huruma

Huruma Estate is a residential estate located in the northeast of Nairobi, the capital of Kenya. It borders Kariobangi and Dandora to the east, Moi Air Base to the south, Mathare to the north and Eastleigh to the west.
In April 2016, during Kenya's rainy season, a building collapse in Huruma resulted in the deaths of 52 people. The building's owner, Samuel Karanja Kamau, was charged with manslaughter.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Ongeeni yote ila kuweni na huruma kwa ile project ya kumdhalilisha MO Dewji

    Watu wamewekeza mamilioni ya pesa kutafuta mtu wa kumtukana na kumdhalilisha Mo Dewji na katika kuhakikisha MTUKANAJI anaishi vizuri bila msongo wa mawazo wakamtafutia aprtment baharini huko masaki, usafiri mzuri na mshahara mnono All of a sudden project ife kirahisirahisi? mnaongea maneno...
  2. N

    KIBUYU KIMELIA TFF ANAHAHA KUTAFUTA HURUMA(nitatengenezea graphics)

    Lile jamaa libabe la mdomo na kutukana watu hovyohovyo limekula nyundo huko kinachosubiriwa ni kutangazwa rasmi licha ya njemba hilo kulialia kupitia kwa wanasiasa waliombee msamaha.... nitalipia graphics za hali ya juu kutambulisha habari hiyo ambapo nishaaongea na wataalamu kadhaa wa kazi...
  3. K

    Kupata ajira ni huruma au haki?

    Napenda kuuliza kupata ajira ni huruma au haki? Limenitokea leo kuna nafasi ya kazi itakuwa wazi soon,mmoja wa hiyo kazi ambae kisifa analingana na Mimi kaajiriwa serikalini Nikasema isiwe kesi, ngoja nimpandie mwajiri wake niombe hiyo kazi Kumbe alikuwa hajampa taarifa bosi wake Kama...
  4. Samson Ernest

    Madhara 5 ya kuoa/kuolewa na mtu uliyemhurumia/uliyemwonea huruma

    Tunakutana na changamoto mbalimbali katika maisha, pia katika utafutaji wa maisha tunapitia nyakati ngumu tofauti tofauti, zipo nyakati za kuumiza mioyo yetu, zipo nyakati za aibu, nyakati za kudharaulika kutokana na hali za maisha tunayoishi wakati huo. Wapo vijana unaowaona wamefanikiwa leo...
  5. Surya

    Huruma za kibinadamu wakati mwingine zinaponza

    Unapotaka kumsaidi mtu inahitaji wewe unakwenda kutoa msaada uwe makini. Ninaposema umakini namaanisha uwe na uhakika kweli ninaekwenda kumsaidi ni mhitaji na kweli ana shida. Nitatoa story kwa ufupi kuhusu huyu Bi dada ambae ni rafiki yangu kipindi cha nyuma. Tulifahamiana vipi.. Nilimfahamu...
  6. N

    Unafiki ni nini? Kumuonea huruma mzambia na siyo mtanzania

    Ajabu sana aisee makanjanja na utopwinyo kumzodoa Clatous chama kwamba alikosea kuondoka Berkane kisa wameshinda confederation cup huku wakisahau jamaa jina lake lipo miongoni mwa watakaopokea medali maana mechi za shirikisho alicheza kwenye team hiyo Makanjanja na utopwinyo yanamsifu Razak...
  7. maji ya gundu

    Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

    Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu. Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio...
  8. Inanambo

    Sekretarieti ya ajira waoneeni watafuta ajira huruma

    Ni jambo la kusikitisha Watalaam wa Secretariat ya Ajira kuwanyima Watafuta Ajira fursa ya Usaili. Eti huujaitwa kwenye Usaili (Shortlisted) kwa kuwa hujazibitisha Vyeti vyako kwa Wakili au Mwanasheria. Ingawa umekidhi vigezo vyote vya Sifa ya Ajira tajwa. Hivi wanashindwa Jumuiya mtafuta...
  9. Lord denning

    Wanatia huruma Kwa kweli!

    Tangu Mama kashika usukani kutwa kucha wamekuwa wakiwanga afeli Walitegemea miradi ya kimkakati itafeli wapate cha kuongea badala yake miradi inaendelea na hakuna kilichosimama, kuanzia bwawa la Nyerere,SGR, madaraja ya Tanzanite na Busisi na Bandari za Mtwara, Kalema na Tanga Walitegemea...
  10. mwanamwana

    INASIKITISHA: Msanii Dullayo awa mlevi kupindukia, atia huruma

    Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya aliyewahi kutamba na vibao vikali mwenye maskani yake Ukonga Majumba Sita amejiingiza katika ulevi wa kupindukia. Wengi wanadai ni stress baada ya kushindwa kwendana na kasi ya muziki. Nisiongee sana ila tizameni video hiyo...
  11. simplemind

    Mercy in court: Mombasa magistrate fundraises for couple charged with flour theft

    Hakimu awachia huru wanandoa baada ya kuiba beli la unga wa ngano. Hatimaye alifanya mchango wa dharura mahakamani kusaidia wanandoa hao. Aliwapa onyo wasirudie kosa. ======= The high cost of living is slowly pushing Kenyans to unorthodox means to make ends meet, including stealing flour to...
  12. BigTall

    Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

    "Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu, hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema...
  13. T

    Kama Jamhuri ilimuonea huruma Mbowe na ugaidi basi Mdee na wenzake wataachwa

    Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi. Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama...
  14. M

    Panya road ni wa kuchapa risasi bila huruma

    Alikuta taifa lake likiwa na uharifu mkubwa sana alipoingia madarakani mwaka 2016. Wauza unga walikuwa wengi, wakabaji wa kutumia siraha na majambazi. Alitumia njia moja tu kama mkuu wa vyombo vya ulinzi. Mhalifu mwenye silaha awe kibaka, muuza unga au jambazi akiwa na silaha frontline ni kula...
  15. J

    Shaka: Rais Samia kuwalipa waliofukuzwa kwa vyeti feki ni ishara ya huruma, upole na upendo kwa Watanzania

    Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania, POINT TO NOTE, 1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!? 2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!? 3. Hawa...
  16. Expensive life

    Wanaume wenzangu msiwaonee huruma wanawake mnapokuwa sita kwa sita

    Vidume wenzangu punguzeni huruma kwa wake au wapenzi wenu mnapokuwa kwenye mahaba. Hawa viumbe wamapenda kupigwa paipu za maana si mnaona wenyewe wanavyo tutukana humu jamvini? Wakitoka nje wakikutana na vijana wenye hasira na mbususu wanazisasambua haswa tunaishia kutukanwa kwamba hatuna...
  17. yuda75

    Amerudi analia, anatia huruma...

    Habari Wadau na Wanajuiya kwa ujumla wenu Niliwai leta uzi humu kuwa kuna mdada mzuri kwa mtazamo wangu, nilimpenda sanaaaa nilimuhudumia sanaa kila alichoitaji na ambavyo hakuniomba nilimpa lakini alibadilika akawa na mtuu ambae ni jama yakewa utotoni. But naona kajileta kwangu mahaba kama...
  18. B

    Uchambuzi: Huruma ya rais Samia imeondoa mateso ya watoto shuleni siku hizi

    UCHAMBUZI- HURUMA YA RAIS SAMIA, ILIVYOONDOA MATESO YA WATOTO SHULE SHIKIZI. Na Bwanku M Bwanku. Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua uamuzi wa Serikali ya Rais Samia kutoa Bilioni 60 kujenga madarasa 3,000 kwenye Vituo Shikizi 970 na kuwaondolea...
  19. lee Vladimir cleef

    Marekani Sasa inatia huruma juu ya mzozo wa Ukraine, kauli za Joe Biden ni za kukata tamaa na hofu

    Zifuatazo ni kauli za Joe Biden na viongozi wengine baada ya kuona mzozo wa Ukraine na Urusi ni kina kirefu kwa Marekani kuvuka. 1-Marekani haitapeleka majeshi Ukraine! 2-Raia wa Marekani waondoke Ukraine Sasa! 3-Raia wa Marekani waondoke Ukraine mara moja kwani Marekani haitapeleka majeshi...
  20. Rutunga M

    IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

    IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano...
Back
Top Bottom