huduma ya maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Waziri Aweso atoa siku saba kwa wakandarasi waliotekeleza Mradi wa Maji wa Miji 28 Tanga

    Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso, ametoa siku saba kwa wakandarasi wanaotekeleza Mradi wa Maji wa Miji 28 wilayani Muheza mkoani Tanga, kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo kutokana na kuonekana kusuasua licha ya uwepo wa fedha za mradi huo. Waziri Aweso amebainisha haya baada ya kufika...
  2. Mkalukungone mwamba

    Waziri Aweso ajitosa sakata wanawake Kijiji cha Oltepes kutumia mkojo wa ngombe kujisafisha wakiwa hedhini kutokana na ukosefu wa maji

    Zikiwa zimepita saa chache tangu Mwananchi iripoti wanawake katika Kijiji cha Oltepes kilichopo Kata ya Orbomba, wilayani Longido kutumia mkojo wa ng’ombe kujisafisha wakiwa hedhini kutokana na ukosefu wa maji, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema analifanyia kazi. Akijibu changamoto hiyo katika...
  3. Roving Journalist

     Dar: DAWASA yakutana na wananchi wa Msakuzi, ili kupata hatma ya huduma ya maji

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekutana na wananchi wa eneo la Msakuzi kwa Lubaba, Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo kwa lengo la kufahamu mipango na maendeleo ya miradi ya uboreshaji huduma ya maji katika eneo hilo. Akizungumza katika mkutano wa ulioitishwa na wananchi hao...
  4. Roving Journalist

     Tatizo la Maji kwa Mji wa Geita kuwa Historia kufikia Oktoba 2025

    Hali ya upatikanaji wa Maji kwa sasa kwa Mji wa Geita ni asilimia 75 kwa Wakazi wasiopungua 360,000. Mji wa Geita ni moja ya miji ambayo inakuwa kwa kasi hasa kwa shughuli za kiuchumi na Wananchi wengi wanajenga Milimani ukilinganisha na usawa wa miundombinu ya Maji ya inayohudumia na hivyo...
  5. Idugunde

    Chato imetelekezwa? Maji hayatoki kwenye mabomba zaidi ya miezi miwili

    Kweli sasa hii imekuwa aibu kubwa. Ziwa Victoria lipo jirani kama km 1. Lakini maji hayapatikani kwenye miji ya watu wenye mabomba. Je, Hayati Magufuli angekuwepo haya yangetokea Chato?
  6. A

    KERO Kukatika maji hovyo Nyamanoro, Ghana na Kona ya Bwiru-Mwanza

    Kuna kukatika maji haya maeneo wiki nzima kwa sasa na hakuna taarifa maalum kwa wateja kutoka Mwauwasa,kuna mdau yoyote anajua kinachoendelea? Kilichopo ni kwamba unaweza stuka ghafla maji hamna na hujahifadhi. Nafikiri kama kuna changamoto taarifa ziwekwe wazi na ratiba ifahamike ili kila mtu...
  7. M

    KERO Mamlaka ya Maji Singida (SUWASA) mnatuumiza sana Wananchi, bili mnazoleta haziendani na uhalisia

    Salaam Wanajukwaa, Naomba kero yangu ifike kwa waziri Jumaa Aweso kilio chetu Wananchi wa Singida, SUWASA inatuua. SUWASA inatukandamiza, inatuonea, bili za maji za huku kwetu ni mitaji ya Watu huko SUWASA, haiwezekani bill zinakuja bila mpangilio. Hivi majuzi jirani yangu alikuwa akilalamika...
  8. BigTall

    KERO Wananchi Mti Mmoja - Monduli (Arusha) wanakunywa maji ya bwawa yaliyotuama, hakuna Huduma ya Maji ya Bomba

    Juzikati Oktoba 23, 2024 nilipofika eneo la Mti Mmoja - Monduli (Arusha) nikiwa njiani kuelekea Dodoma nikitokea Arusha, niliona jambo la kushangaza sana, nilishuhudia Wanafunzi wa shule wakinywa maji yaliyotuama ya mvua zilizonyesha mwanzoni mwa mwaka huu (2024). Mbali na Watoto hao...
  9. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ole Lekaita: Kinamama walikuwa wakitoka kutafuta Maji saa 8 Usiku

    Mbunge Edward Ole Lekaita Kisau, Mbunge wa Jimbo la Kiteto amesema kabla ya kutekelezwa kwa miradi aliyoileta Dkt. Samia Suluhu Hassan Kiteto kina mama walikuwa wakitoka nje kuchota maji saa 8 usiku kwa ajili ya familia na mifugo. "Kijiografia Jimbo la Kiteto Mkoa wa Manyara ni Jimbo kubwa...
  10. A

    KERO Mtaa wa Simba kata ya Kilungule, Bunju Beach hatuna maji zaidi ya wiki 3, DAWASA hawatupi majibu ya kueleweka

    DAWASA tunaomba majibu ni kwanini hatupati maji kwa kipindi chote hicho na bila taarifa, na pia wakipigiwa simu wanadai wanashughulikia lakini hakuna chochote kinachoendelea. Imekuwa ni changamoto ya kujirudia rudia isiyopata utatuzi. Maji yatatoka wiki moja halafu watatuma bili baada ya hapo...
  11. Roving Journalist

    DAWASA: Huduma ya Maji Muheza Maili Moja itarejea, mabomba yaliyoharibika yametengenezwa

    DAWASA imetoa ufafanuzi kuhusu hoja ya Mdau aliyelalamikia changamoto ya Huduma ya Maji Kibaha, kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ DAWASA Kibaha nini tatizo? Hakuna Huduma ya Maji wiki ya pili, hayo mabomba mabovu hayatengenezeki? Eneo la Muheza lilianza kukosa maji week iliyopita baada ya...
  12. Mpigania uhuru wa pili

    KERO DAWASCO maji wanatoa kwa siku mbili ndani ya wiki na bado imewashinda

    Katika shirika linaloshangaza ni dawasco maji wanatoa siku moja au mbili kwa week lakin bado nako kumewashinda je wangetakiwa kutoa maji 24/7 kama wafanyavyo miji mingine Napokaa hapa maji mara ya mwisho kutoka ni jumapili ile iliyopita sio hii ya juzi ukimuuliza engineer wa dawasco ni ahadi tu...
  13. Roving Journalist

    Waziri Aweso akutana na DAWASA kwa lengo la kuboresha huduma ya maji katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani

    AWESO ATETA NA WATAALAMU UFUNDI DAWASA, MIKAKATI YAWEKWA BAYANA ~Atoa uhakika wa huduma kwa Wakazi wa Dar na Pwani Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso (Mb) amekutana na kufanya kikao kazi na Menejimenti pamoja na timu za ufundi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) kwa...
  14. boyson onlye

    KERO DAWASA, ni lini mtatoa huduma ya maji bila mgao?

    Habari wakuu, Nina miaka kadhaa katika jiji hili la Dar es salaam, na wengine wote wanaoishi katika jiji hili ni mashahidi, Kila nyumba ina vifaa vingi vya kutunzia maji, iwe ndoo, jaba au tank na kuna wakati unakuta maji yote uliyotunza yameisha ndanj na maji hayatoki, hasa kipindi hiki...
  15. K

    KERO Arusha: Wanawake takriban 200 waandamana na ndoo mpaka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakidai "Hatuna maji miaka 10"

    Mama achana na machawa fanya kazi https://youtu.be/nNphQMdV-XU?si=r54NUretG0H5LM2d
  16. BigTall

    KERO Wakazi wa Shamaliwa - Mwanza hatuna Huduma ya Maji zaidi ya Mwezi, Wanaoboresha Barabara wameharibu Mabomba

    Sisi wakazi wa Shamaliwa A na B wengi wetu hatuna huduma ya Maji kwa muda wa zaidi ya mwezi sasa kutokana na wahusika wanaotengeneza Barabara kwa nia ya kuboresha wameharibu mabomba na hivyo Mamlaka ya Maji kulazimika kukata maji. Wanachofanya wanaotengeneza Barabara ni jambo jema lakini sasa...
  17. P

    KERO Ubungo riverside hatuna maji kwa siku 14 sasa

    Hakuna maji Ubungo riverside maeneo yote kuanzia daraja la Kijazi mkono wa kushoto .. no mambo ya AIBU sana Hakuna taarifa yoyote watu tunaishi kama tuko dunia ya miaka ya 40tatizo ninini.. Bili za maji wasomaji hawazingatii wanapita na kubambika mamba ambazo sio sahihi. DAWASA, DAWASA. Wizara...
  18. Roving Journalist

    Rais Samia: Tusiharibu vyanzo vya maji, ndiyo uhai wetu

    “Mnakumbuka wakati wa kampeni, tuliahidi kumtua ndoo mama kichwani. Sasa tumekwenda kuifanyia kazi ahadi ile. Tumeifanyia kazi kwa kusambaza miradi ya maji nchi nzima. Kama mnavyoona tulivyofanya Ruvuma na nchi nzima ni hivyo hivyo. Kwa hiyo tunatarajia ikifika mwaka kesho 2025 tuwe tumetimiza...
  19. Pfizer

    Kilimanjaro: Milion 780 kuboresha huduma ya Maji Marangu Mashariki

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi ( MUWSA) imekusudia kutekeleza mradi wa majisafi wenye lengo la kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya majisafi kwenye vijiji vya Samanga, Rauya pamoja na Ashira vilivyoko kwenye Kata ya Marangu Mashariki Wilaya ya Moshi Vijijini Kilimanjaro...
  20. Roving Journalist

     MWAUWASA: Tumeandaa Mradi wa Tsh. Bilioni 8.4 kufikisha Huduma ya Maji maeneo ya Kishiri na jirani ambayo hayana huduma hiyo

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuelezea kuhusu changamoto ya huduma ya maji iliyopo katika Kata ya Kishiri, ufafanuzi wa Mamlaka ya Maji Mwanza umetolewa. Kujua alichokisema Mdau huyo unaweza kubofya hapa ~ Changamoto ya maji Kanindo Kata ya Kishiri, Wilaya ya Nyamagana ==== ==== Neli...
Back
Top Bottom