Habari wana Jukwaa.
Nina project ambayo inaitaji USB modem, yoyote kati ya hizi kampuni tajwa hapa chini:
Huawei
ZTE
Najua teknolojia ya modem imeenda ina phase out kwenye nchi yetu, kutokana na kwamba kwa sasa kuna MiFi router ambazo unaweza kuzipata mpaka kwa 50,000/=
Hivo kama kipindi...