hisia

Ghizela (Hungarian: Gizellafalva) is a commune in Timiș County, Romania. It is composed of four villages: Ghizela, Hisiaș (Hosszúág), Paniova (Panyó) and Șanovița (Sziklás).

View More On Wikipedia.org
  1. Infinite_Kiumeni

    Tabia Zinazomfanya Mwanamke Awe Na Hisia Nawe Zaidi, Akupende Na Mdumu

    Jana tuliona tabia zinazomfanya asiwe na hisia nawe. Leo tuangalie tabia zenye matokeo mazuri. Ukifanya haya ni rahisi kudumisha upendo katika mahusiano. Kuna maana nyingi za upendo kwenye mahusiano. Lakini maana kubwa ni pale mnapofurahi pamoja (mkiwa pamoja sio kwenye simu) na mkafanya...
  2. Infinite_Kiumeni

    Tabia Hizi Zinamfanya Mwanamke Asiwe Na Hisia Na Wewe, Na Akukatae

    Tabia hizi hazina matokeo mazuri, yale unayotarajia upate. Utahisi ukifanya hivyo itakusaidia kumpata mwanamke. Lakini zina matokeo ya tofauti. Zinamfanya asikupende zaidi. Kwa upande wako utaona kuwa mwanamke hana mpango nawe. Au kila ukianzisha mazungumzo ya mapenzi ye anakwepa. Au utaona...
  3. Bounty hunter

    My confession

    There's this girl, she's not my girlfriend but she holds a special place in my heart. It's both thrilling and terrifying to admit that she has captured my thoughts and emotions in a way no one else has before. Her radiant smile illuminated every room she entered, and her laughter was like music...
  4. Analogia Malenga

    WATOTO WASIOZALIWA: Ujumbe wa Mawazo na Hisia

    WATOTO WASIOZALIWA 1. LETTER TO MY UNBORN CHILD - 2 PAC Pac anamwandikia barua mtoto wake ambaye bado yupo tumboni mwa mama yake na KUMWAMBIA UKWELI kuhusu dunia hii. Mistari ambayo inanigusa zaidi humu ni hii ifuatayo; "MY ONLY FRIEND IS MY MISERY." 00:48 (Rafiki yangu wa pekee ni mabalaa...
  5. Unai Emery

    Kikao cha takwimu sio hisia

    KIKAO CHA TAKWIMU NA SIO HISIA, UKISHINDWA IN SHAA ALLAH. CLATOUS CHAMA ni Mchezaji wa mechi ndogo mmesema sio?? Tukiomba takwimu za CAF kwenye klabu bingwa msimu huu namwona ana mabao manne kwenye orodha ya wafungaji akiwa nafasi ya pili nyuma ya Washambuliaji kama Peter Shalulile wa...
  6. R

    Hisia na tumbo vinapoitawala akili ni hatari sana kwa Taifa

    Habari wana JF Binafsi sina shaka na Uwezo wa Rais Samia katika kuongoza taifa. Tatizo liko wananchi na viongozi wa chini ambao ni washauri. 1. WANANCHI hawa hisia imetawala akili hivyo kuna baadhi hawataki kabisa kuona au kusikia mama Samia anafanikiwa na wengine wanapenda tu kusikia mabaya...
  7. Infinite_Kiumeni

    Tambua Kuwa Mwanamke Anapenda Umpe Hisia Tofauti Tofauti.

    Mfanye ajisikie furaha, au asielewe nini atajisikia akiwa nawe. Muda mwingine mpe hisia za huzuni. Ajisikie bila wewe hana furaha maishani. Inapostahili usiogope kumwambia ‘hapana’. Hata kama unaona itamfanya ajisikie vibaya. Ni heri ajisikie vibaya kuliko kutaka kumfurahisha muda wote/...
  8. S

    Hisia: Wydad 4, Simba 2

    Huu sio utabiri bali ni hisia zilizonitokea dakika kama moja iliyopita Matuta yanaweza kuhusika. Tusubiri, dakika 90 ndio msema kweli.
  9. amshapopo

    Wataalam wa hisia DSE

    Wasalam, Naomba kujua ni hisa gani zinafanya vizuri Dse kwa sasa? Nataka nijitoe muhanga kununua hisa.
  10. Infinite_Kiumeni

    Jali hisia za Mwanamke wako na Muishi kwa furaha

    Mwanamke anataka ajisikie unamjali. Yaani unajali hisia zake za upendo kwako. Ila drama zake unaweza kupotezea. Utamuonesha kujali hisia zake kwa kutenga muda kwa ajili yenu. Mkatengeneza kumbukumbu mbali mbali kwa kwenda sehemu tofauti au kucheza pamoja na kufurahi pamoja. Na kumpa mapenzi...
  11. KING MIDAS

    Kwanini kutua kwa Airbus A380 nchini kunaibua hisia na gumzo?

    KWANINI KUTUA KWA AIRBUS A380 NCHINI KUNAIBUA HISIA NA GUMZO? Airbus A380 ndiyo ndege kubwa na nzito zaidi ya abiria ulimwenguni kwa sasa. Yapata urefu wa mita 73, kimo cha mita 24, uzito wa juu wa kuruka tani 560, pamoja na uwezo wa kubeba hadi abiria 853 endapo itapangwa viti katika mfumo wa...
  12. sanalii

    Huwa napata hisia kali kama vile nilishawahi kuishi huko zamani sana

    Yani kiona picha za zaman, magofu/abandoned places, au documentaries, huwa kunahisia zinanijia kama vile nilikua part of the stories, ni ipi saikolojia nyuma ya hili?
  13. Melki Wamatukio

    Mwanamke hupata hisia ya ngono anapomuona mwanaume akiwa mtupu?

    Hivi kibailojia suala hili limekaa vipi? Ni kweli kuwa damu za wanawake huchemka wanapokutana na tupu za wanaume hasa za kushtukiza?
  14. Bonge La Afya

    Kila mtu ana namna anapata hisia (nyege) ili ashiriki tendo, kuna namna nyingine huwa ni magonjwa ya afya ya akili na hamjui. SOMA

    Leo utayafahamu haya magonjwa ya afya ya akili yanayoitwa Paraphilic disorders. Haya magonjwa pia uhusisha matamanio ya kingono ambapo mtu hupata hisia (nyege) katika hali ambayo sio ya kawaida aidha kwa mawazo, vitu au tabia fulani ambazo zinaweza kumletea madhara au kumuweka katika hatari ya...
  15. Black Opal

    Wanaume huwa tunasema hatuongozwi na hisia tunafata logic, sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi?

    Huu ni wimbo wetu wanaume, kwamba sisi hatuongozwi na hisia, kwenye kuangalia kitu na kufanya maamuzi tunafata logic na kuwaambia wanawake ni viumbe wanaoongozwa na hisia. Sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi? Maumivu hayo si ni matokeo ya hisia? Pisi kali ikikupiga tukio...
  16. T

    Hili la utafunaji wa kodi zetu! Wananchi tuonyeshe hisia zetu!

    Mpaka lini sisi tutaendelea kuitwa masikini? Huu umasikini tunaoitwa nao kila leo, sababu yake ni ipi kama sio hii ya wakubwa kuiba mapesa yetu? Ni kweli kabisa sisi ni masikini au ni upumbavu wetu? Umasikini upi tulionao sisi ili hali robo nzima ya bajeti yetu, inaishia mifukoni mwa...
  17. Youngblood

    Ugumu wa kupambana na ushoga, usagaji, malaya na madada poa uko hapa

    Naongea ukweli na huu ndio ukweli pekee Vita ya kupambana na ushoga kwa karne hii ya teknolojia na utegemezi wa hali ya juu ni ngumu sana kwa sababu zifuatazo. 1. Mlengo wa serikali zetu-Serikali zetu nyingi zinaendeshwa kidemokrasia, moja ya haki za kidemokrasia ni usawa na haki za binadamu...
  18. Roving Journalist

    Freeman Mbowe: CCM ijenge mifumo ya kudhibiti viongozi wake ndani ya Chama ili wasiumize Watanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani lilioandaliwa na Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) katika Ukumbi wa Kuringe - Mkoa wa Kilimanjaro leo tarehe 08 Machi, 2023. Rais Samia akipokelewa na Viongozi wa Chadema...
  19. K

    Hongera Raisi Samia anatumia akili kukuza uchumi na sio hisia binafsi

    Namshukuru Raisi Samia kwa kutumia akili na maarifa kukuza uchumi wetu bila kuweka mbele hisia binafsi. Hisia binafsi ni pamoja na kuweka ukanda, ukabila na uchama mbele ya Tanzania kwa ujumla wake. 1. Kitendo cha kuelewa katiba ni muhimu kwa uchumi wetu. Hasa kwenye sheria za kibiashara na...
  20. blogger

    Stamina anaimba hisia za kujeruhiwa kwa mapenzi kwa hisia kali sana

    Inawezekana huyu msanii ana bahati mbaya sana katika upande huu wa mahusiano. Ni kweli au kazi tu!? Tizama wimbo huu mkali kabisa.. Bushoke nae karejea vizuri kabisa.
Back
Top Bottom