Ili kuongeza kiwango cha uzalendo imehimizwa kila mfanyakazi au mtumishi wa umma kuvaa SARE YA JEZI YA TIMU YA TAIFA kila ikifika ijumaa ya wiki na hili liwe lazima kwa kila mtumishi wa umma haijalishi ni kitengo gani serikali kuu,serikali za mitaa vyombo vya ulinzi na usalama navyo vihusike kwa...
Katika harakati zangu za hapa na pale nimekuja kugundua jambo kuhusu hii namba 13,huku wengi wakiihusisha namba hiyo na nguvu za kishetani...mfano mdogo karibia hoteli zote duniani hakuna chumba namba 13,badala yake wanaweka chumba namba 12A na 12B.
Kibiashara pia tarehe 13 inahusishwa kuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.