie wachambuzi suti za ukweli?
Watoto wanazaliwa na mikia.
Watoto wanazaliwa na manyoya.
Watoto wanazaliwa na jicho moja.
Watoto wanazaliwa na miguu minne na mikono mitatu.
😭😭
HAPA.
Naamini itakuwa ni huko tu,
sio huku kwetu.
Sisi tumeshachunguza ni salama🤔
Kesho nasafiri kwenda Nyanda za Juu Kusini na kisha nitakwenda Kigoma, mojawapo ya vitu vya muhimu siwezi kuacha ni hivi hapa chini.
Mwanaume hakikisha hukosi hivi vitu kwenye hazina yako uendapo popote.
NB: KY ni kwaajili ya kulainisha kuhakikisha hakuna mchubuko na sina matumizi nayo zaidi...
Kuna waendesha pikipiki wengi ikifika jioni/usiku huendesha pikipiki wakati wamesha taa kali sana. Wengine hubadilisha taa halisi na kuweka mwanga mkali sana kwa watumiaji wengine wa barabara
Huwa najiuliza:
Hivi hizi pikipiki hazina sehemu ya kupunguza mwanga wa taa?
Kimsingi ni hatari sana...
Chanjo za Covid-19 zimethibitika kutokuwa na madhara yoyote kwa mama wakati wa ujauzito wake hata baada ya kujifungua.
Tafiti za hivi karibuni zimebaini kuwa hakuna madhara yoyote ya kupata chanjo kwa Mama anayenyonyesha pamoja na mtoto wake.
Aidha, utafiti umeweka bayana kuwa maziwa ya mama...
Habari za usiku.
Huu wimbo wa Vitalis Maembe umenichekesha baadae ukanifikirisha sana.
Kaisari tumempa chake na vyetu anachukua...
Huyu kijana ni hazina sana, mashairi yake yanafikirisha zaidi yanabiridisha
Hii ni mada nimetaka kuileta kwa muda mrefu sana ila naona kama ni muda muafaka kufanya hivyo. Kwa muda mrefu kumekuwa na dhana kuwa mtu ukihojiwa na BBC au DW Idhaa za Kiswahili basi dunia nzima imekusikia. Naomba leo nitoe mwanga kidogo kuhusu suala hili.
Kuna vituo mbalimbali vya kimataifa...
Dar es Salaam. Wanasayansi wameondoa shaka kuwa kuchanja chanjo zaidi ya moja ni kujiletea madhara. Wamesema mtu mmoja akipata chanjo tofauti za kinga dhidi ya ugonjwa wa Uviko-19, haiwezi kumletea madhara, badala yake huongeza ufanisi wa kinga za mwili na kushambulia virusi vya corona...
Habari wakuu,
Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba...
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.
Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.
Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni...
Shigongo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na kulipa tozo ya miamala ya simu tuweze kuinua uchumi ambao umeporomoka, amewataka wananchi kuvumilia machungu kwa miezi kuanzia kumi na nane au zaidi.
Kauli hii inakuja wakati ambao ripoti ya timu ya wataalam iliyoundwa kuchunguza fedha zilizotumika...
Rais Samia mtazame Masoud Kipanya, unaonekana una jambo linakusumbua na huna namna matokeo yake unapokea kila ushauri wa wasaidizi wako.
Matokeo yake mnatoa Slogan nyingi na ahadi zisizotimilika. Hili litakurudi sababu itabidi uongope kila mara.
Kuna kosa kubwa umefanya na unaendelea kufanya...
Wakuu nimefanya jaribio la kulima tangawizi hapa shambani kwangu,Vzimeota na kustawi vizuri shida ni kwamba hazina uchachu sababu nini nimelima Kibiti pwani japokua wazee wa zamani wanasema walishawahi kulima zao hilo hapo zamani na lilistawi vizuri na kuwa na uchachu kama tangawizizilivyo. Hizo...
Ndivyo ilivyo kila mwaka. Mwaka wa Fedha unapoanza Hazina huanza kutoa mifedha hiyo Agosti mwishoni - yaani miezi miwili mbele baada ya Bajeti kupitishwa.
Madhara yake sasa inapofika mwezi wa mwisho wa Mwaka unakuta Ofisi inahitajika kufanya Zaidi ya 60% ya kazi za Mwaka wa Fedha.
Mwisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.