Huawei Technologies Co., Ltd. (; Chinese: 华为; pinyin: Huáwèi) is a Chinese multinational technology company. It provides telecommunications equipment and sells consumer electronics, smartphones and is headquartered in Shenzhen, Guangdong.
The company was founded in 1987 by Ren Zhengfei. Initially focused on manufacturing phone switches, Huawei has expanded its business to include building telecommunications networks, providing operational and consulting services and equipment to enterprises inside and outside of China, and manufacturing communications devices for the consumer market. Huawei has over 194,000 employees as of December 2019.Huawei has deployed its products and services in more than 170 countries. Huawei overtook Ericsson in 2012 as the largest telecommunications-equipment manufacturer in the world, and overtook Apple in 2018 as the second-largest manufacturer of smartphones in the world, behind Samsung Electronics. In December 2019, Huawei reported that its annual revenue had risen to US$121.72 billion in 2019.Although successful internationally, Huawei has faced difficulties in some markets, due to claims of undue state support and cybersecurity concerns—primarily from the United States government—that Huawei's infrastructure equipment may enable surveillance by the Chinese government. With the development of 5G wireless networks, there have been calls from the U.S. to prevent the use of products by Huawei or fellow Chinese telecommunications company ZTE by the U.S. and its allies. Huawei has argued that its products posed "no greater cybersecurity risk" than those of any other vendor and that there is no evidence of the U.S. espionage claims. Nonetheless, Huawei pulled out of the U.S. consumer market in 2018, after these concerns affected the ability to market their consumer products there. Questions regarding Huawei's ownership and control as well as concerns regarding the extent of state support also remain.In the midst of an ongoing trade war between China and the United States, Huawei was restricted from doing commerce with U.S. companies due to alleged previous willful violations of U.S. sanctions against Iran. On 29 June 2019, U.S. President Donald Trump reached an agreement to resume trade talks with China and announced that he would ease the aforementioned sanctions on Huawei. Huawei cut 600 jobs at its Santa Clara research center in June, and in December 2019 founder Ren Zhengfei said it was moving the center to Canada because the restrictions would block them from interacting with US employees.
Hafla ya uzinduzi wa Eneo la Viwanda la Huawei imefanyika jana jumanne wiki hii katika mji mkuu wa Angola, Luanda, na kuhudhuriwa na rais wa nchi hiyo, João Lourenço.
Kwenye hafla hiyo, Angola na kampuni ya Huawei zilisaini makubaliano kuhusu kuwaandaa watu wenye ujuzi wa kidigitali. Kutokana...
Na Gianna Amani
Pengine wengi wanaijua Huawei kama kampuni ya kutengeneza simu kutokana na chapa yake kuwepo katika soko kwa miongo kadhaa, lakini Huawei ni zaidi ya kampuni ya kutengeneza simu.
Huawei ni kampuni kubwa ya teknolojia na mawasiliano nchini China na inazidi kuota mizizi katika...
Habari wadau
Ningependa kufahamu kama router ya airtel huawei b68a-24 inapokea network(internet) kutoka kwenye ethernet na kushare kwa Hotspot?
Maana niliconnect ethernet (rj45) kutoka kwenye switch yenye source ya internet
Yani kutumia hii router kama bridge tu
Inaripotiwa kuwa, Maafisa wamevamia na kupekua Ofisi kadhaa za Kampuni ya Kielektroniki ya Vivo kutoka China kufuatia shutuma za utakatishaji Fedha. Mapema mwaka huu, upekuzi wa aina hiyo pia ulifanywa kwa Xiaomi na Huawei
Vivo imejijengea jina kubwa Nchini India, ikielezwa imeajiri Wahindi...
bei
camera
cover
dubai
free
from
galaxy
google
google pixel
hot
huawei
infinix
iphone
iphone 11
iphone x
kali
laini
mbili
mtandao
note
note 9
offer
oppo
pro
ram
redmi
samsung
samsung galaxy
sana
sony
spark
tecno
used
Ofisa mkuu wa mahusiano ya umma wa tawi la kampuni ya Huawei ya China nchini Kenya Bw. Dalmar Abdi amesema, nchi hiyo imeimarisha utoaji wa mafunzo, ili kupanua kundi la watu wenye ujuzi wa TEHAMA nchini Kenya.
Bw. Abdi amesema hayo wakati akitembelea kituo cha mafunzo cha Huawei, na kueleza...
Fadhili Mpunji
Hivi karibuni naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bibi Wendy Sherman aliyekuwa ziarani nchini Angola, alisema Angola na nchi nyingine za Afrika kutumia vifaa vya kampuni ya Tehama ya China HUAWEI, ni kuhatarisha usalama wa nchi. Kauli hiyo aliyotoa Bibi Sherman baada ya...
Habari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Huawei Y7 Prime
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 4,000 MAh.
Bado mpya kabisa
Bei yake ni 290k (laki 2 na 90) pamoja na Charger yake
Kama unahitaji piga simu namba 0676258343.
Kampuni ya mawasiliano ya Huawei ya China imesema itapeleka teknolojia yake ya 5G ili kuimarisha uhifadhi wa wanyamapori mashuhuri barani Afrika huku kukiwa na vitisho vinavyohusishwa na shughuli za binadamu na mabadiliko ya tabia nchi
Huawei inasema teknolojia yake ya 5G na kamera za kisasa...
Wakuu habari za humu. Ninaomba msaada wa namna ya kurudisha IMEI kwenye simu ya HUAWEI Y5 PRIME 2018. Kila nikiangalia inaonyesha null kwenye slot zote mbili...
Habari wakuu tafadhali naomba msaada nina modem 2 nilikuwa nazi flash moja imeishia njiani yaani hakumaliza ku sahisha faili lake ambayo ni huawei e3531
nyingine ilimaliza lakini nikiweka laini inaonyesha imekubari tatizo mtandao unakuwa hamna hata nikitafuta bado inaniambia no service hii ni...
Kampuni ya Teknolojia ya China, Huawei inaanzisha mfumo wake mpya wa uendeshaji wa simu za janja (smartphones) unaojulikana kama HarmonyOS baada ya Marekani kuizuia kufanya kazi na kampuni ya Google.
Huawei inatarajiwa kuzindua mfumo huo leo kwa baadhi ya vifaa kama simu za janja, vishkwambi...
Kampuni ya Teknolojia ya Huawei inatarajiwa kurusha satelaiti mbili angani mwezi Julai, 2021 ikilenga kuingia katika teknolojia ya intaneti ya 6G.
Kampuni hiyo ya China imekuwa mstari wa mbele duniani kuboresha kasi ya upatikanaji wa mtandao wa intanet, hii ikiwa ni mara ya pili kurusha...
Miaka 3 iliyopita serikali ya Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi kampuni ya vifaa vya mawasiliano ya China, Huawei kwa sababu za kiusalama.
Vikwazo vilianza kung'ata mwaka jana Huawei ikaamua kuuza kampuni yake tanzu ya Honor ili na yenyewe isije kufa kwa vikwazo vya Marekani.
Sasa...
Habari!
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Kichina Huawei (Huawei Technologies Co., Ltd.) imezindua mradi wa ufugaji wa nguruwe kupitia teknolojia ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Jumatatu wakati kampuni hiyo ikigeukia katika maeneo mengine ya kibiashara wakati biashara yake ya simu janja...
Wiki kadhaa zilizopita Huawei alitoa developer version ya Harmony OS, lakini kutokana na wakali wa Mambo na comparison ya side to side Ile ni Android 10 ambayo imekuwa edited.
Nimeona video wakicompare side by side inafanana kila kitu na android 10. Hata app development studio iko exactly Kama...
Wakuu habarini za jioni.
Naombeni msaada namna ya kuifungua simu za huawei v19 pro ziweze kutumia mitandao ya ndani ya nchi, kwani nimenunua simu tajwa hapo juu kila ninapoweka laini za mitandao ya Tanzania hazisomi isipokuwa kwa emergency calls tu, hivyo naombeni msaada kwa hilo wakuu...
Moderm yangu ya K3772z huawei huwa haiji install yenyewe napochomeka kwenye pc mpya hadi nidownload kutoka external source. Sasa changamoto niliyo nayo ni moja, nimeshagoogle hadi nimekata tamaa sijapata driver za window 10. Naishia kupata window 7. Msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.