huawei

Huawei Technologies Co., Ltd. (; Chinese: 华为; pinyin: Huáwèi) is a Chinese multinational technology company. It provides telecommunications equipment and sells consumer electronics, smartphones and is headquartered in Shenzhen, Guangdong.
The company was founded in 1987 by Ren Zhengfei. Initially focused on manufacturing phone switches, Huawei has expanded its business to include building telecommunications networks, providing operational and consulting services and equipment to enterprises inside and outside of China, and manufacturing communications devices for the consumer market. Huawei has over 194,000 employees as of December 2019.Huawei has deployed its products and services in more than 170 countries. Huawei overtook Ericsson in 2012 as the largest telecommunications-equipment manufacturer in the world, and overtook Apple in 2018 as the second-largest manufacturer of smartphones in the world, behind Samsung Electronics. In December 2019, Huawei reported that its annual revenue had risen to US$121.72 billion in 2019.Although successful internationally, Huawei has faced difficulties in some markets, due to claims of undue state support and cybersecurity concerns—primarily from the United States government—that Huawei's infrastructure equipment may enable surveillance by the Chinese government. With the development of 5G wireless networks, there have been calls from the U.S. to prevent the use of products by Huawei or fellow Chinese telecommunications company ZTE by the U.S. and its allies. Huawei has argued that its products posed "no greater cybersecurity risk" than those of any other vendor and that there is no evidence of the U.S. espionage claims. Nonetheless, Huawei pulled out of the U.S. consumer market in 2018, after these concerns affected the ability to market their consumer products there. Questions regarding Huawei's ownership and control as well as concerns regarding the extent of state support also remain.In the midst of an ongoing trade war between China and the United States, Huawei was restricted from doing commerce with U.S. companies due to alleged previous willful violations of U.S. sanctions against Iran. On 29 June 2019, U.S. President Donald Trump reached an agreement to resume trade talks with China and announced that he would ease the aforementioned sanctions on Huawei. Huawei cut 600 jobs at its Santa Clara research center in June, and in December 2019 founder Ren Zhengfei said it was moving the center to Canada because the restrictions would block them from interacting with US employees.

View More On Wikipedia.org
  1. Mi mi

    Kitu kikubwa kinakuja kwenye semiconductor toka kwa Huawei, ASML na TSMC wakae tayari

    Huawei wanakuja na surprise package kwenye upande wa semiconductor kwa kuja na mashine yao ya EUV. Hii kitu inaenda kuua monopoly ya ASML na TSMC. Taiwan, Netherlands na U.S.A wanaenda kupata upinzani mpya. Inaweza kuwa mwaka huu 2025 au mwakani 2026 Huawei wakawa katika hatua za mwisho...
  2. Teslarati

    Nilikua namsapoti Trump na Elon lakini kwa wachina naona bado hajapata funzo kwa walichofanya Huawei kipindi kile

    Trump kuna sehemu anakosea. Unajua Trump Marekani ameingia kwa nguvu ya watu, na sio wale 'King makers' na hio inafanya asipate ushauri wa watu ambao wanajua miondoko ya dunia humo USA miaka nenda na narudi. Hio inafanya jamaa afanye makosa mengi sana na kuscore 'own goals' nyingi 1)Issue ya...
  3. L

    Huawei yazindua mradi wa uhifadhi wa eneo lililohifadhiwa la baharini nchini Kenya

    Mwanzoni mwa karne ya 20, harakati za wahifadhi mazingira zilizochochewa na watu mashuhuri kama vile John Muir, Gifford Pinchot, na Paul Sarasin zilisisitiza haja ya kuhifadhi mazingira ya asili. Katika kukabiliana na mahitaji yanayokua ya kulinda mazingira haya ya asili na kuratibu juhudi za...
  4. Mad Max

    Huawei wamezindua luxury EV sedan Maextro S800: Copy na Paste ya Maybach kwa nusu bei ila more tech!

    Huawei wakiwa wameungana na JAC wamezindua gari yao ya kwanza inayoenda kwa model name Maextro, ikiwa na lengo la kushindana na Maybach na Rolls. Kuhusu bei, itauzwa kuanzia $140,000 tu, na ndio itakua gari ya bei kali kuliko zote kutoka China hadi leo.
  5. Mad Max

    Huawei wamezindua simu ya kwanza kujikunja mara mbili. Base model ni Tsh Mil 7.8

    Tumeona jana tarehe 09 Apple wamefanya yao kwa kutuletea iPhone 16 series. Same wine, new bottle! Sasa bwana leo wakali wa hizi mambo Huawei wamefanya yao kwa kuzindua Huawei Mate XT Ultimate ambayo ni simu ya kwanza Duniani kukunjwa mara mbili. Yaani iko hivi, ukiikunjua full unakutana na...
  6. Aramun

    Huawei kuja na "Tri-Fold SmartPhone" mwaka huu, Samsung bado anasuasua

    Tumezoea kuona simu janja zenye mikunjo miwili, Huawei mwaka huu wanakuja na Smartphone ambayo itakuwa na mikunjo mitatu. Mojawapo ya kipengele muhimu cha kifaa cha kukunjwa mara tatu ni kwamba skrini iliyounganishwa kwenye bawaba ya pili inaweza kukunjwa kwa nje, na hivyo kuruhusu sehemu ya...
  7. X

    China-US TechWar: Pentagon wakiri ni vigumu kuachana na huduma za Huawei kikamili

    Mwaka 2019 serikali ya Marekani chini ya aliyekuwa raisi wakati huo Donald Trump, iliweka sheria ya kutotumia huduma na vifaa vya Huawei katika idara nyeti za usalama wa taifa hilo. Sababu kuu ilikuwa ni kwamba usalama wa taifa hilo ulikuwa hatarini, ikidai kuwa China inaitumia kampuni ya...
  8. Mad Max

    Huawei & Chery waja na Luxeed S9 gari itakayo compete na Tesla Model Y

    Wakuu. Tulioana juzi kati kwenye Malaysia Auto Show kampuni kutoka China Aion ambayo ni tawi la CAG wamezindua Aion Hyper HT SUV gari linalofanana na Tesla Model X. Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei Sasa vita bado haijaisha. Kampuni la technology Huawei kwa kushirikiana na...
  9. mahroof

    Msaada: Simu used ya Huawei inanipata changamoto ya What'sApp

    Msaada wakuu Simu yangu ni huawei ni used from china Simu ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
  10. Njunwa Wamavoko

    Niuzie Modem ya Huawei au ZTE

    Habari wana Jukwaa. Nina project ambayo inaitaji USB modem, yoyote kati ya hizi kampuni tajwa hapa chini: Huawei ZTE Najua teknolojia ya modem imeenda ina phase out kwenye nchi yetu, kutokana na kwamba kwa sasa kuna MiFi router ambazo unaweza kuzipata mpaka kwa 50,000/= Hivo kama kipindi...
  11. Replica

    Huawei katoa Pura 70, hatari na nusu. Angalau milioni 5 kuikamata

    Huawei amezindua series za Pura 70 nchini China ikifungua ukurasa mwingine wa maendeleo pamoja na vikwazo vya Marekani. Ripoti zinasema simu hiyo imetumia zaidi vifaa vinavyotengezwa China kuliko simu yoyote Huawei imeshawahi kutengeneza kabla. Pamoja na hivyo bado Kirin 9010 inayotengezwa na...
  12. 6WaS9

    Uzi maalumu kwa: Watumiaji wa vifaa vinavyotumia mfumo wa ANDROID kama | Smart Android TV | All Android Phones | Samsung, Xiaomi, Google Pixel, Huawei

    Sony, Lg, Smart watch za Android… Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa zote mpya za bidhaa zitumiazo android OS Changamoto na suluhisho za kifaa husika.. Na mengine Mengi zaidi
  13. G

    Router za dukani ni bei kubwa, kuna mtandao wa simu unaouza router za huawei zinazoweza kufunguka kusoma lain zote ??

    router za dukani ni gharama kubwa sana almost laki na kitu. Router za mitandao ya simu huwa wanauza kwa hasara ama bila faida wanategemea mteja utafidia kwenye vifurushi. Ni mtandao upi wa simu kwenye maduka yao wana router za huawei ? Nimechagua huawei sababu kuna features nyingi na support...
  14. Mto Songwe

    China Secretly Transforms Huawei Into Most Powerful Chip War Weapon

    Source: Bloomberg Subscribe China Secretly Transforms Huawei Into Most Powerful Chip War Weapon The government is increasingly relying on Huawei — the company Washington tried to destroy — to lead the country’s efforts to build an independent semiconductor ecosystem. By Bloomberg News...
  15. L

    Toleo jipya la simu janja ya Huawei ladhihirisha maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano ya China licha ya vikwazo vya Marekani

    Hivi karibuni, kampuni kubwa ya mawasiliano na teknolojia ya China, Huawei, ilifanya mauzo ya awali ya simu yake mpya ya kisasa (smartphone) aina ya Huawei Mate 60 Pro, hatua iliyozusha mjadala mkubwa katika jamii ya Wachina, ikiwa ni tofauti na hali inavyokuwa wakati wa kuzindua bidhaa mpya...
  16. Mto Songwe

    HUAWEI imerudi kwa kasi sokoni

    Kama habari inavyoelezewa hapa na Reuters China chip stocks rally after Huawei's low-key launch of new Mate 60 Pro phone By David Kirton and Jason Xue August 30, 202311:51 AM GMT+3Updated a day ago Huawei sign is seen at the World Artificial Intelligence Conference (WAIC) in Shanghai, China...
  17. L

    Kampuni ya Huawei yatumia teknolojia yake kusaidia nchi za Afrika katika kuhifadhi matumbawe na wanyamapori

    Uhifadhi wa mazingira ya baharini na nchi kavu ni jukumu ambalo binadamu wanapaswa kulitia maanani sana. Tunafahamu kuwa bila kuwa na mazingira mazuri wanyama na binadamu wote watakuwa hatarini. Katika kutimiza wito huo, kampuni kubwa ya teknolojia ya China, Huawei, imekuwa katika harakati na...
  18. African Geek

    Naweka Youtube App kwenye simu za Huawei

    Kama wewe ni mtumiaji wa simu za Huawei ambazo hazisupport Google Apps kama Youtube, Playstore, nk, Nimetengeneza solution ya tatizo hilo kwa kukupa app ya Youtube inayofanya kazi vizuri bila kuhitaji Google Play Services. Achana na ile Youtube Vanced. Hii ni custom Youtube App ambayo...
  19. February Makamba

    Wapi ni safe kuagiza LCD screen ya Huawei P40 lite kati ya Aliexpress au Alibaba?

    Wakuu, Katochi kangu kameanguka na kupasuka kioo..Najua Kariakoositakipata kwahyo Nina mpango wa kuagiza China, wapi ni salama zaidi na uhakika kupata bidhaa kati ya Aliexpress na Kikuu? Aliexpress sina experience nao lakini naona ndiyo wanavyo vingi na pia bei zao ni ndogo lakini sijajua issue...
  20. Meneja Wa Makampuni

    Mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model ya kichina naomba aniuzie

    Habari wakuu, Nipo mbele yenu, nimeweza kutafuta vihela ili niweze kununua simu. Baada ya kuwaza sana nimeona simu inayo nifaa ni HUAWEI P20 PRO. Hivyyo mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model ya kichina naomba aniuzie. Natafuta used inanitosha sana. Kama unayo ni PM. Mawasiliano yangu ni...
Back
Top Bottom