hiv

The human immunodeficiency viruses (HIV) are two species of Lentivirus (a subgroup of retrovirus) that infect humans. Over time, they cause acquired immunodeficiency syndrome (AIDS), a condition in which progressive failure of the immune system allows life-threatening opportunistic infections and cancers to thrive. Without treatment, average survival time after infection with HIV is estimated to be 9 to 11 years, depending on the HIV subtype. In most cases, HIV is a sexually transmitted infection and occurs by contact with or transfer of blood, pre-ejaculate, semen, and vaginal fluids. Research has shown (for both same-sex and opposite-sex couples) that HIV is untransmittable through condomless sexual intercourse if the HIV-positive partner has a consistently undetectable viral load. Non-sexual transmission can occur from an infected mother to her infant during pregnancy, during childbirth by exposure to her blood or vaginal fluid, and through breast milk. Within these bodily fluids, HIV is present as both free virus particles and virus within infected immune cells.
HIV infects vital cells in the human immune system, such as helper T cells (specifically CD4+ T cells), macrophages, and dendritic cells. HIV infection leads to low levels of CD4+ T cells through a number of mechanisms, including pyroptosis of abortively infected T cells, apoptosis of uninfected bystander cells, direct viral killing of infected cells, and killing of infected CD4+ T cells by CD8+ cytotoxic lymphocytes that recognize infected cells. When CD4+ T cell numbers decline below a critical level, cell-mediated immunity is lost, and the body becomes progressively more susceptible to opportunistic infections, leading to the development of AIDS.

View More On Wikipedia.org
  1. harakati za siri

    HIV/ AIDS je hizi ni dalili za mwisho au Kuna tumaini bado?

    Habari madaktari wetu! Mgonjwa amepata uvimbe kwenye viungo (Swollen lymph nodes) Mitaani huwa kuna imani kuwa mgonjwa akishafikia hatua hiyo ndiyo dalili za mwisho za kufariki. Je ni kweli? au akikazana na dawa atakuwa sawa tena. Vijana kuweni makini Ukimwi upo kwa hakika, kuna watu...
  2. Pdidy

    YAAN KILA MTU FB ANAUZA DAWA ZA KUTIBU SUKARI KHA MBONA HIV HAMLETI

    Natokakufungua ffb acc leo yaan kila mtu anauza dawa za kisukari Funguaa acc nyingine hukoo ndio balaaa kaweka tangazo la kutibu bure bonyrxaa link Manenoooo mengi mwishoo anakwambia tuma 170000 atii punguzo hili n kwa siku 7 tu Nyooooo hivi mnatuonaje nyie kengee mshaona watanzania wajinga...
  3. Damaso

    Natafuta Partner awe HIV+

    Natafuta partner (Mwanamke). Vigezo: Mwembamba na White. Mkristo au Muislamu. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri 23-27 Kabila lolote. Asiwe na mtoto. Upande wangu: Elimu/ degree Kazi/ nimeajiriwa Umri/29 Naishi/ Mwanza Dini/ mkristo Maelezo zaidi njoo PM
  4. Ketoka

    Mwanamke anaachika kutoka kwa mume wake kisa mchepuko halafu anaenda kuambukizwa HIV kitaalamu tunaitaje?

    Baada ya mwanamke kujua/ kufahamu mume wake anachepuka na kidada fulani jirani,mwanamke anaachika huku akidai hawezi kuvumilia mwanaume amletee magonjwa ya zinaa na UKIMWI Akiwa huko anakutana na mwanaume mwingine na kukubali kuolewa naye na kupachikwa ujauzito na siku ya clinic anaambiwa ana...
  5. Jamii Opportunities

    Prevention & HIV Testing Services Officer at ICAP

    Job no: 497434 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Geita Categories: Program Management/Implementation/Support ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly qualified...
  6. Uwesutanzania

    UKIMWI (HIV) isikutenganishe wewe na mwenza wako

    Poleni sana ndugu zangu watanzania kwa tatizo la mtandao wa internet linalowakumba kwa wakati huu. Pia hongereni timu ya wananchi kwa kutwaa ubingwa wenu wa 30. Pia nachukua fursa hii kuwapa pole na waliokutwa na kimbunga hidaya. Na ndugu zangu wa Rufiji, Arusha na Morogoro sijawasahau...
  7. C

    Leo nimepima HIV kwa mara ya kwanza tokea 2018

    Nimesafiri umbali mrefu sana kwenda angaza kupima HIV na kwa bahati nzuri majibu yamekuja negative. Hii ni hatua muhimu kwenye ya kuwa makini na kujilinda. Asikwambie mtu kusubiri hayo majibu ndani ya hizo dk 5 siyo mchezo.
  8. Miss Zomboko

    KRA Drops 133 Recruits After Pregnancy And HIV Tests

    Parliament has called for the formation of an inquiry to investigate how 133 applicants who are among individuals who applied for the position of Revenue Service Assistances (RSA) at the Kenya Revenue Authority (KRA) but were allegedly dismissed on grounds that they were either HIV positive or...
  9. A

    DOKEZO LATRA fanyeni hivi kutatua Tatizo la bodaboda na bajaji na usafiri wa mijini kwa ujumla

    Sijui shida ni nini. Huku south Africa, botwasana, Námibia huwezi oná bodaboda. Zimejaa zile toyota hiace Kila mahali. Sisi tuliondoa hiace mjini miaka hiyo. Sasa tumesajili bodaboda na bajaji. Solution ni simple. Waache kusajili bodaboda na bajaji. Waacha kuimport. Hiz zilizopo zifanye route...
  10. M

    Rais wa nchi analipwa shilingi ngapi kwa mwezi?

    Habari zenu wakubwa, Hivi mama samia anakunja shilingi ngapi mwisho wa mwezi? Maana usikute tunamlaum bure kumbe mshahara tunaomlipa ni kiduchu.
  11. M

    Sidhani kama kuna series kali kushinda Game of Thrones?

    Najua zipo series nyingi sana ambazo waandishi walituliza akili kuziandika kama vile vikings,lord of the rings etc,ila bado sijakutana na mzigo mkali kama Game of thrones, humu mwandishi alijua watazamaji ni nini tunataka na akatupatia. Natumai waandishi bongo muvi watafikia levo hizi 1 day.
  12. M

    Hizi Oral HIV test zina uhakika kiasi gani?

    Jamani hebu wataalamu niambieni. Maana mie ngoma ninayo miaka 20+ situmii ARV lakini nimepima zile oral mara tatu zote zinasoma negative. Sasa sijaelewa hii inakuwaje
  13. Z

    Mume HIV+ uko wapi mwenza wangu?

    Jamani naelekea kukata tamaa.. Hiivi ni kweli humu ndani hakuna HIV + hata mmoja mwanaume ambaye anahitaji familia??? Uko wapi mwenza tafadhali njoo tutengeneze maisha yetu, nikupikie chakula kizuri... Nipambe nyumba yetu nzuri kwa maua, tuwe na amani na tupendane...
  14. ward41

    Je, haya yalikuwa ya kweli kuhusu Rais Gaddafi na Libya?

    Uchumi wa Libya ni GDP 40 billion usd. Population ya Libya ni 7 million. Kipindi cha utawala wa Gaddafi tuliambiwa wananchi wa Libya walibudumia Mambo mention bure na serikali ya Gaddafi. Miongoni mwa huduma za bure ni a) Nyumba bure b) Maji bure c) Umeme bure d) Shule bure hadi chuo Kikuyu e)...
  15. S

    Eti ninyi waoaji, mnapotaka kuoa huwa mnazingatia kigezo kipi kati ya Uzuri, akili na kipato cha mwanamke?

    Kuna maoni mseto katika kila kigezo. Uzuri unaweza kutoweka kwa magonjwa ama ajali. Akili inaweza isifanye kazi kutokana na mazingira na jiografia ya eneo anapoolewa. Kipato chake kinaweza kutoweka kwasabb zozote zile. Ikiwa kila kigezo kina shida zake, ni kipi basi mtu anapaswa kukizingatia...
  16. GENTAMYCINE

    Hivi tunajua Madhara ya Kuwahusisha Watoto katika Siasa mbovu za CCM na Chipukizi Taifa yake?

    Mnaacha Kuwahimiza Watoto wenu wajikite na Masomo ( Taaluma ) ili waje kuwa Msaada kwa Taifa nyie mko busy Kuwapigania waanze kuwa Viongozi huko CCM Chipukizi kama mlivyo nyie Wazazi wao Serikalini. Na kuna Mtoto Mmoja nae nimemwona ameshaanza kuwa Tapeli na Muongo Muongo kama alivyo Baba yake...
  17. Kigoma Region Tanzania

    Hivi ndivyo milima ya Congo DRC inavyoonekana ukiwa hapa Kigoma Tanzania

    Bado unayo nafasi ya kuitazama milima ya Congo DRC ukiwa hapa Kigoma, mlima tambalale uliyonyooka kwa mapana uliopakwa rangi ya blue ni nchi ya Zaire, utafika katika nchi hiyo kwa usafiri wa Boti, ni rahisi sana kutokea hapa kwetu Kigoma. Hapa ni Kigoma Karibu na Station Milima ya Blue...
  18. Aramun

    Mrejesho: Baada ya kusex na muathrika wa HIV, haya ndiyo majibu baada ya mwezi mmoja

    Nilileta uzi huu last month nikiwa kwenye lindi kubwa la mawazo baada ya kusex na mwanamke aliyeathirika. https://www.jamiiforums.com/threads/nimeyatimba-nimesex-na-mtu-mwenye-hiv-ni-kipindi-kigumu-sana-maishani-mwangu.2156809/ Sasa baada ya mwezi mzima wa kutumia PEP, haya ndiyo majibu...
  19. badison

    Wikileaks: Nyaraka mpya za siri zimevujishwa. Tanzania & kenya zatajwa. Steve Jobs alikufa kwa ngoma (HIV)

    Jana mtandao wa wikileaks uliachia baadhi ya taarifa za siri kuhusiana na watu maarufu pamoja na Nchi mbalimbali. Mwanzilishi wa kampuni ya apple marehemu Steve Jobs alikufa kwa ukimwi. Mimi ndio maana nikiona mwanamke anatumia iPhones sina muda nae wala simtongozi. Taarifa za siri za serikali...
  20. Aramun

    Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

    Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia. Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki...
Back
Top Bottom