Canal História, currently branded as História, is a Portuguese basic cable and satellite television channel that features history documentaries most of which are produced by History USA and Portuguese and Spanish historic productions, owned by the joint venture known as The History Channel Iberia, between A&E Networks and AMC Networks International Iberia. More recently, it started broadcast some reality television series. Initially it was a single Iberian channel founded by Multicanal (currently AMC Networks International Iberia) with feeds in Portuguese and Spanish. It was created in March 1999 and it split into different channels on 21 March 2012.Some Portuguese historic productions airing in Canal História include Foz Côa about Coa Valley Prehistoric Rock Art, O Tratado de Tordesilhas about the Treaty of Tordesillas, Marquês de Pombal concerning Marquis of Pombal, Portugal e a NATO (Portugal and NATO) and A História Do Azulejo (History of Azulejo).
Msanii maarufu wa muziki wa hip-hop, Joseph Haule, anayejulikana kama Profesa Jay, ametangaza rasmi kuwa atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Akizungumza kwenye kipindi cha The Throne kinachorushwa na redio Crown FM leo Ijumaa, Oktoba 11, 2024, Profesa Jay ameeleza kuwa...
Wote tunajua kuwa binadamu aliumbwa na MUNGU na kutuma rangi, jamii na mataifa tofauti tofauti hii ni katika dini ya kiislamu, wakristo na wayahudi, wana sayansi wakaja na theory yao kwamba binadamu ametokana na nyani na akaanza ku develop kadri siku zinavyoenda ila kuna jamaa mmoja anaitwa...
Hollywood ni kitovu maarufu cha tasnia ya filamu nchini Marekani na duniani kote. Historia yake inaanza mwanzoni mwa karne ya 20. Hapa kuna muhtasari wa historia yake:
1. Mwanzo wa Karne ya 20 Katika miaka ya 1900, filamu zilianza kutengenezwa nchini Marekani, na Hollywood ilijitokeza kama eneo...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo jeshi la polisi, jeshi la akiba pamoja na wananchi imefanya operesheni kubwa ya kihistoria kwa muda wa wiki tatu katika wilaya ya Tarime na Serengeti, mkoani Mara kwa lengo la...
LeBron James and Bronny James made NBA history by becoming the first father-son duo to play together on the same team during the Los Angeles Lakers' pre-season game against the Phoenix Suns.
Bronny, on his 20th birthday, entered the court during the second quarter in a 118-114 defeat to the...
Mateso ya Wayahudi huko Hispania na Inquisition (Karne ya 15)
Mnamo karne ya 15, Wayahudi waliokuwa wakiishi katika Hispania ya Kikristo walikumbwa na mateso makali wakati wa Inquisition ya Kihispania. Wengi walilazimishwa kubadili dini kuwa Wakristo (anaitwa "Conversos"), na wale waliokataa...
HISTORIA YA JULIUS NYERERE (1922 - 1999)
Kuadhimisha Nyerere Day In Shaa Allah kuanzia tarehe 1 Oktoba nitakuwa naweka video ambazo nimemzungumza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kama nilivyohifadhi historia yake Maktaba.
https://youtu.be/bQlNnpWluCE
In 2008, mfumuko wa bei ulifikia viwango vya juu sana, na kusababisha dola ya Zimbabwe kupoteza thamani yake na serikali kuiacha mnamo 2009. Tangu wakati huo, dola ya Marekani na sarafu nyingine za kigeni zimekuwa zikitumika sana katika uchumi.
Juhudi walizofanya wakiamini wataweza...
Salaam wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada.
1. Majohe "KWA NGOZOMA"
Huyu ngozoma nasikia yupo mpaka leo na ana bucha lake, alikuwa mfanyabiasha na alifungua duka kubwa sana maeneo hayo ya majohe wakati panaanzishwa miaka ya 2005 hivi.
2. Kwa Azizi Ali (Anayejua atuambie )
3. Kwa mpalange...
Kabla ya kauli ya Raisi coolidge,mtangulizi wake aliwahi kusema kwamba "binadamu wote ni sawa" lakini kauli hii ina mapungufu mengi sana na inaweza kupata ushindani mwingi.
Lakini maneno ya Raisi Coolidge bado yanaishi mpaka leo,na ndio msingi wa mafanikio yoyote yale duniani,alisema hivi "kuwa...
Medusa ni mojawapo ya wahusika maarufu katika mitholojia ya Kigiriki, ambaye alikuwa mwanamke mwenye nyoka kwenye nywele badala ya nywele za kawaida. Kulingana na hadithi, yeyote aliyemtazama Medusa machoni alikuwa akigeuzwa kuwa jiwe.
Medusa alikuwa mmoja wa dada watatu waliitwa Gorgons...
Wakuu za muda huu;
Dah, mimi naitumiaga sana, lakini sijujua kumbe brand yake ni ya kitambo sana, mwenye maelezo zaidi atatusaidia kwenye comment hapa chini.
Picha hapo chini zinajieleza.
NB: Kwa yeyote anayejua maana ya KIWI naomba utiririke kwenye comment hapa chini.
HISTORIA FUPI YA MSANII BAB LEE KATIKA TASNIA HII YA MUZIKI WA BONGO FLEVA..
"Bab lee jina langu halisi naitwa "Ally Omary " kiukweli mimi kwenye mambo ya muzuki nimeanza toka mwaka 2000 kwahiyo mpaka sasa nina Takribani miaka 24 katika game hii ya Bongo fleva.
Tangu nilipoanza Muziki...
Credit kwa Jewel Fitila, Mmiliki wa andiko.
UKWELI KUHUSU UISLAMU:
1. Je, Qur'ani inafafanua neno "Allah"?
2. Je, jina "Allah" liliteremshwa kwa mara ya kwanza kwenye Qur'an?
3. Je, Qur'ani inadhani kwamba wasomaji wake wamekwisha sikia habari za "Allah"? Ndiyo.
4. Je, tuangalie katika...
Hummer ni chapa ya magari ambayo ina asili katika magari ya kijeshi ya Marekani yanayojulikana kama Humvee (High Mobility Multipurpose Wheeled Vehicle). Historia ya Hummer ilianza mwanzoni mwa miaka ya 1980 wakati kampuni ya AM General, ambayo ni tawi la American Motors Corporation (AMC)...
"Exodus" ni dhana muhimu sana katika dini ya Rastafari, na pia inahusiana sana na muziki wa reggae, hasa kupitia wimbo maarufu wa Bob Marley, "Exodus" uliotolewa mwaka 1977. Ingawa wimbo huo wa Marley unahusu zaidi harakati za kisiasa na kiroho za watu wa Kiafrika, dhana ya "Exodus" inarudi...
Dini ya Rastafari ni harakati ya kiroho na kitamaduni iliyoanza nchini Jamaica katika miaka ya 1930. Harakati hii iliibuka kutokana na mafundisho ya Marcus Garvey, kiongozi wa harakati za Waafrika na mtu aliyesisitiza juu ya fahari ya utambulisho wa Kiafrika na kurudi Afrika kwa watu wenye asili...
Huyu ni mmoja wa wakuu wa vikosi vilivyopigana vita vya Kagera.
Kwa miaka mingi walikuwa wakitaka wakuu wa brigedi zilizopigana vita vya Kagera, lakini ndani ya brigedi hizo kulikuwa na vikosi.
Simba Waziri Simba mmoja wapo wa makamanda wa vikosi katika vita hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.