Huawei Technologies Co., Ltd. (; Chinese: 华为; pinyin: Huáwèi) is a Chinese multinational technology company. It provides telecommunications equipment and sells consumer electronics, smartphones and is headquartered in Shenzhen, Guangdong.
The company was founded in 1987 by Ren Zhengfei. Initially focused on manufacturing phone switches, Huawei has expanded its business to include building telecommunications networks, providing operational and consulting services and equipment to enterprises inside and outside of China, and manufacturing communications devices for the consumer market. Huawei has over 194,000 employees as of December 2019.Huawei has deployed its products and services in more than 170 countries. Huawei overtook Ericsson in 2012 as the largest telecommunications-equipment manufacturer in the world, and overtook Apple in 2018 as the second-largest manufacturer of smartphones in the world, behind Samsung Electronics. In December 2019, Huawei reported that its annual revenue had risen to US$121.72 billion in 2019.Although successful internationally, Huawei has faced difficulties in some markets, due to claims of undue state support and cybersecurity concerns—primarily from the United States government—that Huawei's infrastructure equipment may enable surveillance by the Chinese government. With the development of 5G wireless networks, there have been calls from the U.S. to prevent the use of products by Huawei or fellow Chinese telecommunications company ZTE by the U.S. and its allies. Huawei has argued that its products posed "no greater cybersecurity risk" than those of any other vendor and that there is no evidence of the U.S. espionage claims. Nonetheless, Huawei pulled out of the U.S. consumer market in 2018, after these concerns affected the ability to market their consumer products there. Questions regarding Huawei's ownership and control as well as concerns regarding the extent of state support also remain.In the midst of an ongoing trade war between China and the United States, Huawei was restricted from doing commerce with U.S. companies due to alleged previous willful violations of U.S. sanctions against Iran. On 29 June 2019, U.S. President Donald Trump reached an agreement to resume trade talks with China and announced that he would ease the aforementioned sanctions on Huawei. Huawei cut 600 jobs at its Santa Clara research center in June, and in December 2019 founder Ren Zhengfei said it was moving the center to Canada because the restrictions would block them from interacting with US employees.
With the Mate 40 flagships out of the gate, Huawei is moving its attention to the P-series – despite US sanctions disrupting its supply line, the company is on track to launch the P50 phones in the first half of 2021. This means the P-series may keep to its usual March/April launch time frame...
Tarehe ya mwisho ya Septemba 15 inaonekana inazidi kutisha kwa Huawei - laini ya usambazaji ya kampuni hiyo itapungua pamoja na kukatwa kutoka kwa supplier wa chip wa TSMC. Reuters inaripoti (ikinukuu media ya Kikorea) kwamba Samsung Display na LG Display zinatarajiwa kusitisha uuzaji kwa...
Kampuni za electroniki za Samsung na LG zimesitisha rasmi mkataba wa kuiuzia kampuni ya Huawei vioo au screen panels zinazotumika kwenye simu.
Kampuni ya Samsung ndiyo muuzaji mkubwa wa vioo vya simu ama display za OLED, AMOLED na LCD zinazotumika kwenye simu nyingi Duniani.
Samsung na LG...
Marekani imetangaza vikwazo vipya kwa kampuni ya Huawei zaidi ya vile ilivyotangaza mwezi MAy mwaka huu ambavyo vilizuia makampuni makubwa ya kutengeneza chipsets kama Samsung na TSMC kuiuzia Huawei.
Jana Jumatatu Marekani imetangaza vikwazo vipya kwa Huawei ambavyo vinazuia kampuni hata za...
Kamati ya EISA imekagua simu janja ambazo zilizindua mwaka huu na kuzawadiwa bora zaidi kati yao - hapa ndio washindi.
The OnePlus 8 Pro walipata tuzo bora ya Smartphone. Jopo la waamuzi lilifurahishwa na jinsi kifaa huchanganya muundo na cutting edge, ikionyesha display ya 120 Hz 1440p +...
Baada ya vikwazo vya Marekani, kampuni ya Huawei imetangaza kuacha kuzalisha flagship chipsets za Krin zinazotumika kuendesha simu za viwango vya juu ama flagship phones kama Huawei P series na Huawei Mate series.
Vikwazo vya Marekani vimefanya imekua ngumu kwa Huawei kupata vifaa vya...
China kulikua na Iphone nyingi kuliko nchi yoyote Duniani ila sasa Iphone inapoteza nafasi ya kua simu namba moja China.
Watumiaji wengi wa Iphone wanahamia Huawei, Iphone inakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa makampuni ya China kama Huawei, One Plus, Oppo, Honor, TCL, ZTE na kadhalika...
Kwa kile kinachoitwa muendelezo wa Marekani kutumia mkono wake mrefu na wenye nguvu kuiwekea vikwazo kampuni ya Huawei kutoka China, sasa mbinyo huo umeifikia Brazil.
Balozi wa Marekani nchini Brazil ameionya nchi hiyo kua itakabiliwa na hatari iwapo itairuhusu kampuni ya Huawei kujenga mitambo...
Baada ya India kuingia kwenye mgogoro wa China, kampuni ya mawasiliano ya Airtel inatarajia kuachana na kampuni ya Huawei.
Airtel imeikaribisha kampuni ya Errickson kutoka Sweden kupata vifaa vya mawasiliano ya 4G na 5G.
Je Huawei itaweza kuishi ama kupambana na vikwazo vya kimarekani...
Kampuni ya kutengeneza processor za simu za kiwango cha juu ya Taiwani, Taiwanese Semiconductor Manufacturing Company au TSMC imesema haitapoea ombi lolote wa kuiuzia processor zake kampuni ya Huawei kuanzia September 14, 2020 ili kutokumbana na vikwazo vya Marekani.
Marekani imezuia kampuni...
Waziri wa digitali wa Taiwan amesema Huawei ni kirusi cha kichina au Trojan horse kutoka China na ni hatari kuitumia kwenye mfumo wa mawasiliano ya nchi
Waziri huyo ambae zamani alikua muiba taarifa za kimtandao ama kwa kimombo hacker anasema wao Taiwan walishaliona hilo la Huawei muda mrefu...
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani bwana Pompeo ametangaza kua serikali ya nchi hiyo itawawekea vikwazo vya kusafiri wafanyakazi wa makampuni ya Kichina ikiwemo Huawei.
Pompeo amesema watawawekea vikwazo na kuwapiga marufuku wafanyakazi wa makampuni ya Kichina wasisafiri hivyo kuathiri kabisa...
Kampuni ya Huawei imetuhumiwa kutoa rushwa kwa wanasiasa na wafanya maamuzi ilo ipate kandarasi ya kujenga mtandao wa 5G.
Meya wa mji wa Windhoek amesema alipewa pesa za hongo mamilioni ya shilingi ili aipitishe Kampuni ya Huawei ili ijenga mtandao wa 5G.
Jana Uingereza ilitangaza kuiondoa...
Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa kuanzia tarehe 31 Desemba mwaka huu, kununua vifaa vya teknolojia ya 5G kutapigwa marufuku, na vifaa vyote vya kampuni ya Huawei vya teknolojia ya 5G vitaondolewa nchini Uingereza kabla ya mwisho wa mwaka 2027. Hatua hii inaonyesha kuwa Uingereza imesujudu...
Nchi ya Uingereza imepiga marufuku kampuni ya Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo.
Mwezi January Uingereza iliipa Huawei tenda ya kuweka mitambo ya kawaida au non core ya 5G.
Mwezi wa 5 Marekani iliiwekea vikwazo vipya kampuni ya Huawei vitakavyoiondolea kampuni hiyo uwezo wa kupata au...
Jana zilitoka habari za ndani au chini ya kapeti kua nchi ya Italia inafikiria kuitenga Huawei kwenye mfumo wake wa mtandao wa 5G.
Juzi pia zilitoka habari kua Marekani inaishinikiza Brazil kutafta kampuni nyingine nje ya Huawei kuunda mfumo wake wa taknolojia ya 5G na Marekani akaahidi yuko...
Nchi ya Italia inatarajia kuiondoa Huawei kwenye mpango wake wa 5G sawa na nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya
Mwaka jana Italia ilitoa green light kwa kampuni ya Huawei kushiriki kwenye uanzishwaji wa 5G nchini humo.
Sasa kutokana na shinikizo kubwa la Marekani kwa nchi washirika kuachana na Huawei...
Serikali ya ufaransa imesema haina mpango wa kuipiga marufuku Huawei kufanya kazi ndani ya nchi hiyo ila imesisisitiza kampuni za simu kuepuka Huawei.
Kuna kampuni tayari zilishapewa kibali cha kutumia mitambo ya Huawei kwenye teknolojia ya 5G hasa kwenye maeneo yasiyo ya muhimu kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.